Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora..., Kwan nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?
View attachment 3119909View attachment 3119910View attachment 3119911View attachment 3119913
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
Wapi huko ?
Tabata Dampo
Kigamboni
Buza
Temeke
Mbagala
Dah! Kidogo moyo umetulia, jitahidi utuletee ufafanuzi ili tuendelee kua na amani.
Oil chafu( iliyokwisha tumika) ni biashara kubwa sana duniani na ina matumizi mengi
1. Hutumika kama dawa ya mchwa kwenye mbao zile zinazoitwa 'treated'
2. Ikichanganywa pia na kemikali nyingine ni dawa nzuri ya vyoo vinavyotoa harufu..
3. Kupitia mchakato wa pyrolysis (Pyrolysis is the process of thermal decomposition of materials at elevated temperatures, often in an inert atmosphere without access to oxygen.)unapata mafuta yaitwayo I.D.O (Industrial Diesel Oil)
Matumizi yake
Kwa kawaida hutumiwa kama mafuta mbadala wa dizeli kwenye viwanda vya saruji, kioo, chuma, nk. kama nishati mbadala. Kwa kuongeza, inaweza pia kutumika kwenye majenereta ya mafuta mazito kuzalisha umeme. Kulingana na sifa za uchambuzi, mafuta ya pyrolysis hayawezi kutumika moja kwa moja kwenye gari. (Labda mpaka yachujwe tena kwa kemikali na kuongezewa viwatilifu sahihi)
Watengenezaji(wakandarasi) wanaojenga barabara pia hutumia sana IDO kwenye mitambo yso mikubwa na hata kwenye kuchemshia lami
Kinachoonekana mtaani ( wakusanyaji wenye madumu na baiskeli ni sehemu ndogo tu ya kaliba nzima ya Oil chafu
Kuna watu wana mikataba kabisa ya kununua oil chafu toka kwenye vituo vikubwa vinavyofanya service na makampuni makubwa ya magari
 
Habari wadau!

Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini?

Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri ili wasiharibu nembo wala kidumu cha oil.

Hii inakupelekea vyombo vyao Moto kuharibika sababu oil nyingi sasa hivi hazina ubora..., Kwan nilijaribu kumuhoji mmoja last week kuwa wanazipeleka wapi alikuwa mkali sn na hakutaka kunijibu. Wanapopeleka wengi ni eneo la kigogo mbuyuni opposite na shule ya msingi Lutihinda.

Kama ni kweli wahusika wa kudhibiti ubora wa bidhaa wapo wap?
View attachment 3119909View attachment 3119910View attachment 3119911View attachment 3119913
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina
Wapi huko ?
Tabata Dampo
Kigamboni
Buza
Temeke
Mbagala
Dah! Kidogo moyo umetulia, jitahidi utuletee ufafanuzi ili tuendelee kua na amani.
Oil chafu( iliyokwisha tumika) ni biashara kubwa sana duniani na ina matumizi mengi
1. Hutumika kama dawa ya mchwa kwenye mbao zile zinazoitwa 'treated'
2. Ikichanganywa pia na kemikali nyingine ni dawa nzuri ya vyoo vinavyotoa harufu..
3. Kupitia mchakato wa pyrolysis (Pyrolysis is the process of thermal decomposition of materials at elevated temperatures, often in an inert atmosphere without access to oxygen.)unapata mafuta yaitwayo I.D.O (Industrial Diesel Oil)
Matumizi yake
Kwa kawaida hutumiwa kama mafuta mbadala wa dizeli kwenye viwanda vya saruji, kioo, chuma, nk. kama nishati mbadala. Kwa kuongeza, inaweza pia kutumika kwenye majenereta ya mafuta mazito kuzalisha umeme. Kulingana na sifa za uchambuzi, mafuta ya pyrolysis hayawezi kutumika moja kwa moja kwenye gari. (Labda mpaka yachujwe tena kwa kemikali na kuongezewa viwatilifu sahihi)
Watengenezaji(wakandarasi) wanaojenga barabara pia hutumia sana IDO kwenye mitambo yso mikubwa na hata kwenye kuchemshia lami
Aina za oil chafu.. Jina sahihi ni oil iliyotumika
1. Engine oil toka kwenye vyombo vya moto vikubwa na vidogo (magari na pikipiki)
2. Toka kwenye engine za mitambo mbalimbali na majenereta
3. Sladge toka kwenye matank makubwa ya kuhifadhia mafuta kwa wingi yanaposafishwa
4. Mabaki ya mafuta kwenye meli zinazoshusha mafuta bandarini (bonge la dili)
5. Mabwawa ya uchafu wa matope toka melini na kwenye hifadhi za visima vya mafuta
6. Hydraulic toka kwenye gearbox za magari na mitambo mbalimbali
 
Sio kweli kwamba zinarudishwa dukani zina matumizi mengine na ni biashara kubwa inayowaweka watu mjini.. Nitakuja na ufafanuzi wa kina

Tabata Dampo
Kigamboni
Buza
Temeke
Mbagala

Oil chafu( iliyokwisha tumika) ni biashara kubwa sana duniani na ina matumizi mengi
1. Hutumika kama dawa ya mchwa kwenye mbao zile zinazoitwa 'treated'
2. Ikichanganywa pia na kemikali nyingine ni dawa nzuri ya vyoo vinavyotoa harufu..
3. Kupitia mchakato wa pyrolysis (Pyrolysis is the process of thermal decomposition of materials at elevated temperatures, often in an inert atmosphere without access to oxygen.)unapata mafuta yaitwayo I.D.O (Industrial Diesel Oil)
Matumizi yake
Kwa kawaida hutumiwa kama mafuta mbadala wa dizeli kwenye viwanda vya saruji, kioo, chuma, nk. kama nishati mbadala. Kwa kuongeza, inaweza pia kutumika kwenye majenereta ya mafuta mazito kuzalisha umeme. Kulingana na sifa za uchambuzi, mafuta ya pyrolysis hayawezi kutumika moja kwa moja kwenye gari. (Labda mpaka yachujwe tena kwa kemikali na kuongezewa viwatilifu sahihi)
Watengenezaji(wakandarasi) wanaojenga barabara pia hutumia sana IDO kwenye mitambo yso mikubwa na hata kwenye kuchemshia lami
Aina za oil chafu.. Jina sahihi ni oil iliyotumika
1. Engine oil toka kwenye vyombo vya moto vikubwa na vidogo (magari na pikipiki)
2. Toka kwenye engine za mitambo mbalimbali na majenereta
3. Sladge toka kwenye matank makubwa ya kuhifadhia mafuta kwa wingi yanaposafishwa
4. Mabaki ya mafuta kwenye meli zinazoshusha mafuta bandarini (bonge la dili)
5. Mabwawa ya uchafu wa matope toka melini na kwenye hifadhi za visima vya mafuta
6. Hydraulic toka kwenye gearbox za magari na mitambo mbalimbali
Kuna pia mafuta mapya yanaitwa condensate. Haya ni Mabaki toka gesi asilia na hapo Mtwara Nyamisati kuna mamiloni ya lita lakini EWURA hawataki kutoa kibali yauzwe nchini watu watapigwa sana maana yamefanana mno na dizeli
Naendelea
Oil chafu inayopendelewa zaidi ni kutoka kwenye engine na mitambo mbalimbali pamoja na sladge..
Oil chafu ya hydraulic haipendwi sana kwakuwa haina mlipuko wa haraka (inawaka taratibu)

Kuna watu ni wafanyabiashara wakubwa wa oil chafu wanaosafirisha mpaka nje ya chini hasa hasa Kenya na Zambia.. Si kila tanker unayoina barabarani imebeba dizeli au petrol.. Nyingine zimebeba oil chafu na IDO

Changamoto kwenye hii biashara
1. Kuna ma tycoon kwenye hii biashara na si watu wa kuonekana hovyo.. Kuna ubabe mkubwa sana kwenye hii biashara na kupigwa chuma ni jambo dogo sana hasa ukileta ujuaji na kukosa uaminifu
Kuna utapeli pia hasa kwa hawa wakusanyaji wadogo. Ukiwa mgeni kwenye hii biashara unapigwa
Wana tabia ya kuchanganya oil na maji ili kuongeza volume na wajuzi zaidi hukuchanganyia na rojo la unga wa ngano😂

Utajuaje kama umepigwa
1. Oil haichangamani na maji hivyo tone la oil ukiliweka kwenye karatasi nyeupe kama lina maji.. Hayo maji yatalowesha pembezoni karatasi na oil itabaki katikati
2. Oil chafu halisi ni nyeusi tii
3. Inalipuka na kuwaka haraka
4.iliyochanganywa na hydraulic inachelewa kuwaka na mlipuko ni mdogo

 
Mwisho
Epuka kununua oil za kupima kwenye chupa zina uhuni mwingi nyingi ni za wizi na nyingi zimechanganywa na oil zilizotumika hasa kutoka serikalini mashirika makubwa na makampuni yanayozingia ubora na service za magari yao
 
Mwisho
Epuka kununua oil za kupima kwenye chupa zina uhuni mwingi nyingi ni za wizi na nyingi zimechanganywa na oil zilizotumika hasa kutoka serikalini mashirika makubwa na makampuni yanayozingia ubora na service za magari yao
Je kuna nilichosahau?
 
Mwisho
Epuka kununua oil za kupima kwenye chupa zina uhuni mwingi nyingi ni za wizi na nyingi zimechanganywa na oil zilizotumika hasa kutoka serikalini mashirika makubwa na makampuni yanayozingia ubora na service za magari yao
Je kuna nilichosahau?
Mkuuu naomba Maelezo zaidi hapa
"Mabaki ya mafuta kwenye meli zinazoshusha mafuta bandarini (bonge la dili)"
 
Mwisho
Epuka kununua oil za kupima kwenye chupa zina uhuni mwingi nyingi ni za wizi na nyingi zimechanganywa na oil zilizotumika hasa kutoka serikalini mashirika makubwa na makampuni yanayozingia ubora na service za magari yao
Mkuuu naomba Maelezo zaidi hapa
"Mabaki ya mafuta kwenye meli zinazoshusha mafuta bandarini (bonge la dili)"
Baada ya kushusha mafuta kuna rojo la tope jepesi lililotuama chini..hili huhesabiwa kama uchafu sasa hapo kuna watu wana hizo tenda za kuzoa hilo tope.. Kwa kifupi hilo tope jepesi ni Mafuta tupu ukilitoa melini na kwenda kulimwaga kwenye tank laki hujichuja tena
Lakini vilevile kuna michezo inafanyikaje hapo kuna mafuta yanashushwa kama uchafu lakini si machafu.. Sometimes ni maelfu ya lita na ni michezo ambayo hata makapteni wa meli husika wanaijua
 
Oil chafu inapelekwa Nairobi wana kiwanda cha kuchakachua hiyo chafu tena na kuwa hizi safi kwa gharama ndogo wakusanyaji wanapewa mtaji kabisa wa kununulia na kusafirisha na wanunuzi wakubwa wapo mikoa kadhaa mikubwa yenye magari mengi..
 
Oil chafu inapelekwa Nairobi wana kiwanda cha kuchakachua hiyo chafu tena na kuwa hizi safi kwa gharama ndogo wakusanyaji wanapewa mtaji kabisa wa kununulia na kusafirisha na wanunuzi wakubwa wapo mikoa kadhaa mikubwa yenye magari mengi..
Hamna bana wala hawachakachui hizo ni stori tu za watu hio kazi nimefanya sana kupeleka Nairobi Ile inatumika badala ya I.D.O kwenye mitambo mkuu
 
Hamna bana wala hawachakachui hizo ni stori tu za watu hio kazi nimefanya sana kupeleka Nairobi Ile inatumika badala ya I.D.O kwenye mitambo mkuu
Inawezekana nimetumia neno la kuchakachua vibaya ila ipo mitambo mkuu ukiweka hiyo chafu inatoka oil safi na wanachanganya na kemikali kidogo nimeona kwa macho yangu ipo Johannesburg kwa Wasomali na hiyo oil wanauza sana hapo ukienda maduka Forsburg ya Wasomali wanauziana sana hiyo oil kwa bei ndogo.
Kuhusu Nairobi yupo dereva kabla ya kuja huku alikua anafanya hiyo kazi ya kukusanya na kupeleka Nairobi.
Kwa Wasomali walivyojaa Nairobi ndio hao hao wamewapa mbinu wa SA.
SA hawakusanyi kama Tanzania wao wanachukua kwenye viwanda vikubwa tu na wanalipwa ila wanaenda kuifanyia kazi.
 
Kuna viwanda Bado wanatumia boilers za kizamani ambazo hutumia hizo oil chafu
 
Back
Top Bottom