Oil fake ni janga serikali iingilie Kati

Oil fake ni janga serikali iingilie Kati

Waterloo

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
25,356
Reaction score
38,922
Wadau wa magari na vyombo vya moto mtakubaliana na mimi kwamba kwa sasa kasi ya engine za magari na machine kuharibika kutokana na tatizo la oil fake limekuwa kubwa na likiongezeka kwa kasi kila siku.

Naomba serikali kupitia mamlaaka zinazodhibiti bidhaa fake wafuatilie suala hili kwa haraka ili kuokoa vyombo vya usafiri na machine za watu hali ni mbaya sana.
 
Poleni sana wenye vyombo. Watu wana roho mbaya hata kuliko shetani mwenyewe. Yaani wako radhi wakutoe hata roho ili wafanikiwe!
 
Wadau wa magari na vyombo vya moto mtakubaliana na mimi kwamba kwa sasa kasi ya engine za magari na machine kuharibika kutokana na tatizo la oil fake limekuwa kubwa na likiongezeka kwa kasi kila siku.

Naomba serikali kupitia mamlaaka zinazodhibiti bidhaa fake wafuatilie suala hili kwa haraka ili kuokoa vyombo vya usafiri na machine za watu hali ni mbaya sana.
unajua kesi inayo msumbua ndugu na brother wetu JF kwa nini ,kuna watu hapa tz sio wazerendo na nchi yao,unakumbuka mada moja ya mafuta na jinsi michezo michafu ilivo kuwa .
tusije kuongezewa masharti jf na kusababisha jf kila siku kushinda mahakamani
 
unajua kesi inayo msumbua ndugu na brother wetu JF kwa nini ,kuna watu hapa tz sio wazerendo na nchi yao,unakumbuka mada moja ya mafuta na jinsi michezo michafu ilivo kuwa .
tusije kuongezewa masharti jf na kusababisha jf kila siku kushinda mahakamani
Kwani hapa kuna mtu katajwa mkuu.?
 
Wadau wa magari na vyombo vya moto mtakubaliana na mimi kwamba kwa sasa kasi ya engine za magari na machine kuharibika kutokana na tatizo la oil fake limekuwa kubwa na likiongezeka kwa kasi kila siku.

Naomba serikali kupitia mamlaaka zinazodhibiti bidhaa fake wafuatilie suala hili kwa haraka ili kuokoa vyombo vya usafiri na machine za watu hali ni mbaya sana.
100% naunga mkono hoja.
 
Njia nzuri ya kufanya ni kila unaponunua oil chukua stakabadhi itapoathiri engine ya gari yako pata uhakika wa tatizo kuwa ni kweli limesababishwa na oil kisha washtaki. Ushahidi wa kununua kwao unayi stakabadhi na ushahidi wa tatizo ni oil iliyopo ndani ya engine iliyoharibika.

Ni jitihada tu za kukomesha huu wizi.
 
Ushauri wangu kwenu hasa wale wanasafiri zaidi kwenda mikoani tafadhali kabla ya kufanya service tafuta oil zenye kueleweka Mimi huwa natumia BP oil au total
 
Ushauri wangu kwenu hasa wale wanasafiri zaidi kwenda mikoani tafadhali kabla ya kufanya service tafuta oil zenye kueleweka Mimi huwa natumia BP oil au total
Nakuongezea na oryx na pia bp zinaenda kutolewa na kubakia castrol oil pekee yake
 
Ushauri wangu kwenu hasa wale wanasafiri zaidi kwenda mikoani tafadhali kabla ya kufanya service tafuta oil zenye kueleweka Mimi huwa natumia BP oil au total
Hizo brand wanafyatua fake mkuu huwezi kuamini. BP , Total , Castrol zilikuwa zinaaminika sana lakini hivi sasa wanachakachua wajanja kujipatia fedha.
 
Wadau wa magari na vyombo vya moto mtakubaliana na mimi kwamba kwa sasa kasi ya engine za magari na machine kuharibika kutokana na tatizo la oil fake limekuwa kubwa na likiongezeka kwa kasi kila siku.

Naomba serikali kupitia mamlaaka zinazodhibiti bidhaa fake wafuatilie suala hili kwa haraka ili kuokoa vyombo vya usafiri na machine za watu hali ni mbaya sana.
Tatizo mamlaka za serikali ndio zinathibitisha kuwa sio fake wakati wa kukagua mzigo unaoingia nchini.... Rushwa na uzalendo ni dhana pana sana
 
Back
Top Bottom