PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Nanunua Kwenye vituo vyao vya mafutaHizo brand wanafyatua fake mkuu huwezi kuamini. BP , Total , Castrol zilikuwa zinaaminika sana lakini hivi sasa wanachakachua wajanja kujipatia fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanunua Kwenye vituo vyao vya mafutaHizo brand wanafyatua fake mkuu huwezi kuamini. BP , Total , Castrol zilikuwa zinaaminika sana lakini hivi sasa wanachakachua wajanja kujipatia fedha.
unajua kesi inayo msumbua ndugu na brother wetu JF kwa nini ,kuna watu hapa tz sio wazerendo na nchi yao,unakumbuka mada moja ya mafuta na jinsi michezo michafu ilivo kuwa .
tusije kuongezewa masharti jf na kusababisha jf kila siku kushinda mahakamani
Juzi jamaa kawekewa oil flan ila ni mpya ilo sealed kbs cha kushangaza katembea 6Km taa zote za dashboard zikawaka. Katika kuchunguza, oil ilikua chini sana, imepungua. Akamwaga aweke nyingine anayowekaga siku zote. Alipomwaga kilichotoka sio oili, ni kama mchuzi roast wa kanga pori.
Tatizo ni kubwa.
Utofauti wake na ya juu ni nn umeangalia mkuu kwenye madumu au kilichomo ndani?Hii ndio oil Feki ya Castrol oil A5View attachment 1109889
Orijino hii hapaUtofauti wake na ya juu ni nn umeangalia mkuu kwenye madumu au kilichomo ndani?