Oil Nzuri kwa Gari Lako

Oil Nzuri kwa Gari Lako

muzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,457
Hi members,
Kuna oil nyingi za magari kuanzia, Orxy, BP, Castrol,Shell, Engen na zingine nyingi kulingana na eneo uliopo. Kwa thread hii tusaidiane ni oil ipi nzuri kwa kwa gari kwenye ila kwenye swala la bei naomba tuliweke pembeni kidogo maana waswahili wanasema the higher the price, the higher the quality ila kwa wakati mwingine inaweza kuwa sio sahihi.

  1. Kupeleka gari mileage nyingi kupunguza service za mara kwa mara
  2. Nyepesi na haifanyi gari kuwa nzito na kukosa nguvu kwenye sehemu za miinuko
  3. Inafanya gari kuwa na maisha marefu
  4. Unawezakuweka kigezo kingine kwa choice ya oil unayotumia
 
Hi members,
Kuna oil nyingi za magari kuanzia, Orxy, BP, Castrol,Shell, Engen na zingine nyingi kulingana na eneo uliopo. Kwa thread hii tusaidiane ni oil ipi nzuri kwa kwa gari kwenye ila kwenye swala la bei naomba tuliweke pembeni kidogo maana waswahili wanasema the higher the price, the higher the quality ila kwa wakati mwingine inaweza kuwa sio sahihi.

  1. Kupeleka gari mileage nyingi kupunguza service za mara kwa mara
  2. Nyepesi na haifanyi gari kuwa nzito na kukosa nguvu kwenye sehemu za miinuko
  3. Inafanya gari kuwa na maisha marefu
  4. Unawezakuweka kigezo kingine kwa choice ya oil unayotumia
Mkuu kwa kigezo cha majina binafsi napenda total zinapatikana TOTAL ila kwa kuwa nina toyota huwa natumia toka kampuni ya toyota maana huko huwa napata fully synthetic kuna zingine zinaitwa champion toka nadhani holland/belgium nazo nzuri pia ukipata OG kuna zingine wanaita atlantic ila binafsi siziamini na kuna shell pia nadhani kama ni OG zitakuwa nzuri pia
 
Back
Top Bottom