wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwamba mnatulia,?Wapulizeeeeee mzee hahahhii ya mwisho tamuu.. mkichoka mnapaki mbali kabisa mnatulia yaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mnatulia,?Wapulizeeeeee mzee hahahhii ya mwisho tamuu.. mkichoka mnapaki mbali kabisa mnatulia yaani
Mkuu nitakaribia, nashukuru kwa Mualiko wako. Panapo majaliwa mwakani tutasogea na boti yetuKaribu yatch club.
kazi inayobaki ni kupulizaa tuuuu , kila mtindo utafanya kazi maana hakuna chabo wala kumsumbua jirani 😁😁😁Kwamba mnatulia,?Wapulizeeeeee mzee hahah
Shukran mkuu umeeleza vema sanaHizo Rimula, Omala, Tellus, Castrol,Liqui Molly, Penasol, Shell hao ni watengenezaji wa oil hata Tanzania tuna Orxy,Lake Lubes,Oilcom na mogas. Mimi nimelenga content za ndani kwenye oil itayotakiwa kutumika na injini za Boti ndogo.
Oil ya gari au pikipiki Unaweza kutumia kwenye boti ila itakuwa unapunguza maisha ya chombo sababu injini ya boti inafanya kazi kwenye mazingira ya maji,unyevu ambayo ni Rahisi kupata kutu lakini oil ya gari na pikipiki aina additive za Ziada kupambana na kutu
Bado sijarud mkuuHii ni Kwa ajili ya injini Ndogo za Outboard Engines ( injini za kuning'inia nje).
Kwa injini za kukaa ndani (Inboard Marine Engine(sijagusia maana Kuna namna nyingi ya kuziweka kwenye makundi Kwa speed, strokes na cylinder arrangements.
SAE- ni Society of Automotive Engineers Hii ni kama jumuiya ya wahandisi wa Mitambo,mashine na magari yote huwa wanaweka viwango Fulani katika vilainishi vya Mitambo,gari na vitu mbalimbali.
Mkuu umerudi Jiji la Makalla.
Poa, vizuri sana saizi naona bado wafilipino na wahindi hawajafunguliwa kutoka kwenye COVID-19.Bado sijarud mkuu
Najitahid nipige at least nyundo moja
Wadosi naona wanakuja Ila naona Kuna taarifa njema kwetu kwamba Kuna uwezekano wakafungiwa kuingia huku kwa mwarabuPoa, vizuri sana saizi naona bado wafilipino na wahindi hawajafunguliwa kutoka kwenye COVID-19.
Kumbe hapo, ngoja niuze kipande cha shamba la urithi, nivute chuma, mwendo wa kulala majini tu.Kwa makadirio inaweza inagharimu kuanzia million 30.
Fanya hivyo Kaveli, Pale Slip way Kuna watu wanalala kwenye Boti,Yatch ndio maisha Yao ya kila siku. Akitaka vitu anaita boti ndogo inamfata na kumrudisha mpaka sehemu ya nchi kavu kwenye gati.Kumbe hapo, ngoja niuze kipande cha shamba la urithi, nivute chuma, mwendo wa kulala majini tu.
Hiyo kazi mpeni Mshana Jr, mabaharia wote wa Saudia,Dubai,Iran na Oman mtumieni dollar mkongwe achome ubani barabara wadosi wapigwe ban ya kudumu.Wadosi naona wanakuja Ila naona Kuna taarifa njema kwetu kwamba Kuna uwezekano wakafungiwa kuingia huku kwa mwarabu
Inabid tuongeze ubani kwenye chetezo ili wafungiwe kwel
Hamna malipo ya kupark?Fanya hivyo Kaveli, Pale Slip way Kuna watu wanalala kwenye Boti,Yatch ndio maisha Yao ya kila siku. Akitaka vitu anaita boti ndogo inamfata na kumrudisha mpaka sehemu ya nchi kavu kwenye gati.
Kuegesha boti pale unaomba nafasi kwenye uongozi wa Slip way kisha kuna malipo utalipia.Hamna malipo ya kupark?
😂😂😂 Vipi samaki walikuwepo, saizi inabidi kufanya uvuvi wa kisasa kuelea uchumi wa buluu.Mwanangu Offshore Seamen nipo hapa 5N kwenye kiunga chako
Hakuna maajabu pale naona wamehama kiwanja, nipo zangu morogoro sasa hivi😂😂😂 Vipi samaki walikuwepo, saizi inabidi kufanya uvuvi wa kisasa kuelea uchumi wa buluu.