Ok Pinda... here is the deal..

They have to go they are tired but they dont want to be tired and retired why?
 


Nafikiri tunaelekea kuwafikia mafisadi.

Pinda inatakiwa aondoke hili asiingizwe kwenye kundi moja kwa moja.

Please Pinda Ondoka ondoka tu. Kuwa mwananchi mtiifu wa Tanzania.
 
Nafikiri tunaelekea kuwafikia mafisadi.

Pinda inatakiwa aondoke hili asiingizwe kwenye kundi moja kwa moja.

Please Pinda Ondoka ondoka tu. Kuwa mwananchi mtiifu wa Tanzania.

He is no longer mtiifu any more kwa Tanzania ,bali kwa Mafisadi wa Meremeta,Tangold,Deepgreen finance, Mwananchi Gold ltd. .....unaweza kuendeleza mpaka mwisho wa siku.
 
Nafikiri tunaelekea kuwafikia mafisadi.

Pinda inatakiwa aondoke hili asiingizwe kwenye kundi moja kwa moja.

Please Pinda Ondoka ondoka tu. Kuwa mwananchi mtiifu wa Tanzania.

Yani kwa maelezo yake bungeni leo asiwekwe moja kwa moja?
Ama na yeye apewe nafasi kama wengine mliokuwa mkiwapa nafasi!?
MH!
Ila this time around huyu unataka kumpa nafasi ya kuja na kukanusha kuwa hakukanusha KWAMBA MKAPA NI FISADI...MEREMETA NI YAKE NA SI YA JESHI!
Duh!
 
Nilianzisha thread na kumtaka Killango atoke ccm kwasababu kikao walichokaa na MKAPA...SAMBAMBA NA FAMILIA YA MWALIMU KUAMUA KUMKUMBATIA WAZI WAZI NA KUMWACHA HATA KWENYE FAMILIA YAO....NI KITENDO CHA HUZUNI KILICHOPELEKEA MIMI KUKIRI WAZI KUWA...MWALIMU ALIPOKUFA NA ccm ILIKUFA NAYE!
 
"Jumatano, mbingu zitafunguka na sauti itasikika ya kwamba "mafisadi mmekwisha"! Mna siku tano kujisahihisha kuhusu uzugaji huu! "

Mwanakijiji

Nasubiri kwa hamu siku hiyo ya jumatano, maana wengi tutafufuka.
 
Katiba yetu ina vipengele vifuatavyo ambaavyo naamini vinaweza kutumika kutota katika hii time warp ya ufisadi. Pinda anakuwa kama Q wa Star Trek!

Katiba inasema kuwa Rais anaweza kulivunja Bunge endapo baadhi ya mambo yatatokea, miongoni mwa hayo ni:



Mimi naamini wabunge wakatae kupitisha mojawapo ya bajeti hizi zas serikali au hoja ya Waziri Mkuu ili hatimaye Rais alazimike kuvunja Bunge na turudi kwa wananchi na kuanza moja.

Kuhusu Majeshi yetu Katiba inasema hivi:


Sijaona mahali popote pale ambapo panampa madaraka Rais kuliamuru Jeshi letu lolote kufanya biashara ya aina yoyote isipokuwa iwe inahusiana na Vita na ulinzi wa nchi. NI lazima serikali ioneshe ni jinsi gani Meremeta na makampuni mengine yamehusishwa na masuala ya vita au ulinzi wa nchi. Yaani, hiyo vita iliyosababisha kuundwa kwa Meremeta na kuchotwa mabilioni ilikuwa inapiganwa wapi?
 
Na Sasa Nimeamini Option Ni Mbili...

Option 1...

Ccm Walikomboe Taifa Kwa Kuyatema Maslahi Ya Chama Na Makubaliano Yao Na Mkapa Kwene Kikao Chao Cha Siri!

Option...wapinzani Na Mkongozwa Na Dk Slaa Pamoja Na Wengine Kama Kina Mwakyembe Simamieni Haki Na Muhakikishe Mchele Na Chuya Vinabainishwa...hili Litasaidia Kuuza Issue Kwa Taifa Ambalo Limeshaanza Kusikia Harufu Mbaya!

Mungu Atuongoze Na Atuangazie Ili Mwanga Wake Uwamulike Waovu Wote Waliomtenda Yeye Na Watu Wake Mabaya Yasiyothimilka!

God Willing....we Will Be Victorious!
 
We need a new government with a new Mandate.. turudi kwa wapiga kura. Let me look at the constitution...

Nimekuwa nikisema kila siku kuwa kuna haja ya kuwahamasisha wapiga kura ili kufanikisha regime change kwa uhalali. Wapiga kura wahamasishwe waone mapungufu ya serikali waliyoichagua, ili wakati wa kura ujao waweze kufanya uamuzi wa manufaa kwao.

POWER TO THE PEOPLE!
VENCEREMOS!
PATRIA O MUERTE!
 
He is no longer mtiifu any more kwa Tanzania ,bali kwa Mafisadi wa Meremeta,Tangold,Deepgreen finance, Mwananchi Gold ltd. .....unaweza kuendeleza mpaka mwisho wa siku.

Pinda ameishapinda kabisa. Lakini kuna msemo kuwa jina huwa lina mahusiano na matendo. Kwa hiyo sishangai
 

Hivi Nilivyosema Niko Mbioni Kuifungulia Serikali Mashitaka Ulifikiri Nacheza?
Nilimpa Kikwete Wiki Hadi Ijumaa!
Amekataa!
Na Mimi Nilijua Hawawezi Kuuficha Huu Ukweli Bila Kukiuka Katiba Yetu Ya Jamhuri Wa Muungano Waliyoigeuza Kuwa Katiba Ya Mafioso Mafisadi!

Na TRUST ME...Baada ya OPTION A KILLANGO...HII NI OPTION P PINDA!
MIMI NILIWAAMBIA WAJE NA OPTION B.
SASA WAMEPITILIZA NA KWENDA HADI P...WAMEPTILIZA ALPHABETI TAKRIBAN 16 HIVI!(A-P=16)
WAO WANABAKIA KUSEMA JMUSHI KICHAA...AMA HATA KUAMINI!

NILIWAANZISHIA THREAD NA KUWAPA USHAURI WA KUTOIPIGIA KURA BAJETI YA MAFISADI ILI BUNGE LIVUNJWE TURUDISHIWE WATU WETU!
WAPINZANI WOTE WALISIKILIZA USHAURI KASORO CHEYO AMBAYE NAYE SASA AMEKURUPUKA KWANI ANAJUA MAISHA YAKE YA KISIASA YAKO DTERMINED DEPENDING NA PERFORMANCE YAKE KWENYE BUNGE HILI LA KIHISTORIA KABISA TZ KULIKO ILIVYOWHI KUWA WAKATI WOWOTE ULE KWENYE HISTORIA YA TAIFA LETU TUNALOLIPENDA KUPITA KIASI!
 
Hawa jamaa wanatuzuga kwa kutulazimisha tukubaliane nao kwamba wanajeshi wanaruhusiwa na katiba ya nchi kufanya biashara za siri, hata kama si biashara halali. Kama ni biashara halali basi si wangetuonyesha balance sheet.... Sisi si wadanganyika kiasi hiki.

Wakati murua umefika kwa Pinda kujiuzuru... Si vyema kukubali kudanganywa milele na watu waliopata publicity kubwa siku chache baada ya kuapishwa kutumikia Taifa kuwa wao ni watu wa Mungu kumbe ni wazugaji tu. Mtu huyu ana-deserve kuzomewa kanisani kwamba yeye ni fisadi kila mara anapokwenda kupokea sakramenti. Akiwa analishwa tu sakramenti my two year old daughter will say it loud kwa sauti ya kitoto "FISADIIIII"... Ebu nipeni address ya kanisa analosali ili mi na familia yangu tukajipange humo na kuanzisha huu moto. Si vyema kukubali kuongozwa na watu wanafiki.
 

Huyo PADRI atakaye mpa hiyo sacramenti apigwe mawe kama hiyo biblia yao inavyosema!
Kwamba kama MUNGU mwenyewe keshatuonyesha wazi wazi hivi halafu kuna wanaotaka ku PINDA haki yetu...Washirika wao nao watakuwa ni majambazi sambamba na PINDA,MKAPA,ROSTAMA AZIZI,IDDI SIMBA,CHENGE,KIKWETE,KARAMAGI,LUKAZA,MALEGESI,BALALI..THE LIST GOES ON AND ON!
 

Nachukulia haya kama amri kutoka JF, kama mtumishi wenu nitasema! Nitahoji! Nitatoa ushahidi kuwa PM hajasema ukweli wote kuhusu Meremeta! Jumatatu
 
Nachukulia haya kama amri kutoka JF, kama mtumishi wenu nitasema! Nitahoji! Nitatoa ushahidi kuwa PM hajasema ukweli wote kuhusu Meremeta! Jumatatu

Shukrani bwana Zitto kwa kuona uzito wa suala hili aliloanzisha mwanakijiji kwamba linahitaji kuchukuliwa seriously.

Tunaamini uyasemayo, na kwa jinsi tunavyokufahamu upangaji hoja wako ulivyo makini tunategemea spika atakuelewa na kutekeleza inavyotakiwa.

Asante sana na Mungu akubariki milele. Tuko pamoja nawe.
 
Nachukulia haya kama amri kutoka JF, kama mtumishi wenu nitasema! Nitahoji! Nitatoa ushahidi kuwa PM hajasema ukweli wote kuhusu Meremeta! Jumatatu

Hivi hata PM akilidanganya bunge inatakiwa achukuliwe hatua zipi? Lakini nafikiri cha maana ajiuzulu tu.
 
Go on Zitto.. this is the right moment for the truth.
Wengine tayari tumeanza novena na mafungo kwa ajili ya taifa letu lililopo katika hatari ya kuangamizwa na mafisadi.
 
Go on Zitto.. this is the right moment for the truth.
Wengine tayari tumeanza novena na mafungo kwa ajili ya taifa letu lililopo katika hatari ya kuangamizwa na mafisadi.

Kama Pinda akiwa succesfull kwenye issue ya Meremeta what do you expect him to say kwenye issue ya KIWIRA na Mkapa? We should stop this nonsense now. To him, this is like litmus test ... maana akifanikiwa kwenye hili ndio ataona kwamba "Yote Yanawezekana" na ataendeleza kauli mbiu zake kutetea ufisadi wa aina zote ambao utapitia kwenye anga zake.

Tusikubali kulelea tabia za aina hii kwani akiwa sugu itakua ni vigumu kumrekebisha. "Samaki hupindwa akiwa mbichi". This is the right time kumpinda ndugu Pinda. He deserve to go...
 

Kanuni zitatumika ipasavyo.......... niachie!
 

Hivi ninyi ni mabingwa wa kusahau???
mnakumbuka wakati jina lake limepelekwa bungeni mara ya kwanza ili awe waziri mkuu wabunge walipata nafasi ya kuchangia?? Kuna mbunge mmoja wa monduli alisimama akasema HUYU JAMAA NI KAMA MIMI.... na akaendelea kumwagia misifa mpaka nikahisi luninga yangu inanuka shombo....

Basi mwenye sikio na aone na mwenye macho asikie kwani nchi hii imejaa miujiza kila kukicha. Kuna siku bakora zitajishusha zenyewe ktk matawi ya miti na kuanza kuwacharaza hawa walumendago
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…