Nasikia kuwa baada ya mzee Mandela kushika uongozi S/A kulionekana tatizo la usalama wa bahari yetu ya Hindi kuingiliwa hovyo bila serikali kugundua, hivyo Mzee Mandela akasema Watanzania mlinisaidia sana nami sipendi kuona usalama wenu ukiwa hatarini hivyo natoa mapesa muone mtayatumia jinsi gani kuimarisha ulinzi wenu pamoja na bahari yenu, mipesa hiyo ikaingia mikononi mwa BWM na watalaam wake wakupindisha mambo ndipo ikabuniwa Buhemba,Meremeta,Tangold,etc alimradi fujo ilianzia hapo kwani wote waliokuwa wanajua kuwa hii ni zawadi kutoka kwa Madiba walinufaika mpaka Buhemba ilipokufa, kitamu kingine katika ze comedy hii ni kwamba kwa maisha yote ya marehemu BUhemba mpaka ilipokufa na kuzikwa hakuna hata senti tano iliyoingia si Buhemba, serekalini, wala Nyumbu-TATC pale Kibaha. waliuza sana lakini pesa-0000....
Kwa hilo ndugu zanguni Pinda atasema nini zaidi ya kusema Meremeta ni siri ya serikali? (story hii ni habari niliyopewa na jamaa yangu aliyekuwa karibu nao katika kwapuakwapua)