Okay sweetheart now I'll let you go! Nenda mchumba🥺

Okay sweetheart now I'll let you go! Nenda mchumba🥺

Naelewa...huyo dada katili sana aisee 😥🤦‍♀️
Unasema ...👂👂👂.. ndio ukubwa
Screenshot_20230828-131329.png
 
Mshukuru Mungu amekuonyesha rangi halisi ya huyo uliyekua naye,una bahati sana,pengine huko mbeleni angekuja kukupiga na kitu kizito zaidi,

When one door is close another is opens,

Hamishia hasira zako kwenye kutafuta hela.
 
Yaani mwanaume ukiwa huna neno "sina kwa sasa" mdomoni mwako basi jua siku si nyingi utalizwa siku ukiwa huna kweli.

Nimejifunza kuishi kwa machale na kutomuamini mwanamke na kumpa uaminifu wa 100% coz nae ni binadam. Nilijifunza kua jinsi wewe ulivyo na tamaa basi hata yeye ana tamaa vilevile.

Kaa nae kitaalam, siku akichange basi hutaumia sana kumuacha aende. Utaumia siku chache then utamove on kirahisi.

Piq usisahau kumfanya nae akufurahiahe kwa namna moja au nyingine. Usijifanye wewe ni gudi boi kila kitu kwako anapata, you treat her like a queen lakini wewe anakutreat the way yeye anaona ni sawa.

pole sana.
 
Back
Top Bottom