Okay sweetheart now I'll let you go! Nenda mchumba🥺

Bintii amekutia Uchungu eehh!! pole!!tafuta hanschoice kubwa na juisi ukwaju ya Azam bariidi endelea kunywa,,,agiza na kitimoto rosti yako kilo na nusu,,,Chukua dew drop bariidi shushia lala!!
 
And the journey begins
 
Taken gracefully 🙏
 
As they say buddy" if you are brave enough to let go ,life will bless with new hello"

I hope the same thing amigo, thanks for your consolation 🙏
 
Mashairi mazuri
 
Nami naomba nichangie hii mada japo kwa freestyle.

******************

Sikujua ni rahisi kuchizika, unapozama kwenye upendo.../

Hata dili ziliponipita, sikujali kuwa nyuma ya malengo.../

Kitandani ulikuwa kama TANESCO kwa jinsi ulivyokuwa unakatika, pipi ilinyonywa kiufundi kama mdomoni una mapengo.../

Unakumbuka zile nyakati tukiwa katikati ya pilika, speed kali barabara mbovu na hatupunguzi mwendo?.../

Achana na hayo leo nina kitu nataka nikuambie, hakiwezi kuwa kizuri sijui ka umejipanga bibie?.../

Ni kitu ambacho kutwa nzima kimenifanya nilie, lakini ulivyokuwa mnafki ukitoka hapa lazima ukashangilie.../

Najua kuwa unanisaliti, Najua kuwa tupo wanaume wengi uliotupanga kwenye list.../

Najua kwenye chumba cha moyo wako Scars sina siti, najua kuwa unapoaga kwenda home hua haufiki.../

Najua vingi najua unafiki, najua namba ya mwanaume uliyemsevu vick.../


Naendelea
 
Mshukuru Mungu amekuonyesha rangi halisi ya huyo uliyekua naye,una bahati sana,pengine huko mbeleni angekuja kukupiga na kitu kizito zaidi,

When one door is close another is opens,

Hamishia hasira zako kwenye kutafuta hela.
all she cared about was money, the little stumble of mine made her love to me lame, namshukuru Mungu though ni kwa maumivu but time heal almost everything, I'll be okay.🙏
 
💀💀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…