Okay...! Vijana wenzangu chini ya miaka 40 kuna kamjadala hapa. Tukutane utupe maoni yako!!

Okay...! Vijana wenzangu chini ya miaka 40 kuna kamjadala hapa. Tukutane utupe maoni yako!!

1738928421517.jpg
 
Maisha ya umaskini ni nusu kifo ...Miaka 80 mingi sana labda uwe na nguvu ,kuna wengine miaka hiyo wanateseka kwa kujisaidia bila ya kujua wengine hapati ladha ya chakula chochote kile.
 
Miaka 40 ni sawa na miaka 30 ya kuishi sasa umepiga hesabu hii pia
 
Back
Top Bottom