I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Ungependa kuishi mpaka miaka 40 tu lakini uwe na MAISHA YA KIFAHARI, au mpaka miaka 80 lakini uishi MAISHA YA KAWAIDA?"
~ Tudondoke hapo chini.
~ Tudondoke hapo chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipumbavu sana hili. Anyway, you will be fine. Stop overthinkingUngependa kuishi mpaka miaka 40 tu lakini uwe na MAISHA YA KIFAHARI, au mpaka miaka 80 lakini uishi MAISHA YA KAWAIDA?"
~ Tudondoke hapo chini.
Usilete upumbavu wako kwenye uzi wangu. Unamletea nani makasiriko yako?Swali la kipumbavu sana hili. Anyway, you will be fine. Stop overthinking
Sahihi kabisaKitu ambacho hamkijuwi,Miaka 40 siyo mingi.
Uzi wako? Ungekaa nao chumbaniUsilete upumbavu wako kwenye uzi wangu. Unamletea nani makasiriko yako?
😂😂Hivi ujana mwisho sio 35?
Anyway nisije nikakwaza watu humu.
Tamaa haina mipaka
VYOTE.
Ikitokea chance hiyo... Siiachi!Vipi mkuu, unataka kuuza nafsi.
Nimeutoa nje ukauke.Uzi wako? Ungekaa nao chumbani