Oko inafanyaje kazi?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Wataalamu hebu tusaidiane oko inayoziba pancha inafanyaje kazi? Na inafananaje?

Asanteni
 
Usiweke oko...labda kama tairi umeshalichoka sana..

Ukiweka kwenye tairi za mbele gari usukani unayumba yumba ukikata kona barabara ya lami.

Baadae inaumua matairi yanavimba na kupinda pinda..

Naongea nikiwa na uzoefu wa hili..
Weka kiraka kwa ndania au piga tambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…