Usajili mzuri, ukilinganisha na mawinga waliopo Yanga. Sijawahi kuelewa kwa nini Simba walimkatia tamaa kirahisi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila utopolo....View attachment 2855801
Mchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo ili aonekane ana umuhimu, analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.Usajili mzuri, ukilinganisha na mawinga waliopo Yanga. Sijawahi kuelewa kwa nini Simba walimkatia tamaa kirahisi.
Sijaelewa unataka kumaanisha nini?Mchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwaSijaelewa unataka kumaanisha nini?
Kwamba wachezaji wafupi hawajui kupiga set pieces? Au ulikuwa unamaana gani?
Hicho kiazi hua kinajiona kipo smartSijaelewa unataka kumaanisha nini?
Kwamba wachezaji wafupi hawajui kupiga set pieces? Au ulikuwa unamaana gani?
Ingekuwa timu inaangalia set pieces tu wangekuwa wanasajili mangongoti tupu, yule kondeboy aliyekuwa anaisadia Simba kipindi hicho kabla ya kwenda Al Ahly alikuwa ni tall?Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Aki comment pumba, akianzisha uzi ndio pumba zaidiHicho kiazi hua kinajiona kipo smart
HahaaaaaAki comment pumba, akianzisha uzi ndio pumba zaidi
Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au WydadIngekuwa timu inaangalia set pieces tu wangekuwa wanasajili mangongoti tupu, yule kondeboy aliyekuwa anaisadia Simba kipindi hicho kabla ya kwenda Al Ahly alikuwa ni tall?
Penalty yenyewe mpaka arudie kupiga mara mbiliMchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
Baada ya kuisaidia Simba , vipi ilifika malengo?Ingekuwa timu inaangalia set pieces tu wangekuwa wanasajili mangongoti tupu, yule kondeboy aliyekuwa anaisadia Simba kipindi hicho kabla ya kwenda Al Ahly alikuwa ni tall?
OkrahBaada ya kuisaidia Simba , vipi ilifika malengo?
Mimi sijafurahishwa ujio wa kiburushuti Okrah kwenye klabu yangu ya Yanga.
Soka la kisasa linahitaji mchezaji mrefu.
Msimu uliopita US Monastir ya Tunisia ilitufunga bao mbili za haraka haraka kule kwao, na mabao yote ni kwasababu mabeki wetu ni wafupi.
Vipi kubabageMchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
Mfupi mnooo. Hakuna timu iliyo serious inaweza kumnunua. Yaani Gary Neville alikuwa mfupi ila alikuwa futi 5.9. Kibabage ni 5.3Vipi kubabage
Yanga Wachezaji Wafupi ni Wengi...Mfupi mnooo. Hakuna timu iliyo serious inaweza kumnunua. Yaani Gary Neville alikuwa mfupi ila alikuwa futi 5.9. Kibabage ni 5.3