Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Hili Jambo La Ufupi inabidi Lifanyiwe Kazi Seriously pale Yanga...!

Mambo Ya Kusema Ooo mbona Messi alikuwa Mfupi sio Sawa..! Ni nani pale Yanga Ana Kipaji Kama cha Messi..?

Ogopaaa...Jidanganyeee...!

Robo ya CL sio Lelemama...!
Robo ya cl ni jambo la kawaida mno ndio maana hata simba ambaye ni mbovu huwa anaingia kwa mtazamo wangu kuingia robo ligi ya mabingwa na kuchukua ubingwa wa NBC kigumu ni NBC
 
Konde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
Mkuu unajiaibisha, bora unyamaze.
 
Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Unamjua Diogo Jota?
 
dah! hapa sidhani kama dish lina kamata satellite
Jamaa inabidi aende kujifunza mpira,hajui kitu yani ni mweupe sana kichwani yeye anafikiri kuwa mrefu ndo kujua kucheza mpira wa miguu.Wakati hao warefu mara nyingi uwanjani wanatumwa tu na watu wafupi,yani mrefu anakaba mfupi anafanya kazi za kutumia akiri,duniani kote soka limeshikiriwa na wachezaji wa vimo vya kawaida tu
 
Hili Jambo La Ufupi inabidi Lifanyiwe Kazi Seriously pale Yanga...!

Mambo Ya Kusema Ooo mbona Messi alikuwa Mfupi sio Sawa..! Ni nani pale Yanga Ana Kipaji Kama cha Messi..?

Ogopaaa...Jidanganyeee...!

Robo ya CL sio Lelemama...!
Timu inatakiwa iwe na wachezaji wenye uwezo tu.Hata ukiwa na warefu wote kama Zalan kama hawana uwezo kazi bure sababu urefu hauchez mpira
 
Back
Top Bottom