Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Swala huyo.......
Ni mbio tu.
Kichwani hamna kitu.
Ni mbio tu.
Kichwani hamna kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robo ya cl ni jambo la kawaida mno ndio maana hata simba ambaye ni mbovu huwa anaingia kwa mtazamo wangu kuingia robo ligi ya mabingwa na kuchukua ubingwa wa NBC kigumu ni NBCHili Jambo La Ufupi inabidi Lifanyiwe Kazi Seriously pale Yanga...!
Mambo Ya Kusema Ooo mbona Messi alikuwa Mfupi sio Sawa..! Ni nani pale Yanga Ana Kipaji Kama cha Messi..?
Ogopaaa...Jidanganyeee...!
Robo ya CL sio Lelemama...!
Hayo magarasa yalimpiga mtu 5Siyo hoja hiyo. Kumbe Hersi anasajili magarasa, wakikusikia wenzio....
Mkuu unajiaibisha, bora unyamaze.Konde Boy aliuzwa kiasi gani kwenda Al Ahly, timu namba moja Afrika ndiyo umlinganishe na Okrah? Sakho alichukua kiatu cha goli bora la CAF la msimu mzima. Nani hapo Deportivo de Utopolo amefikia mafanikio hayo toka kikundi chenu kianzishwe?
Aliyeita mchezaji wa Yanga garasa ni huyo mwenzioHayo magarasa yalimpiga mtu 5
Muulize Messi ni mrefuSijaelewa unataka kumaanisha nini?
Kwamba wachezaji wafupi hawajui kupiga set pieces? Au ulikuwa unamaana gani?
huyo msichana ni simba mwenzioAliyeita mchezaji wa Yanga garasa ni huyo mwenzio
Unamjua Diogo Jota?Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Ukisikia kiazi ndio hichoMkuu unajiaibisha, bora unyamaze.
Jamaa inabidi aende kujifunza mpira,hajui kitu yani ni mweupe sana kichwani yeye anafikiri kuwa mrefu ndo kujua kucheza mpira wa miguu.Wakati hao warefu mara nyingi uwanjani wanatumwa tu na watu wafupi,yani mrefu anakaba mfupi anafanya kazi za kutumia akiri,duniani kote soka limeshikiriwa na wachezaji wa vimo vya kawaida tudah! hapa sidhani kama dish lina kamata satellite
Sasa mbona hueleweki kijanaKatika hao wa Mamelodi kutoka America ya kusini, Allende pekee ndiye unaweza kusema ni mfupi
Timu inatakiwa iwe na wachezaji wenye uwezo tu.Hata ukiwa na warefu wote kama Zalan kama hawana uwezo kazi bure sababu urefu hauchez mpiraHili Jambo La Ufupi inabidi Lifanyiwe Kazi Seriously pale Yanga...!
Mambo Ya Kusema Ooo mbona Messi alikuwa Mfupi sio Sawa..! Ni nani pale Yanga Ana Kipaji Kama cha Messi..?
Ogopaaa...Jidanganyeee...!
Robo ya CL sio Lelemama...!
Kajifunze soka bado hujui mpira,hiyo timu yenye wachezaji wafupi ndo inayoongoza kwa kufungwa magoli ya vichwa?Mnajitajia tu watu ambao hawaendani na tunachoongelea. Kumbe mnaotea hamjui mnachoongea
Bro unajichosha tu kwa huyu mtuKonkoni ni mrefu, lakini garasa la kutupwa
Huyo kakariri tu eti mchezaji awe mrefu ndo timu haitafungwa magoli ya vichwa.Hivi kuna timu ina wachezaji warefu kama Everton England lkn ni ya ngapi kimsimamo?Mbona Boko ni mrefu pia?
Ongeza Bernardo Sliver, Roberto Carlos, Marcelo, Veratti, funga kazi ni Mathieu Valbuena 5.6'Unamjua Diogo Jota?