Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Sasa kama jambo jepesi kufika ROBO CL mbona yanga msimu wa 50 hajafika robo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nyie mbona vichwa vigumu,makundi tu imewachukua 25yrs alafu unaibeza robo khaaaa
Ndio ujue Simba SC ni kubwa na malengo yake pia ni makubwa zaidi,hatujaweka malengo ya robo,tumeweka malengo ya NUSU,Kama robo ni kitu kikubwa robetinho kafukuzwa kwanini
mwaka jana mulitimiza malengo yenu?Ndio ujue Simba SC ni kubwa na malengo yake pia ni makubwa zaidi,hatujaweka malengo ya robo,tumeweka malengo ya NUSU,
uto wana malengo ya makundi waliyoshindwa kuingia kwa MIONGO KADHAA/ROBO KARNE
Nyie endeleeni kusajili akina Miso Misondo,mkipigwa 5 mnasema ni ushirikina.Wazee wa leftovers - [emoji14] [emoji14] [emoji14] (okota okota mabaki ya misosi)
Leo Okrah akiitwa mfupi unamind?Hicho kiazi hua kinajiona kipo smart
Kutotimia malengo ndiko kufeli wewe dogoKwani malengo lazima yatimiel
Kikubwa malengo yetu nyinyi kwenu ni ndoto
Hivi yule Allende wa Mamelodi ni mrefu...Kwa sababu ya ufupi wanakuwa siyo tegemeo sana kucheza mipira ya juu, siongelei kupiga. Saidoo anakimbilia kupiga kona na free kicks kwa sababu anajijua hana msaada sana kuicheza kwa kichwa
Amesajiliwa kucheza football sio basketballLeo Okrah akiitwa mfupi unamind?
unaelewa maana ya kufeli?Sasa aliyefeli PhD utamfananisha na aliyefeli darasa la 4?
Unafikiria kutumia kiungo gani dogo?
Hayo mambo ya jamaa kuwa mfupi mliyazungumza sana alipokuwa Simba Sc. Kumbe kule alikuwa anacheza basketball?Amesajiliwa kucheza football sio basketball
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila utopolo....View attachment 2855801