Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Okra Agustine amfuata mwenzake Mkude Yanga

Baada ya kuisaidia Simba , vipi ilifika malengo?

Mimi sijafurahishwa ujio wa kiburushuti Okrah kwenye klabu yangu ya Yanga.

Soka la kisasa linahitaji mchezaji mrefu.

Msimu uliopita US Monastir ya Tunisia ilitufunga bao mbili za haraka haraka kule kwao, na mabao yote ni kwasababu mabeki wetu ni wafupi.
Lengo lipi?
Vipi mechi ya marudiano na hao Monastir kwa Mkapa, walipata goli ngapi au Yanga ilienda kukodi mabeki warefu? Au Monastir hawakupata kona hata moja au set pieces yeyote ile?
 
Ila huyu mchezaji alikuwa ni hatari sana wakati anasajiliwa simba. Na kwa upande wangu nilikuwa namhofia sana wakati alipocheza kwenye ile michezo ya derby.

Naamini kama taarifa ni ya kweli, basi anaweza kuisaidia Yanga kwa upande wa pembeni. Maana ni aina ile ya viungo washambuliaji wachache wa pembeni wenye ujasiri wa kuwafuata mabeki. Muhimu tu asiwe majeruhi.
Na aache bapa, nasikia ni mtu wa Tungi huyu dogo
 
Lengo lipi?
Vipi mechi ya marudiano na hao Monastir kwa Mkapa, walipata goli ngapi au Yanga ilienda kukodi mabeki warefu? Au Monastir hawakupata kona hata moja au set pieces yeyote ile?
Namaanisha hata kule kwao ilitakiwa wafungwe na hata possession tuliwazidi
 
Ingekuwa timu inaangalia set pieces tu wangekuwa wanasajili mangongoti tupu, yule kondeboy aliyekuwa anaisadia Simba kipindi hicho kabla ya kwenda Al Ahly alikuwa ni tall?
Anafikiri mpira wa miguu ni basketball
 
Naskia sio tabia Tu jamaa ana matatizo ya kiafya hasa hasa kwenye mazingira ya baridi Sana na kwenye high attitude anashindwa kupumua vizuri na hata akipanda ndege Tu kidogo ni shida tupu..

Simba sio wajinga kumuacha mchezaji mzuri bila kuwa na tatizo
 
Naskia sio tabia Tu jamaa ana matatizo ya kiafya hasa hasa kwenye mazingira ya baridi Sana na kwenye high attitude anashindwa kupumua vizuri na hata akipanda ndege Tu kidogo ni shida tupu..

Simba sio wajinga kumuacha mchezaji mzuri bila kuwa na tatizo
Uko sahihi ila waache yawakute 😀 😀 😀
 
Basi umprove wrong rage kwa lile jina alilowapa,jamaa kadai wachezaji wafupi hawana faida,mimi nimemtolea mfano tu kwa messi mbu3 unakuja na hoja nyingine!kuna sehemu nimeitaja Yanga pale?
Ndiyo maana nikasema "awe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wake uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi unakuwa siyo ishu". Unadhani naweza kuwakataa wachezaji wafupi bila kuwakumbuka kina Messi, Maradona na wengine wachache kadhaa waliofanya makubwa?

Sijasema wachezaji wote wafupi hawafai. Kwa timu za level ya Simba, ukiwa mfupi inabidi uwe na kipaji cha hali ya juu sana na mchango wako uwanjani uwe juu sana kiasi kwamba ufupi wako unakuwa siyo ishu. Bila kwenda EPL, niambie mchezaji wa kimo cha Okrah anayechezea Al Ahly, Mamelodi au Wydad
 
Mchezaji mzuri na hakustahili kuachwa na Simba ila pia wachezaji wafupi nao kuna vitu wanashindwa kukupa. Mpira wa kisasa timu zinategemea sana set pieces na wachezaji wafupi wanakuwa hawana faida sana. Matokeo yake wachezaji kama Saidoo ili aonekane ana umuhimu, analazimisha apige kila kona na faulo wakati amedhihirisha siyo mpigaji mzuri wa mipira hiyo ukiacha penati.
Ni sawa ila timu nzima sio wafupi, timu wachezaji warefu wengi tu.
 
Ila huyu mchezaji alikuwa ni hatari sana wakati anasajiliwa simba. Na kwa upande wangu nilikuwa namhofia sana wakati alipocheza kwenye ile michezo ya derby.

Naamini kama taarifa ni ya kweli, basi anaweza kuisaidia Yanga kwa upande wa pembeni. Maana ni aina ile ya viungo washambuliaji wachache wa pembeni wenye ujasiri wa kuwafuata mabeki. Muhimu tu asiwe majeruhi.
Hakuna mchezaji hapo.
 
Back
Top Bottom