OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
nzengeli kwa sasa hana match fitness mkuuAcha utani mzee
huko kwenye match za klabu bingwa anakuaga kama vile hayumo anamalizaga hata dakika ishirini bila kupiga krosi mpaka pacome ndio anaanza kufanya kazi ya ushambuliaji kwa kukokota mpira kuupereka kati kisha kupiga mashuti , okrah atatufaa ikiwezekana wagawane dakika au nzengeli akae benchi mwanzo mwishoMax anafanya kazi nyingi sana kwa wakati mmoja, kwenye beki yupo, kiungo yupo, kwenye ushambuliaji yupo.
sasa mkuu makianza wote okrah atacheza namba ngapi?Mimi nashauri waanze wote tu pale mbele ili kuleta maafa kwa Mwarabu. Yaani Pacome, Okrah, Nzengeli, Aziz Kii, Mzize, Mudathir, na Aucho.
Halafu kule nyuma Mwamnyeto tu ndiyo aangaliwe kwa jicho la karibu. Maana hatabiriki.
Okrah anacheza 7, Pacome 11, Aziz Kii 10, Mzize 9, Nzengeli 8, Aucho 6, na Mudathir ataanzia nje ili hesabu ya wachezaji 11 ikamilike.sasa mkuu makianza wote okrah atacheza namba ngapi?
mudathir ana press sana. na coverage kubwa sana.Okrah anacheza 7, Pacome 11, Aziz Kii 10, Mzize 9, Nzengeli 8, Aucho 6, na Mudathir ataanzia nje ili hesabu ya wachezaji 11 ikamilike.
Hii timu itabaki na beki wawili, Mkuu unataka kuwa profesa wa soka uvumbue mifumo?Mimi nashauri waanze wote tu pale mbele ili kuleta maafa kwa Mwarabu. Yaani Pacome, Okrah, Nzengeli, Aziz Kii, Mzize, Mudathir, na Aucho.
Halafu kule nyuma Mwamnyeto tu ndiyo aangaliwe kwa jicho la karibu. Maana hatabiriki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hii timu itabaki na beki wawili, Mkuu unataka kuwa profesa wa soka uvumbue mifumo?
Huyu nimeanza naye sub kwa sababu ana uwezo wa kuusoma mchezo akiwa nje.mudathir ana press sana. na coverage kubwa sana.
Nimerekebisha hapo juu baada ya kugundua nimeweka viungo wengi. 😁Hii timu itabaki na beki wawili, Mkuu unataka kuwa profesa wa soka uvumbue mifumo?
Mwamnyeto asicheze kabisa hii Mechi......Mimi nashauri waanze wote tu pale mbele ili kuleta maafa kwa Mwarabu. Yaani Pacome, Okrah, Nzengeli, Aziz Kii, Mzize, na Aucho.
Halafu kule nyuma Mwamnyeto tu ndiyo aangaliwe kwa jicho la karibu. Maana hatabiriki.
Naunga mkono hojaMwamnyeto asicheze kabisa hii Mechi......