Okrah aiponza Yanga, yapewa siku 45 kuilipa Bechem United Mil. 216

Okrah aiponza Yanga, yapewa siku 45 kuilipa Bechem United Mil. 216

Tuwe tu wakweli; usajili wa Augustine Okrah ulikuwa ni usajili wa hovyo. Naamini uongozi utakuwa umekubaliana na uhalisia, na ndiyo maana walimpa mkono wa kwaheri.
 
Niliwatahadharisha kuhusu wachezaji kutoka Ghana na Nigeria ni matapeli tu
Wengi wanaotoka huko kwanza wanakuwaga wamesoma na pia wao na mawakala wao wanazijua sana sheria za fifa zinazosimamia haki za wachezaji, na mpaka wanafikia hatua ya kusainiwa kwenye hivi vilabu vyetu tayari wameshaona loopholes zote za mikataba na ni wapi pa kutukabia endapo kama mambo yakienda ndivyo sivyo.... kiufupi wanakuja huku tayari wakiwa wamekiwa beneficial exit plan
 
Back
Top Bottom