Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Apo ukute pesa ilitolewa ila ikaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mfano ndio,kudaiwa sio issue hata timunkubwa zinafaiwaHalafu anakuja mla mihogo anasema eti uongozi wa Yanga ni mfano wa kuigwa na timu nyingine
Wengi wanaotoka huko kwanza wanakuwaga wamesoma na pia wao na mawakala wao wanazijua sana sheria za fifa zinazosimamia haki za wachezaji, na mpaka wanafikia hatua ya kusainiwa kwenye hivi vilabu vyetu tayari wameshaona loopholes zote za mikataba na ni wapi pa kutukabia endapo kama mambo yakienda ndivyo sivyo.... kiufupi wanakuja huku tayari wakiwa wamekiwa beneficial exit planNiliwatahadharisha kuhusu wachezaji kutoka Ghana na Nigeria ni matapeli tu