Uchaguzi 2020 Oktoba 2020 - Hali inaonesha Magufuli kushinda kwa zaidi ya asilimia 90, wabunge na madiwani wakutosha

Uchaguzi 2020 Oktoba 2020 - Hali inaonesha Magufuli kushinda kwa zaidi ya asilimia 90, wabunge na madiwani wakutosha

Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Tusibabaishane. Maneno haya yote ya nini? CCM ina kete moja tu itakayoipa ushindi wa asilimia 100. Nikuhakikisha mazingira ya sasa ya kutokuwa na tume huru ya uchaguzi na kutokuwa na katiba mpya yanaendelea. Hapo ushindi ni dhahiri hata kabla ya uchaguzi.
 
Siyo kweli mleta mada
My Raise atashinda kwa asilimia 100.Viti vyote vya ubunge na udiwani vitaenda CCM.Baada ya halo utaona uchumi utakavyopaa,Tanzania itakuwa zaidi ya Marekani,tutakuwa wafadhili Wa miradi mikubwa huko ulaya.
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Ungesema tu zaidi ya 100% ili Moyo wako na MATAGA wengine muendelee kufurahi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalali hawezi shinda, kimbinu zenu za goli la mkono atashida,maana mnabebwa na dora
 
Tume ya CCM, wanaohesabu kura CCM, wanaotangaza matokeo CCM.hata ingekuwa mimi nashinda uchaguzi.
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.

Sasa mnapunguza asilimia. Si mlisema atapitan kwa 100%, iweje leo ifike 90. Jiangalie, utafatwa weyeeeee.
 
Bila uchaguzi justification (Uhalali) wa serikali unapatikana vipi? Uchaguzi ni takwa la kikatiba ni lazima twende hivyo hivyo..na tume hii hii kwani tusipofanya uchaguzi mataifa watatutenga na tutaonekana sisi ni madikteta mtuelewe wadanganyika.
Ikiwa jaji Lubuva aliwahi kusema kwenye mfumo huu tulionao huwezi kuwa na tume huru, ikiwa tume inateuliwa na Raisi aliyepo madarakani unafikiri huo ni uchaguzi au ni uchafuzi.
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Mimi ambacho huwa najiuliza kila siku ni swali hili: Kama kweli kazi iliyofanywa na CCM inaonekana, sasa harakati zote za kuhonga madiwani na wabunge wa upinzani na kuwapitisha kugombea bila kuwa na mpinzani ndani ya CCM ni za nini? Matumizi ya polisi kwenye uchaguzi ni ya nini? Hofu ya kuwa na katiba mpya ni ya nini? Hofu ya kuwa na tume huru ya uchaguzi ni ya nini? Kampeni za 'kufa mtu'ni za nini? Yaani ukiitishwa uchaguzi hata wa diwani wa kata tu ni tabu tupu, mavyombo yote ya dola yanahamia hapo kwenye eneo la uchaguzi. Kwa nini? Hofu ya nini jamani nyie CCM wakati mnasema mmetekeleza ilani vizuri na kazi inaonekana kwa sisi wananchi.
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Mkuu October ni mbali sana,acha tupiganie uhai kwanza,anything can happen anytime
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Analysis bila data ni C'RAP
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu upuuzi ingekuwa vyema ungeupeleka kwenye Uhuru na Mzalendo wakachapishe huko. Kwa kifupi ccm kupitia vyombo vyake vya ukandamizaji watajitangaza kushinda kama inavyofanyika kila uchao huku Bara na kule Zanzibar. Hatujasahau ile kauli ya yule malaika "nikuteue mimi, nikulipe mshahara mimi, nikupe gari mimi na nikuwekee mafuta mimi, halafu umtangaze mpinzani!?" Hii kauli maana yake matakwa ya malaika ndiyo yatimizwe hata pale wananchi ambao kwao ndiko madaraka yanatoka wataamua vinginevyo.
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Atashinda au atajishindisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na utekelezaji wa ahadi, kukubalika kwa wagombea, uimara wa chama hadi kufikia kipindi cha uchaguzi ikiwemo pamoja na mambo mengine.

Kama ilivyo kawaida tayari hali katika mitaa, vijiji, kata, wilaya na mikoa, inaonesha kuwa Rais wetu mpendwa ndugu. John Pombe Joseph Magufuli ataashinda kwa idadi kubwa sana ya kura, na hii inatokana na uungwaji mkono mkubwa sana alionao kutoka kwa waTanzania wa kada mbalimbali. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kasi yake katika kuleta maendeleo na kushughulikia changamoto mbalimbali za kitaifa hadi za watu binafsi katika ziara zake, lakini pia jinsi ambavyo ameshughulikia janga la corona ambapo amezingatia sana hali ya WaTanzania walio wengi hivyo kuamua kutumia mbinu ambazo zinawezekana na zina matokeo kwa mazingira yetu na maisha yetu, hasa ikizingatiwa kuwa yapo mataifa makubwa ambayo yameumizwa na yameshindwa kudhibiti janga hili pamoja na uwezo wao wa kisayansi na kiteknolojia, amedhihirisha kuwa si kila wakati lazima uendeshe mambo kwakuwa fulani anafanya hivyo - (katika hili nafahamu viongozi wa dini wanauthibitisho wa wazi na ni mashahidi muhimu sana), barabara, vituo vya afya, watalam wa afya, vifaa tiba, reli, elimu bure, mikopo vyuo vikuu, reli, ndege, kukuza uchumi, nidhamu serikalini, kuondoa ufisadi na urasimu, pamoja na hayo yapo mengi sana lakini kwa kadiri siku zanavysonga nitakuwa nakueleza kwa kina kila alichofanya kwa kila eneo, najua wajua lakini napenda kukujuza zaidi ili wote tutembee kifua mbele kwa alichofanya kwa taifa letu kwa kipindi hiki.

Jambo jingine ni jinsi alivyoweza kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi kwa nafasi yake ya uenyekiti, (bila kusahau wasaidizi wake katika chama) hivyo wanachama wote kuwa proud na chama chetu, na hivyo wote kwa pamoja kuwa wakwanza kuhakikisha tunampatia kura zetu, kwakuwa sasa chama kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa ilani yetu makini, chama kina mapato yakutosha toka katika vyanzo vyake vinavyosimamiwa vizuri, chama kinakubalika na ni chama pekee Tanzania ambacho ni mali ya wananchi, sio mali ya mtu fulani au kundi fulani.

Kingine ni kuwa wapinzani wamekosa kabisa ajenda ya kusimama nayo, wamebaki kudandia matukio na kutoa matamko ambayo ni ya kitambo tu na baadae kudakia jingine, maana kasi ya Chama Cha Mapinduzi kwasasa ni kushughulikia kila changamoto ya wananchi na kuleta maendeleo kwa vitendo, sio kwa bahati mbaya kwamba wapinzani hawana ajenda ni kwasababu kila waliyodhani wataitumia imeshughulikiwa tayari, hadi imefikia wale walio wa kweli na wanaoamini katika maendeleo ya kweli wameamua kuunga mkono juhudi za Rais na serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Ushindi ni halali kabisa kwa Chama Cha Mapinduzi, Rais, wabunge na madiwani maana kazi inaonekana na wananchi wanaona na kuridhika,

Pamoja tunajenga taifa letu.
Mkuu kama Hali ingekua hivi unazani kungekua na haja ya NCCR kuwa agent WA political slave trade
 
Back
Top Bottom