fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Utekaji uliofanywa Oktoba 7 2023 ni njama za natanyahu kuiangamiza palestina.Hebu tujiulize maswali haya:
1.Hivi inaingia akililini kweli kwamba jeshi la mwamba natanyahau,tena likisaidiwa na silaha kali kali kutoka Marekani,na sio hivyo tu,ni jeshi la watoto wa taifa la Mungu,wavamiwe na jeshi la wanamgambo wa ngo ya hamas?
2.Ni kwa vipi hilo jeshi la mwamba natanyahu ambalo limebomoa kila nyumba gaza,mpaka leo limeshindwa kuwakomboa mateka?
3.Ukweli ni kwamba ni natanyahu mwenyewe ndio aliandaa tukio hilo na akalitekeleza na hata hao mateka anao yeye,ili atimize lengo lake ovu la kuiangamiza gaza.Lakini hatafanikiwa
1.Hivi inaingia akililini kweli kwamba jeshi la mwamba natanyahau,tena likisaidiwa na silaha kali kali kutoka Marekani,na sio hivyo tu,ni jeshi la watoto wa taifa la Mungu,wavamiwe na jeshi la wanamgambo wa ngo ya hamas?
2.Ni kwa vipi hilo jeshi la mwamba natanyahu ambalo limebomoa kila nyumba gaza,mpaka leo limeshindwa kuwakomboa mateka?
3.Ukweli ni kwamba ni natanyahu mwenyewe ndio aliandaa tukio hilo na akalitekeleza na hata hao mateka anao yeye,ili atimize lengo lake ovu la kuiangamiza gaza.Lakini hatafanikiwa