fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Sasa linganisha vifo 1,200 kwa Waisraeli na vifo 42,000 vya wapalestina na hasara ya makazi, shule, misikiti, makanisa, na taasisi mbali mbali kwa wapalestinaIle Oktoba 7 and aftermath Gaza yote ililipuka kwa nderemo na vifijo wakijihisi washindi miongoni mwa washindi.
Tulishauri sana humu, badala ya vicheko walipaswa kuomboleza uhuni ule pengine BWANA angeona toba yao na kughairi alichokuwa amekusudia kukifanya kwa ujinga ule! Walishupaza shingo!
Ni suala la common sense tu! Wangeitumia ipasavyo ingewasaidia sana.Sasa linganisha vifo 1,200 kwa Waisraeli na vifo 42,000 vya wapalestina na hasara ya makazi, shule, misikiti, makanisa, na taasisi mbali mbali kwa wapalestina
Jeshi la Israel ni hatari sana1.Hivi inaingia akililini kweli kwamba jeshi la mwamba natanyahau,tena likisaidiwa na silaha kali kali kutoka Marekani,na sio hivyo tu,ni jeshi la watoto wa taifa la Mungu,wavamiwe na jeshi la wanamgambo wa ngo ya hamas?
2.Ni kwa vipi hilo jeshi la mwamba natanyahu ambalo limebomoa kila nyumba gaza
Hatoweza kivipi wakati umesema ana jeshi kubwa ambalo lisingeweza kuvamiwa Oktoba 7??ili atimuze lengo lake ovunla kuiangamiza gaza.Lakini hatafanikiwa
Ungewauliza hamas ungeona kuwa ni wapumbavu kiasi gani. Wanajua Israel wanapolipiza karibu Mara kumi ya kile ulichowafanyia. Hamas walitakiwa kuhesabu ghalama ya matokeo ya kazi yao.Sasa linganisha vifo 1,200 kwa Waisraeli na vifo 42,000 vya wapalestina na hasara ya makazi, shule, misikiti, makanisa, na taasisi mbali mbali kwa wapalestina
Babu tengua kauli ndugu kinachombeba mwarabu ni utajili wa mafuta tu. Lakini akili kazidiwa mbali sana na mtu mweusi. Tutake radhiSiku zote omba kuzaliwa na akili ila usiombe kuzaliwa na rangi nyeupe.........waarabu ni weupe lakini akili ni nyeusi.......yaani wanashindwa hata akili ya kujiongoza sasa sijui wanataka waishije........oktoba 7 lilikuwa ni kosa la karne kwao kwa kuruhusu vibaka wachache kuchezea amani yao ya milele ........sasa wanavuna walichopanda ni zamu ya Israel na yenyewe kupata furaha
Kumbuka Hamas waliangamiza watu zaidi ya 1200 ndani ya masaa 9 mpaka walipodhibitiwa na jeshi, halafu pia walirusha makombora zaidi ya 5000 kwa kila siku. Tarehe 8 Oct Hezbollah wakaanza kushambulia kwa nguvu kubwa kutokea kaskazini.Sasa linganisha vifo 1,200 kwa Waisraeli na vifo 42,000 vya wapalestina na hasara ya makazi, shule, misikiti, makanisa, na taasisi mbali mbali kwa wapalestina
Hata waliopona vifo wako kwenye kambi za wakimbizi maji, chakula, dawa na makazi ni shida. Mashirika yanayotoa misaada wanafukuzwa, wawaache wapalestina wajifie natural death. Wakati shambulizia la October 7 lilileta shangwe, furaha na nderemo, kawaulize Gaza leo wanajisikiajeUngewauliza hamas ungeona kuwa ni wapumbavu kiasi gani. Wanajua Israel wanapolipiza karibu Mara kumi ya kile ulichowafanyia. Hamas walitakiwa kuhesabu ghalama ya matokeo ya kazi yao.
Ujaelewa bandiko langu........rudia kusoma tena.........nimemaanisha waarabu weupe lakini akili kichwani hakuna yaani kutupuBabu tengua kauli ndugu kinachombeba mwarabu ni utajili wa mafuta tu. Lakini akili kazidiwa mbali sana na mtu mweusi. Tutake radhi
Sasa uliposema Kama watu weusi nikakwambia tengua mkuu sababu watu weusi Wana akili kuwazidi waarabuUjaelewa bandiko langu........rudia kusoma tena.........nimemaanisha waarabu weupe lakini akili kichwani hakuna yaani kutupu
Hahaha hata hii ya Mo Salah kusherekea Christmas itakuwa ni njama za NetanyahuUtekaji uliofanywa Oktoba 7 2023 ni njama za natanyahu kuiangamiza palestina.Hebu tujiulize maswali haya:
1.Hivi inaingia akililini kweli kwamba jeshi la mwamba natanyahau,tena likisaidiwa na silaha kali kali kutoka Marekani,na sio hivyo tu,ni jeshi la watoto wa taifa la Mungu,wavamiwe na jeshi la wanamgambo wa ngo ya hamas?
2.Ni kwa vipi hilo jeshi la mwamba natanyahu ambalo limebomoa kila nyumba gaza,mpaka leo limeshindwa kuwakomboa mateka?
3.Ukweli ni kwamba ni natanyahu mwenyewe ndio aliandaa tukio hilo na akalitekeleza na hata hao mateka anao yeye,ili atimuze lengo lake ovunla kuiangamiza gaza.Lakini hatafanikiwa
ndo umejua leo hzo athari ?Sasa linganisha vifo 1,200 kwa Waisraeli na vifo 42,000 vya wapalestina na hasara ya makazi, shule, misikiti, makanisa, na taasisi mbali mbali kwa wapalestina
Kipimo cha akili nyingi au ujinga wa akili, ungepimwa kwa matumizi sahihi ya rasilimali au matumizi ya hovyo ya rasilimali hizo hizo za nchi na maendeleo ya watu, utafiti, ugunduzi, uzalishaji na ustaarabu. Rasilimali ya waarabu ni mafuta, je akili zao zimewasaidia kuyatumia vizuri au vibaya. Mtu mweusi/mtanzania ana rasilimali zaidi ya muarabu kama misitu, hifadhi ya wanyama, ardhi, gas, maji, madini, mifugo, samaki, hewa ukaa, makaa ya mawe, Chuma nk. Je rasilimali zote hizo mtanzania mweusi, akili zake amezitumia kujiendeleza au yuko taabani kama nguruwe pori .???? Kumfanananisha mtu mweusi na binadamu yeyote ni matusi kwa wastaarabu wote duniani weupe wote wapewe mauwa yao.Sasa uliposema Kama watu weusi nikakwambia tengua mkuu sababu watu weusi Wana akili kuwazidi waarabu