Oktoba 7 ni njama za natanyahu

Sasa uliposema Kama watu weusi nikakwambia tengua mkuu sababu watu weusi Wana akili kuwazidi waarabu
Sikusema watu weusi ila nilitumia kauli ya akili nyeusi ........nikimaanisha hakuwa na akili
 
Huyo mwarabu mafuta waligundua wao? Na walikuwa wao wa kwanza kichimba. Mwisho wa siku hao wazungu ndiyo wangunduzi wa hizo rasilimali ambazo mwarabu anatamba nazo
 
Walivamiwa au hawakuvamiwa? Au wal wavamizi mliowaona walikuwa ni wamarekani? Au ni waisrael wenyewe? Ikawaje shangwe za kushangilia zilisikika misikitini?😀
2.Ni kwa vipi hilo jeshi la mwamba natanyahu ambalo limebomoa kila nyumba gaza,mpaka leo limeshindwa kuwakomboa mateka?
Kwani HAMAS si wamekiri kwamba hao mateka bado wanao😀. Hata Israel akiua Hamas wote bado Mateka hatawapata bila kupewa na Hamas wenyewe😀, wanalindwa na kufichwa kuliko mtu yoyote yule duniani🤣
3.Ukweli ni kwamba ni natanyahu mwenyewe ndio aliandaa tukio hilo na akalitekeleza na hata hao mateka anao yeye,ili atimize lengo lake ovu la kuiangamiza gaza.Lakini hatafanikiwa
Lakini hadi leo Hamas wanakiri kuwa hao mateka bado wanao,😁😁
 
Huyo mwarabu mafuta waligundua wao? Na walikuwa wao wa kwanza kichimba. Mwisho wa siku hao wazungu ndiyo wangunduzi wa hizo rasilimali ambazo mwarabu anatamba nazo
Na waafrica dhahabu na gesi na chuma amewagundulia mzungu, halafu maendeleo yakoje kulinganisha na waarabu ambao pia technologia waliletewa na mzungu. Mwafrica bado ni nusu mtu.
 
Unalinda mateka 250 kwa gharama ya vifo vya wapalestina 42,000. Kweli akili za mwarabu anazijua mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…