Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Siyo kweliDa kapiga bonge la goli alikusanya kijiji akakichambua kama karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo umefurahi?Ishaisha kitambo ila opwi hakumaliza aliumia katolewa kwa machela
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unabisha Okwi hakukusanya kijiji
Alivyopigiwa mpira na juuko,alisita kupiga,mwili ulimgomea,wakati anajikakamua ili apige,mabek wakawa wamemsogelea kama wanne kabla hawajamdhibiti akapiga ndo likawa goli.Kuwakusanya mm najua kama alivyokuwa akifanya Gaucho au Okocha,anawafuata mnakuja kumkaba anawakata chenga anapita anafunga.Okwi alipokea mpira na akapiga sikuona chenga mkuu.Mbona unabisha Okwi hakukusanya kijiji
Alivyopigiwa mpira na juuko,alisita kupiga,mwili ulimgomea,wakati anajikakamua ili apige,mabek wakawa wamemsogelea kama wanne kabla hawajamdhibiti akapiga ndo likawa goli.Kuwakusanya mm najua kama alivyokuwa akifanya Gaucho au Okocha,anawafuata mnakuja kumkaba anawakata chenga anapita anafunga.Okwi alipokea mpira na akapiga sikuona chenga mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuishi kwa mahaba ni hatari kuliko bomu la nyukliaKuishi kwenye denial ni ugonjwa mbaya sana