Okwi amefunga goli nyingi kuliko timu nzima ya Yanga SC

Hizi furaha nilidhani zinatokana na kumpita Yanga alama kwenye msimamo. Kumbe ni shamra shamra za kumpita magoli..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Nimecheka sana yaani......
Mkuu Mimi nimewapa yanga hongera sababu mwanzoni okwi alikuwa na magoli mengi kuliko timu nzima ya yanga..sahivi yanga wameshampita okwi kwa magoli mawili zaidi...mkuu kwanini nisiwape hongera??
 
Mkuu Mimi nimewapa yanga hongera sababu mwanzoni okwi alikuwa na magoli mengi kuliko timu nzima ya yanga..sahivi yanga wameshampita okwi kwa magoli mawili zaidi...mkuu kwanini nisiwape hongera??


Tunataka Ongera za kutwaa mataji....ma sio kupitana magoli.! Kushindana magoli tuwaachie wakina Ndondo Cup.
 
Christian Ronaldo alipohijiwa baada ya kukabidhiwa Tuzo yake ya mchezaji bora wa Dunia, aliulizwa swali "ni mchezaji gani unamuhofia zaidi kwa sasa??? Alitabasamu kisha akajibu "kwa kweli huwezi kuwa mnafiki na kuacha kusema ukweli kuwa Emmanuel Okwi yupo vizuri sanaaa"
 
Tunataka Ongera za kutwaa mataji....ma sio kupitana magoli.! Kushindana magoli tuwaachie wakina Ndondo Cup.
kutwaa mataji..kombe lililopita yanga mbona walilichukua kwa kuwa na magoli mengi dhidi ya simba,kwanini leo nisiwape hongera kwa kumshinda magoli okwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…