Vipi Masau bwire mzee wa masimu mengi anampya gani hko[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mkuu yanga imekujaje sasa kwenye uzi huu? Kwan leo mlicheza na yanga leo au ndo muendelezo wa kuwewesekaYanga tia maji tia maji
Aseeee uyo chama...ataree tupuunimegundua kwanini yanga wanajaa kushuhudia mechi za simba, wanajaa kushuhudia burudani toka kwa mafundi wa msimbazi vitu wanavyovikosa kwenye timu yao
Chama alipiga free kick kutokea pembeni kama school boy..mpeni video's za Ajibu ajifunze anatia aibuAseeee uyo chama...ataree tupuu
Hii pia itasaidia kuokoa mipira atakayokua akiondoka nayo baada ya kufunga goli 3 au zaidi kila baada ya mechi.Huyu jamaa huwa sielewi kabisa.ikitokea akaenda kuchezea team yake ya Taifa huwa kama anaenda kunoa makali.akirudi anarudi na makali mapya.
Nadhan TFF waangalie suala hili kwa umakini isije ikawa jamaa akienda kwao anajifua sana. Hii inaweza leta madhara kwa team zetu hapa nchini maana tunaona jinsi anavyoziadhibu team pinzani.
Uyo ajibu hata timu ya taifa hasomeki, chama level nyingine usimfananishe na mla mihogoChama alipiga free kick kutokea pembeni kama school boy..mpeni video's za Ajibu ajifunze anatia aibu
Ila ndivyo tulivyo hebu tazama.View attachment 20181029155510.mp4Hahahah Simba Tuna Masifa Kama Barcelona Fc