Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Okwi ana miaka mingapi sasa? Jamaa anacheza mpira tangu nipo Secondary hadi leo!Aliekuwa nyota wa zamani wa Simba Emmanuel Okwi amethibitisha kutua club ya Al Zawra. Tayari ametambulishwa jijini Baghdad kukipiga ndani hiyo timu.