Okwi huyu! Hapana.....

Atawaridhisha mikia kwa kuifunga yanga. Baada ya hapo hakuna jipya
 
Niko uwanjani na nimemuangalia okwi vizuri tu yuko vizuri ana movement nzuri na yuko sharp kama kawaida kwa ujumla okwi yuko ok according to me na uelewa wangu wakisoka
Hahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]
 
Hahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]
Hujui mpira wewe mshabiki maandazi kafuatilie tennis
 
Mbona hawa wezi wa miwa wamepaniq sana juu OKWI??? Okwi kwenye ligi ya Uganda yupo kwenye first 11msimu huu unaoisha!

By the way ameassist Leo, naziona 5 zingine hizooooooo!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Pongezi kwa Simba kwa kubuni siku ya..
Simba Day. hakika ni siku inayopendeza sana kwa mashabiki.
Siku ambayo wachezaji wa Simba sc wote wanatambulishwa kwa washabiki na wanachama wa Simba sc.
Pongezi kwenu viongozi wa Simba sc.
Hii ni Simba Bwana.
 
Reactions: PNC
Mm Naona Kwa Emanuel Okwi Nikm Wamechemsha
Nimchezaji ambaye hapo awali alipata kuchezea Simba SC misimu 5 kamili.

Ndani ya hiyo misimu 5 aishuhudia Yanga akiwa mabindwa misimu 4 na timu yake ikiwa bingwa msimu 1.

wengine waje kukusaidia , mimi najua hilo tu!
 
Pongezi kwa Simba kwa kubuni siku ya..
Simba Day. hakika ni siku inayopendeza sana kwa mashabiki.
Siku ambayo wachezaji wa Simba sc wote wanatambulishwa kwa washabiki na wanachama wa Simba sc.
Pongezi kwenu viongozi wa Simba sc.
Hii ni Simba Bwana.
Wenzenu wanashangilia ubingwa, mmeamua kujipoza na Simba day! Hahahaaah, mbumbumbu FC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…