Hahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]Niko uwanjani na nimemuangalia okwi vizuri tu yuko vizuri ana movement nzuri na yuko sharp kama kawaida kwa ujumla okwi yuko ok according to me na uelewa wangu wakisoka
Mbona povuHahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]
Hujui mpira wewe mshabiki maandazi kafuatilie tennisHahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]
Toa pumba hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkubali, mkatae... Okwi wa leo ni galasa......
Nilichokiona, akili inataka lakini mwili unakataa.... Ajiandae kuwa kocha kwa sasa, mpira kuishneiiii!
na mimi nasubiri Yanga day nikamuone Anko ngassa akisasambua
Hahahaaah, eti niko uwanjani.. Kwani sisi tulikua wapi... Kiki za kimbumbumbu kabisa.... Hatujasimuliwa, tumemuona! [emoji51] [emoji51]
Nimchezaji ambaye hapo awali alipata kuchezea Simba SC misimu 5 kamili.Mm Naona Kwa Emanuel Okwi Nikm Wamechemsha
Wenzenu wanashangilia ubingwa, mmeamua kujipoza na Simba day! Hahahaaah, mbumbumbu FC.Pongezi kwa Simba kwa kubuni siku ya..
Simba Day. hakika ni siku inayopendeza sana kwa mashabiki.
Siku ambayo wachezaji wa Simba sc wote wanatambulishwa kwa washabiki na wanachama wa Simba sc.
Pongezi kwenu viongozi wa Simba sc.
Hii ni Simba Bwana.