Okwi huyu! Hapana.....

Nimchezaji ambaye hapo awali alipata kuchezea Simba SC misimu 5 kamili.

Ndani ya hiyo misimu 5 aishuhudia Yanga akiwa mabindwa misimu 4 na timu yake ikiwa bingwa msimu 1.

wengine waje kukusaidia , mimi najua hilo tu!
Kwani hilo hilo unalolijua linawatosha ndg yangu.... [emoji16] [emoji16]
 
Wenzenu wanashangilia ubingwa, mmeamua kujipoza na Simba day! Hahahaaah, mbumbumbu FC.
Ndio hivyo mkuu kila mtu na starehe yake.
Ubingwa unaoishia kupigwa 4G na vitimu vidogo kimataifa bora sisi tujipange kwanza hadi tutakapo kuwa fiti kimataifa.
Hongereni kwa ubingwa wa Tanzania.
 
Ndio hivyo mkuu kila mtu na starehe yake.
Ubingwa unaoishia kupigwa 4G na vitimu vidogo kimataifa bora sisi tujipange kwanza hadi tutakapo kuwa fiti kimataifa.
Hongereni kwa ubingwa wa Tanzania.
Dawa imeingia hiyo babu! Pole...
 
Dawa imeingia hiyo babu! Pole...
Pole wewe, mi nazungumzia Simba day, wewe unaleta habari za ubingwa wa ligi.
Mambo mawili tofauti, inaonekana wewe unawaza ubingwa wa ligi tu.
Kuna mambo mengine zaidi ya hiyo habari.
 
Niko uwanjani na nimemuangalia okwi vizuri tu yuko vizuri ana movement nzuri na yuko sharp kama kawaida kwa ujumla okwi yuko ok according to me na uelewa wangu wakisoka
Pale golikipa alipotema mpira mbele yake akabaki anachimba shimo na mguu wa kushoto,alipojaribu kujitutumua,mguu wa kulia ukamgomea golikipa aliyekuwa kalala akainuka na kutoa mpira nje.Hakika limekuwa kinikia lililotukuka a. k.a Entabani.

Pogba wa tz ambaye nchi imemshinda ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale ndipo nithibitisha kabisa kwamba huyu akili inataka lakini mwili hautaki... Miguu haiwezi kabisa kama ana kiharusi.....
 
Pongezi kwa Simba kwa kubuni siku ya..
Simba Day. hakika ni siku inayopendeza sana kwa mashabiki.
Siku ambayo wachezaji wa Simba sc wote wanatambulishwa kwa washabiki na wanachama wa Simba sc.
Pongezi kwenu viongozi wa Simba sc.
Hii ni Simba Bwana.
Naona yanga wakiiga somewhere!
Rage ndo alianzisha hii kitu!
 

Attachments

  • tapatalk_jpeg_1502263794992.jpg
    13.5 KB · Views: 23
Nimchezaji ambaye hapo awali alipata kuchezea Simba SC misimu 5 kamili.Ndani ya hiyo misimu 5 aishuhudia Yanga akiwa mabindwa misimu 4 na timu yake ikiwa bingwa msimu 1. wengine waje kukusaidia , mimi najua hilo tu!
Pia alifunga mabao mawili na kusababisha penati tatu wakati Yanga ikibugia 5-0
 
Mkubali, mkatae... Okwi wa leo ni galasa......
Nilichokiona, akili inataka lakini mwili unakataa.... Ajiandae kuwa kocha kwa sasa, mpira kuishneiiii!

utamjua aakapo wajaza!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…