Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,735
- 5,974
- Thread starter
- #41
Kwani hilo hilo unalolijua linawatosha ndg yangu.... [emoji16] [emoji16]Nimchezaji ambaye hapo awali alipata kuchezea Simba SC misimu 5 kamili.
Ndani ya hiyo misimu 5 aishuhudia Yanga akiwa mabindwa misimu 4 na timu yake ikiwa bingwa msimu 1.
wengine waje kukusaidia , mimi najua hilo tu!