Olaf Scholz amrithi Angela Merkel, apitishwa kuwa Kansela mpya wa Ujerumani

Olaf Scholz amrithi Angela Merkel, apitishwa kuwa Kansela mpya wa Ujerumani

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Kansela.jpg

Olaf Scholz

Bunge la Ujerumani limepiga Kura na kumpitisha Olaf Scholz wa Social Democrat Party kuwa Kansela mpya wa Nchi hiyo baada ya Angela Merkel ambaye ameitumikia kwa miaka 16.

Scholz (63) ambaye alihudumu kama Makamu Kansela na Waziri wa Fedha katika Serikali iliyopita ataongoza Serikali mpya ya Mseto kati ya SPD na vyama vingine viwili.
===

Olaf Scholz has been confirmed as German chancellor, leading a three-party government that takes over from Angela Merkel after 16 years in office.

He was voted in by the German parliament, where his coalition has a substantial majority.

Mr Scholz's new government is formed of his Social Democrat party along with the with Greens and Free Democrats.

The handover of power marks an end to Mrs Merkel's 31-year political career.

Mr Scholz, a soft-spoken 63-year-old, steered the Social Democrats to election victory in late September, positioning himself as continuity candidate because he played a key role in the Merkel government as vice-chancellor.

He was given an ovation after the German parliament, the Bundestag, backed him by 395 votes to 306 and he will now go to see President Frank-Walter Steinmeier before returning at midday (11:00 GMT) to be sworn in.

Since the election his party has worked with the Greens and business-friendly Free Democrats on a coalition deal, which was finally signed on Tuesday. He is set to take over from Mrs Merkel at 15:00.

The new government has ambitious plans to fight climate change by phasing out coal early and focusing on renewable energy, but their initial priority will be on tackling the coronavirus pandemic. Health authorities have recorded another 69,601 cases in the past 24 hours and a further 527 deaths - the highest number since last winter.

He and Greens leader Annalena Baerbock, who becomes foreign minister, will also have to respond to fears surrounding Russia's military build-up near the border with Ukraine.

Although Russia has denied plans to invade its neighbour, Angela Merkel agreed with President Joe Biden and the leaders of the UK, France and Italy late on Tuesday that they would adopt a joint strategy to respond by imposing "significant and severe harm on the Russian economy".

One obvious economic measure would be to threaten Russia's Nord Stream 2 gas pipeline to Germany, which has been completed but is still awaiting approval from the German energy regulator. US officials say they have reached an understanding with Germany that the pipeline would be shut down, which would be a significant intervention.

Source: BBC
 
Kwahiyo Ameidhinishwa kwa Kura 395 dhidi ya 306 zilizomkataa? Yaani kakubalika na 53.4% ya Wabunge. Waliomkataa Ni wengi Sana,anakazi kubwa ya kuwapa Imani kipindi Cha uongozi wake.
 
Kwahiyo Ameidhinishwa kwa Kura 395 dhidi ya 306 zilizomkataa? Yaani kakubalika na 53.4% ya Wabunge. Waliomkataa Ni wengi Sana,anakazi kubwa ya kuwapa Imani kipindi Cha uongozi wake.
Mkuu hiyo ndio demokrasia ya Wajerumani waliochagua. Sifa ya kuwa mbunge katika Bundestag lazima uwe umesoma shule hasa. Kwa hiyo maamuzi wakiyatoa wabunge ni yale yalooenda shule. Wananchi hawalalamiki.
 
Hivi mabeberu pia wana muda wa kufuatilia siasa zetu au kuripoti matukio yanayotokea hapa kwetu? Wanawajuwa hata wachagga hao wajerumani na wamasai hao wajerumani?
Mkuu wao wanatujua na kutufuatilia kuliko tunavyojijua wenyewe,
Wazungu si watu wazuri
 

Bunge la Ujerumani limepiga Kura na kumpitisha Olaf Scholz wa Social Democrat Party kuwa Kansela mpya wa Nchi hiyo baada ya Angela Merkel ambaye ameitumikia kwa miaka 16.

Scholz (63) ambaye alihudumu kama Makamu Kansela na Waziri wa Fedha katika Serikali iliyopita ataongoza Serikali mpya ya Mseto kati ya SPD na vyama vingine viwili.
===

Olaf Scholz has been confirmed as German chancellor, leading a three-party government that takes over from Angela Merkel after 16 years in office.

He was voted in by the German parliament, where his coalition has a substantial majority.

Mr Scholz's new government is formed of his Social Democrat party along with the with Greens and Free Democrats.

The handover of power marks an end to Mrs Merkel's 31-year political career.

Mr Scholz, a soft-spoken 63-year-old, steered the Social Democrats to election victory in late September, positioning himself as continuity candidate because he played a key role in the Merkel government as vice-chancellor.

He was given an ovation after the German parliament, the Bundestag, backed him by 395 votes to 306 and he will now go to see President Frank-Walter Steinmeier before returning at midday (11:00 GMT) to be sworn in.

Since the election his party has worked with the Greens and business-friendly Free Democrats on a coalition deal, which was finally signed on Tuesday. He is set to take over from Mrs Merkel at 15:00.

The new government has ambitious plans to fight climate change by phasing out coal early and focusing on renewable energy, but their initial priority will be on tackling the coronavirus pandemic. Health authorities have recorded another 69,601 cases in the past 24 hours and a further 527 deaths - the highest number since last winter.

He and Greens leader Annalena Baerbock, who becomes foreign minister, will also have to respond to fears surrounding Russia's military build-up near the border with Ukraine.

Although Russia has denied plans to invade its neighbour, Angela Merkel agreed with President Joe Biden and the leaders of the UK, France and Italy late on Tuesday that they would adopt a joint strategy to respond by imposing "significant and severe harm on the Russian economy".

One obvious economic measure would be to threaten Russia's Nord Stream 2 gas pipeline to Germany, which has been completed but is still awaiting approval from the German energy regulator. US officials say they have reached an understanding with Germany that the pipeline would be shut down, which would be a significant intervention.

Source: BBC
Amekaa kibandidu
 
Nashauri
Rais Wetu Ampigie Simu Ampe Salaam Za Heri
Itasaidia Kukuza Uchumi Wetu
 
Kwahiyo Ameidhinishwa kwa Kura 395 dhidi ya 306 zilizomkataa? Yaani kakubalika na 53.4% ya Wabunge. Waliomkataa Ni wengi Sana,anakazi kubwa ya kuwapa Imani kipindi Cha uongozi wake.
Anahitaji %50 + kura moja, hii inatosha. kansela ya kwanza baada ya vita Bwana Adenauer alichaguliwa vile akaendelea kuongoza na kurudishwa 1949 hadi 1963.
 
Hivi mabeberu pia wana muda wa kufuatilia siasa zetu au kuripoti matukio yanayotokea hapa kwetu? Wanawajuwa hata wachagga na wamasai hao wajerumani?
Mabeberu? Sijui. angalau Wajerumani wanajui vizuri Wamassai
ona
 
Back
Top Bottom