Old is Gold: Good music never dies

Old is Gold: Good music never dies

Japo mimi siyo old skull ila huwa napenda nyimbo za old skull pendwa zaidi ni
Red red wine-UB40
mkuu hata Mimi sio old skool ila playlist zangu zote ni old tupu kiukweli sijawahi kaa na kusikiliza hizi za paka mate niteleze mtaroni za kina nanii
Miaka ya 80's na 90's nadhani malaika wa mziki alishuka duniani maana ngoma zilizotolewa miaka hiyo na wanamuziki wake sidhani kama kuna binadamu wa millennia hii atakuja zivunja rekodi hicho ndo kizazi kilichoibua wafalme wa miziki kama
Michael Jackson....king of pop
Freddie mercury...king of rock
Whitney houston...Queen of soul
Don william.... King of country

Nawengine wengiiiiiii
 
mkuu hata Mimi sio old skool ila playlist zangu zote ni old tupu kiukweli sijawahi kaa na kusikiliza hizi za paka mate niteleze mtaroni za kina nanii
Miaka ya 80's na 90's nadhani malaika wa mziki alishuka duniani maana ngoma zilizotolewa miaka hiyo na wanamuziki wake sidhani kama kuna binadamu wa millennia hii atakuja zivunja rekodi hicho ndo kizazi kilichoibua wafalme wa miziki kama
Michael Jackson....king of pop
Freddie mercury...king of rock
Whitney houston...Queen of soul
Don william.... King of country

Nawengine wengiiiiiii
Kabisa yani ata nikiingia youtube huwa nakuta sysytem yao ishaniwekea playlist ya oldskul murua kila siku
 

James Brown - It's A Man's Man's Man's World 1966​



Luciano Pavarotti & James Brown​

 
Mfwatiliaji, umepata idea nzuri sana..nitatengeneza collection yangu pia, ili niwe nai-play nikizikumbukia hizi Oldies!!
Those days were absolutely fantastic and music was music, ufisadi nao ulikuwa haujazaliwa!!let's hope ufe mapema mana hatueleki pazuri kabisa na Tz yetu!!
Ubarikiwe na wewe pia Mfwatiliaji..
Katika vitu ninavyo utajiri ni hizi oldies,1.5TB (1500GB) zimejaa Oldiea hadi watoto wangu sasa wamezoea wakisikia kwa bahati mbaya sehemu wananiambia daddy tumesikia zile nyimbo zako.....

Sinaga muda wa ku-groove na hizi new skul.
 
Bushoke Live Dunia Njia


Ruta Maximilian Bushoke is musician from Tanzania, here he performs one of his timeless song that trigger memories and nostalgia of many in Tanzania.
Source : BUSHOKE MUSIC BAND
 
Back
Top Bottom