Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Namsikitikia Legend wangu Phil Collins alivyochoka mpaka huruma
Hawa ndio wazee walioshika mziki haswa
Hawa ndio wazee walioshika mziki haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee nimeshaangalia ile shoo yake ya ufaransa live show ya 2004 alikuwa bado yupo vzr sasa kwa miaka michache anajivuta hivyo.Namsikitikia Legend wangu Phil Collins alivyochoka mpaka huruma
Hawa ndio wazee walioshika mziki haswa
View attachment 1235830
Huyu mzee nimeshaangalia ile shoo yake ya ufaransa live show ya 2004 alikuwa bado yupo vzr sasa kwa miaka michache anajivuta hivyo.
Kuna YOU CAN' T MAKE OLD FRIENDS ya king Kenny na Doly naikubali kinomaHuwa nikisikiliza old then niwe nakula bia mbili tatu iwee weekend tulivu,kwenye ki pub au bar ila isiwe with loud sound huwa na enjoe sanaaa
daaa so sad,,aisee na mm huyu mzee nampenda sana kwa kweli
Mi nalikubali ngoma ya In the air tonight ..nakumbuka Kuna BET AWARDS sikumbuki mwaka gani Chriss Tucker aliingia na beat lake hatari Sana !Yaani kila wimbo wake ni mzuri na tulizo la stress kabisa
Wasanii ambao napenda nyimbo zao ni wale wa zamani zamani mfano:
1.james ingram
2.phil collins
3.billy ocean
4.whitney houston
5.roberta flack
6.george benson
7.kenny rogers
8.michael jackson
9.tina turner
10.roxette
12.james brown
13.lionel richie
14.boris gardner
15.luther vandross
16.peabo bryson
17.dionne warwick
18.the bee gees
19.ray parker jr.
20.miami sound machine
21.daina rose
22.cool and the gang
23.........yaani nina orodha ndefu ndefu na kusema ukweli toka moyoni hawa vijana wa kileo siwapendi kabisaaaaa
Bendi ilianzishwa na wanafunzi wa form 6 huko Ttumpland miaka hiyoThis group had a good piece of work....asante sana kwa kutukumbusha miaka hiyooo
Hii nzuri ila tatizo lughaBaba Mtu, hapa ni leo Oldies!!..Madonna rocked sana!!...Holiday bado kibao safii!!
Unaikumbuka hii
YouTube - Madonna - La Isla Bonita
Agreed.This group had a good piece of work....asante sana kwa kutukumbusha miaka hiyooo