Ole Lengai Sabaya kama unanisikiliza, anza kufanya mazoezi, kuna wahuni wamemkanyaga Nyoka mkiani

Chadema walifikia mahala kumdhaklilisha na kimtukana Kila mahala,binafsi nimewahi watahadharisha na pia wengi waliwatahadharusha kwamba uungwana wa Rais sio kwamba ni dhaifu ila hakuna walichojali.

Discipline waliyopata ni Mwanzo tuu kama hawatabadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…