Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,887
- 7,673
KATIBA mpya mara zote huandikwa Kwa Damu.
Haiji Bure
Rip Ole Mushi.
Kuna uhusika gani wa kifo cha Mushi na Katiba Mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATIBA mpya mara zote huandikwa Kwa Damu.
Haiji Bure
Rip Ole Mushi.
Roho mbaya tuDaaaa RiP mwamba Ole Mushi...nakukunali sanaa huyo Massawe atalipwa hapa hapa duniani
Alikiambia chama chake CCM kuwa, Katiba mpya ni takwa la wananchi, CCM Haina hatimilki ya nchi.Kuna uhusika gani wa kifo cha Mushi na Katiba Mpya?
ALIANDIKA THADEI OLE MUSHI ENZI ZA UHAI WAKE.View attachment 2643356
Picha: Kushoto ni Chongolo, kulia ni Thadei Ole Mushi
Katiba mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi. Na katiba mpya si utashi wa chama kipi kitupatie ni takwa la wananchi kama wakiitaka lazima ipatikane."
"Ni makosa vyama vya siasa kuhodhi mchakato huo na kusema bila sisi katiba mpya haiwezi kupatikana. Hakuna chama chenye mamlaka ya kuamua katiba mpya iweje. Mamlaka hiyo ni ya wananchi."
"Tatizo viongozi wetu wa CCM wanaona bado watu wamelala kule kwenye miaka ya giza. Lazima watofautishe wananchi alioongoza Nyerere na wananchi wa sasa" Thadei Ole Mushi, Kada wa CCM.
Pascal Mayalla bado nawaza ile kauli yako kuwa Katiba Mpya ni hisani.View attachment 2643356
Picha: Kushoto ni Chongolo, kulia ni Thadei Ole Mushi
Katiba mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi. Na katiba mpya si utashi wa chama kipi kitupatie ni takwa la wananchi kama wakiitaka lazima ipatikane."
"Ni makosa vyama vya siasa kuhodhi mchakato huo na kusema bila sisi katiba mpya haiwezi kupatikana. Hakuna chama chenye mamlaka ya kuamua katiba mpya iweje. Mamlaka hiyo ni ya wananchi."
"Tatizo viongozi wetu wa CCM wanaona bado watu wamelala kule kwenye miaka ya giza. Lazima watofautishe wananchi alioongoza Nyerere na wananchi wa sasa" Thadei Ole Mushi, Kada wa CCM.
Dah..View attachment 2643356
Picha: Kushoto ni Chongolo, kulia ni Thadei Ole Mushi
Katiba mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi. Na katiba mpya si utashi wa chama kipi kitupatie ni takwa la wananchi kama wakiitaka lazima ipatikane."
"Ni makosa vyama vya siasa kuhodhi mchakato huo na kusema bila sisi katiba mpya haiwezi kupatikana. Hakuna chama chenye mamlaka ya kuamua katiba mpya iweje. Mamlaka hiyo ni ya wananchi."
"Tatizo viongozi wetu wa CCM wanaona bado watu wamelala kule kwenye miaka ya giza. Lazima watofautishe wananchi alioongoza Nyerere na wananchi wa sasa" Thadei Ole Mushi, Kada wa CCM.
Baada ya kusoma huu uharo wako,ndipo nimejiuliza yale niliyoyasikia kuwa huyu jamaa amekuwa "fixed" kwa vile huko chamani kwenu mnaamini kuwa mtu akiwa na akili zake na akatumia akili, basi huyo atakuwa ni "Chadema kazi maalumu ndani ya CCM", kwani ukiwa CCM halisi ubongo unakuwa umetolewa.Ahamie upande mwingine Ili apinge vizuri vinginevyo analeta chokochoko ndani ya chama maana anakuwa na msimamo wa wopinzani ndani ya chama chenye msimamo tofauti
Eti kapumzishwa?Amepumzika maisha ya duniani
View attachment 2643356
Picha: Kushoto ni Chongolo, kulia ni Thadei Ole Mushi
Katiba mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi. Na katiba mpya si utashi wa chama kipi kitupatie ni takwa la wananchi kama wakiitaka lazima ipatikane."
"Ni makosa vyama vya siasa kuhodhi mchakato huo na kusema bila sisi katiba mpya haiwezi kupatikana. Hakuna chama chenye mamlaka ya kuamua katiba mpya iweje. Mamlaka hiyo ni ya wananchi."
"Tatizo viongozi wetu wa CCM wanaona bado watu wamelala kule kwenye miaka ya giza. Lazima watofautishe wananchi alioongoza Nyerere na wananchi wa sasa" Thadei Ole Mushi, Kada wa CCM.
View attachment 2643356
Picha: Kushoto ni Chongolo, kulia ni Thadei Ole Mushi
Katiba mpya si mali ya chama chochote ni mali ya wananchi. Na katiba mpya si utashi wa chama kipi kitupatie ni takwa la wananchi kama wakiitaka lazima ipatikane."
"Ni makosa vyama vya siasa kuhodhi mchakato huo na kusema bila sisi katiba mpya haiwezi kupatikana. Hakuna chama chenye mamlaka ya kuamua katiba mpya iweje. Mamlaka hiyo ni ya wananchi."
"Tatizo viongozi wetu wa CCM wanaona bado watu wamelala kule kwenye miaka ya giza. Lazima watofautishe wananchi alioongoza Nyerere na wananchi wa sasa" Thadei Ole Mushi, Kada wa CCM.
Anapelekwa makaburini ndege 2 zimetolewaYuko wapi Ole Mushi ?