Ole Sabaya asomewa mashtaka mapya 5 ya uhujumu uchumi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha yapewa mamlaka kusikiliza kesi

Daah kazi ipo kwa kweli hii ishu niliisikia kuhusu huyo mzee na walichukua huo mpunga benk kabisa kwa vitisho...
 
Extended jurisdiction hutolewa na dpp( state) au
Hutolewa na mahakama
Au mie ndio sielewi
 
Huyu kijana Sabaya cheo ndicho kilichomponza
 
Daah kazi ipo kwa kweli hii ishu niliisikia kuhusu huyo mzee na walichukua huo mpunga benk kabisa kwa vitisho...

Huyo ndio walimuwekea pembe za Ng’ombe wakamdanganya ni pembe za ndovu halafu alikua hazifahamu, yule mzee alikua umoja wa mataifa
 
Wale waliodai huyu mtu atachomoka basi kama kweli atachomoka na kesi zote hizo nitaamini kweli uchawi upo.
Kuna kamchezo hapo....ile kwanza anaweza akapigwa fine au kifungo....zilizobakia zote ni fine pia....analipa zote huyu alikitoa mhanga anewekeza 3bil kwa wafanya biashara Arusha na Nairobi.....alikuwa anajua anafanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…