GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kila Siku tu unashauriwa na Watu 'Maalum' kuwa pale ukiwa unaenda Mahakamani ikitokea Umep;angua Kesi fulani basi 'Body Language' yako isiwe ni ya Kuonyesha kama Ujeuri na Ujivuni kwani ndilo ambalo linakugharimu ila kwa Upopoma (Upumbavu) wako na Kiburi chako unajifanya Gangwe.
Halafu acha kabisa kila mara kusema kwa Watu ulionao karibu huko huko Jela uliko ambao baadhi yao nao ni Watu 'Maalum' kuwa ukifanikiwa kutoka Huru 'Watakukoma' kwani Kauli kama hii ndiyol imewaibua unaotaka 'Kuwakomesha' kama utafanikiwa kutoka nao waendelee 'Kukukazia' hadi Unalia lia hivi sasa.
Halafu Wewe Sabaya ni Bwege kweli yaani leo ndiyo unajua kuwa Jela huko uliko siko Kuzuri? Hivi siyo Wewe uliyekuwa 'Ukiwasweka' ndani Watanzania (tena Wanasiasa wa CHADEMA) na wale waliokuwa Wakikunyima Fedha na wengine hadi ukawa unawafanyia yasiyotakiwa na Mwenyezi Mungu na nadhani hata Shetani mwenyewe?
Kuna Ndugu yako Mmoja ameshapewa Maelekezo na Watu 'Maalum' uyatekeleze Utoke ila unajifanya Wewe ni Mpalestina sasa ngoja Waisraeli wakunyooshe Vizuri ili ujifunze na huko huko ulliko na utakapokuwepo kwa miaka mingine 150 ijayo uwe Mwalimu kwa Wafungwa waliopo na watakaokukuta Wewe Mfungwa Mwandamizi.
Hovyo kabisa Wewe.
Halafu acha kabisa kila mara kusema kwa Watu ulionao karibu huko huko Jela uliko ambao baadhi yao nao ni Watu 'Maalum' kuwa ukifanikiwa kutoka Huru 'Watakukoma' kwani Kauli kama hii ndiyol imewaibua unaotaka 'Kuwakomesha' kama utafanikiwa kutoka nao waendelee 'Kukukazia' hadi Unalia lia hivi sasa.
Halafu Wewe Sabaya ni Bwege kweli yaani leo ndiyo unajua kuwa Jela huko uliko siko Kuzuri? Hivi siyo Wewe uliyekuwa 'Ukiwasweka' ndani Watanzania (tena Wanasiasa wa CHADEMA) na wale waliokuwa Wakikunyima Fedha na wengine hadi ukawa unawafanyia yasiyotakiwa na Mwenyezi Mungu na nadhani hata Shetani mwenyewe?
Kuna Ndugu yako Mmoja ameshapewa Maelekezo na Watu 'Maalum' uyatekeleze Utoke ila unajifanya Wewe ni Mpalestina sasa ngoja Waisraeli wakunyooshe Vizuri ili ujifunze na huko huko ulliko na utakapokuwepo kwa miaka mingine 150 ijayo uwe Mwalimu kwa Wafungwa waliopo na watakaokukuta Wewe Mfungwa Mwandamizi.
Hovyo kabisa Wewe.