Ole Sabaya: Rais Samia atatuvusha

Kuna watu muda huu sherehe ninaendelea kwa ajili ya Sabaya. Viongozi wote waliojifanya Mungu watu cha moto watakuona. Safu unakuja ya wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi inakuja. Waanze kutubu dhambi zao kwa Mungu.
 
Kuna watu muda huu sherehe ninaendelea kwa ajili ya Sabaya. Viongozi wote waliojifanya Mungu watu cha moto watakuona. Safu unakuja ya wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi inakuja. Waanze kutubu dhambi zao kwa Mungu.
Wakuu wa mikoa na Biswalo Mganga a
Wanapeta tu mpaka mkome hapo ufipa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Ananyea debe huko kisongo saa hizi kudadadeq. Na machalii wanamsubiri wamfokoe
 
Unasemaaaaaaaa? Ongeza volume kada

🧐🧐🧐
 
Uzuri wake alisema mama Samia atatupeleka mbali, nashukuru nimeanza kuona kweli tutafika mbali.
 
Uzuri wake alisema mama Samia atatupeleka mbali, nashukuru nimeanza kuona kweli tutafika mbali.
Leo tuko Kisongo, si haba. Keshokutwa tukifika Segerea itakuwa poa sana.
 
Hat mjmi naungana na Sabaya, Rais Samia atatuvusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…