Habari za chini chini zinasema 7ya ameshakua mfungwa mzoefu na Mara kwa Mara anapangwa zamu ya jikoni. Wameongeza kuwa ugali anaopika Ni mzuri hata maafande wanakula huo huo.Ananyea debe huko kisongo saa hizi kudadadeq. Na machalii wanamsubiri wamfokoe
Mumeo wanamlawiti hukoNgoja aendelee kutunyoshea mbowe
Gaidi lilitokea CCM.Serikali ilitangaza kuwa lilikuwa ni gaidi la kujitoa mhanga na kufia dini🤡🤡🤡Kama gaidi mboe
Ila DC sabaya maza kala hedaWakuu wa mikoa na Biswalo Mganga a
Wanapeta tu mpaka mkome hapo ufipa
Likatimia.Kama mama Samia angekuwa kiongozi makini wa kwanza kumfukuza kazi alikuwa ni huyu Sabaya.
Huyu dogo ametumia mwamvuli wa TISS kutesa na kunyang'anya pesa kwa watu wengi sana.
Bila haki taifa haliwezi kuinuka na hapa huyu kijana anapiga kampeni awe mkuu wa mkoa.
Yajayo yanahuzunisha.
Yuko wapi leo?Ukiona unapongezwa na chadema kuhusu utendaji kazi wako ,rudi nyuma ujitazame unakosea wapi.
Mbowe kuwa ndani ndio Sabaya kuwa nje, au!? Mbona kama sielewi mantiki yako!? Mbowe kuwa ndani wakati kesi yake inaendelea ndio kuwa mfungwa wa miaka 30 kama Sabaya!?Hata gaidi mbowe yupo ndani pia