Uchaguzi 2020 Ole Sendeka anahaha na ubunge wa Simanjiro,awatumia Mzee Mangula,Malecela na mkewe kumsaidia kutokatwa jina lake

Uchaguzi 2020 Ole Sendeka anahaha na ubunge wa Simanjiro,awatumia Mzee Mangula,Malecela na mkewe kumsaidia kutokatwa jina lake

"Mwenye matokeo ya kidato Cha sita ,old Moshi sekondari, ya "Ole sendeka tuna atuwekee hapa tafadhali"
 
buswelu moja wala haiitaji 'Akili' kubwa kuweza tu kujua kuwa huenda Wewe ndiye 'Mpuinzani' wake mkubwa au umetumwa na 'Adui' Kummaliza.
Aisee kwa Issue ya Ole Sendeka ukijua ujinga aliofanya katika utawala wake hutokaa umshawishi yyt ampgie kura.

Naongea kama mtu ninayeishi Simanjiro zaidi ya miaka 12.

Sendeka ana Ukabila sana na anatumia uduni na uelewa wa Wamasai kufitini maendeleo ya Simanjiro kwa kuwaaminisha Wamasai kuwa endapo maendeleo yatafika Simanjiro wamasai watapoteza maeneo ya malisho kwa sababu wahamiaji watakuwa wengi Simanjiro na hivyo watapoka maeneo hayo.

Amefanya kufitini viwanda vya nyama na maziwa vya Rotiana, viwanda ambavyo vilikuwa vimeajiri zaidi ya wakazi 2500 wa maeneo mbalimbali ya Simanjiro na Arusha.

Viwanda vilikuwa vikinunua Ng'ombe karibu 1000 kwa mwezi kutoka kwa wafugaji Simanjiro na maeneo jirani.

Katika kipindi chake cha utawala hakutaka kabisa miradi mablimbali ikiwemo ule Maji kwa kuhofia wageni kuwa wengi eneo hilo na kwamba wenyeji wataporwa maeneo.

Alisababisha migogoro mingi ya ardhi hasa maeneo ya Langai, Losinyai na Kitiangare, migogoro inayodumu hadi sasa.

Kauli mbiu yake ilikuwa ni Ng'ombe kwanza, Binadamu baadae....WHAT THE HELL?

Hata lami ya Mirerani hakutaka iwepo kwa sababu kwa madai yake lami inaumiza kwato za ng'ombe wakipita barabarani.

Alikataa Mwekezaji mzalendo Martin asiweke Kituo cha Radio makao makuu ya wilaya Orkesumet na kumwambia akafunge Mitambo na station hiyo ya Radio Terrat, Kwamba Martine anataka kumvuruga Sendeka katika anga la siasa endapo atafunga radio Orkesumet.

Kwa kifupi Sendeka anahitaji Jimbo kwa maslahi ya tumbo lake na si kwa maendeleo ya Simanjiro.

Na wahakikishia Kamati kuu wakimpitisha Sendeka wapinzani wanachukua jimbo hilo saa 2 asbh.

CCM CHAMA CHANGU MSIPOTEZE HILI JIMBO, MZICHANGE KARATA VEMA.
 
Aisee kwa Issue ya Ole Sendeka ukijua ujinga aliofanya katika utawala wake hutokaa umshawishi yyt ampgie kura.

Naongea kama mtu ninayeishi Simanjiro zaidi ya miaka 12.

Sendeka ana Ukabila sana na anatumia uduni na uelewa wa Wamasai kufitini maendeleo ya Simanjiro kwa kuwaaminisha Wamasai kuwa endapo maendeleo yatafika Simanjiro wamasai watapoteza maeneo ya malisho kwa sababu wahamiaji watakuwa wengi Simanjiro na hivyo watapoka maeneo hayo.

Amefanya kufitini viwanda vya nyama na maziwa vya Rotiana, viwanda ambavyo vilikuwa vimeajiri zaidi ya wakazi 2500 wa maeneo mbalimbali ya Simanjiro na Arusha.

Viwanda vilikuwa vikinunua Ng'ombe karibu 1000 kwa mwezi kutoka kwa wafugaji Simanjiro na maeneo jirani.

Katika kipindi chake cha utawala hakutaka kabisa miradi mablimbali ikiwemo ule Maji kwa kuhofia wageni kuwa wengi eneo hilo na kwamba wenyeji wataporwa maeneo.

Alisababisha migogoro mingi ya ardhi hasa maeneo ya Langai, Losinyai na Kitiangare, migogoro inayodumu hadi sasa.

Kauli mbiu yake ilikuwa ni Ng'ombe kwanza, Binadamu baadae....WHAT THE HELL?

Hata lami ya Mirerani hakutaka iwepo kwa sababu kwa madai yake lami inaumiza kwato za ng'ombe wakipita barabarani.

Alikataa Mwekezaji mzalendo Martin asiweke Kituo cha Radio makao makuu ya wilaya Orkesumet na kumwambia akafunge Mitambo na station hiyo ya Radio Terrat, Kwamba Martine anataka kumvuruga Sendeka katika anga la siasa endapo atafunga radio Orkesumet.

Kwa kifupi Sendeka anahitaji Jimbo kwa maslahi ya tumbo lake na si kwa maendeleo ya Simanjiro.

Na wahakikishia Kamati kuu wakimpitisha Sendeka wapinzani wanachukua jimbo hilo saa 2 asbh.

CCM CHAMA CHANGU MSIPOTEZE HILI JIMBO, MZICHANGE KARATA VEMA.

Kumbe Wewe ndiyo buswelu moja na hii ni ID yako nyingine? Sawa Mkuu sasa nimekuelewa na kweli 'Jamaa' unamchukia na humpendi sana tu.
 
Aisee kwa Issue ya Ole Sendeka ukijua ujinga aliofanya katika utawala wake hutokaa umshawishi yyt ampgie kura.

Naongea kama mtu ninayeishi Simanjiro zaidi ya miaka 12.

Sendeka ana Ukabila sana na anatumia uduni na uelewa wa Wamasai kufitini maendeleo ya Simanjiro kwa kuwaaminisha Wamasai kuwa endapo maendeleo yatafika Simanjiro wamasai watapoteza maeneo ya malisho kwa sababu wahamiaji watakuwa wengi Simanjiro na hivyo watapoka maeneo hayo.

Amefanya kufitini viwanda vya nyama na maziwa vya Rotiana, viwanda ambavyo vilikuwa vimeajiri zaidi ya wakazi 2500 wa maeneo mbalimbali ya Simanjiro na Arusha.

Viwanda vilikuwa vikinunua Ng'ombe karibu 1000 kwa mwezi kutoka kwa wafugaji Simanjiro na maeneo jirani.

Katika kipindi chake cha utawala hakutaka kabisa miradi mablimbali ikiwemo ule Maji kwa kuhofia wageni kuwa wengi eneo hilo na kwamba wenyeji wataporwa maeneo.

Alisababisha migogoro mingi ya ardhi hasa maeneo ya Langai, Losinyai na Kitiangare, migogoro inayodumu hadi sasa.

Kauli mbiu yake ilikuwa ni Ng'ombe kwanza, Binadamu baadae....WHAT THE HELL?

Hata lami ya Mirerani hakutaka iwepo kwa sababu kwa madai yake lami inaumiza kwato za ng'ombe wakipita barabarani.

Alikataa Mwekezaji mzalendo Martin asiweke Kituo cha Radio makao makuu ya wilaya Orkesumet na kumwambia akafunge Mitambo na station hiyo ya Radio Terrat, Kwamba Martine anataka kumvuruga Sendeka katika anga la siasa endapo atafunga radio Orkesumet.

Kwa kifupi Sendeka anahitaji Jimbo kwa maslahi ya tumbo lake na si kwa maendeleo ya Simanjiro.

Na wahakikishia Kamati kuu wakimpitisha Sendeka wapinzani wanachukua jimbo hilo saa 2 asbh.

CCM CHAMA CHANGU MSIPOTEZE HILI JIMBO, MZICHANGE KARATA VEMA.
Kwa wote aliogombea nao Sendeka anawaacha mbali sana kiuwezo na kwa ubora.
Hakuna Cha upinzani Wala Nini huko Simanjiro
 
Kwa wote aliogombea nao Sendeka anawaacha mbali sana kiuwezo na kwa ubora.
Hakuna Cha upinzani Wala Nini huko Simanjiro
Yuko mama mmoja aligombea Yuko vizuri kuliko huyo fisadi na aliyefeli shule.
 
Mwanasiasa na Rushwa ni kama Mvuvi na shombo
Mtoa mada atakuwa James ole Millya ambaye alishindwa na Ole Sendeka kwenye kura za maoni hivyo bado ana matumaini ya kupitishwa.
 
Mtoa mada atakuwa James ole Millya ambaye alishindwa na Ole Sendeka kwenye kura za maoni hivyo bado ana matumaini ya kupitishwa.
Mnyeti alishamalizaga Kura za maoni za James Ole Millya,kuweni na amani.
 
Wakati vikao vya ngazi za juu ndani ya Ccm vikiendelea na mchakato wa kupitia majina taarifa za ndani zinaeleza kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Bw. Christopher Ole Sendeka ameanza kuhaha kutafuta msaada kwa baadhi ya vigogo ndani ya Ccm ili waweze kumnusuru na panga la kukatwa jina lake baada ya ripoti kutoka vyombo vya usalama TISS na TAKUKURU kuelezea namna alivyotumia rushwa,ukabila na matumizi mabaya ya Madaraka katika kushinda nafasi ya kura za maoni za Ccm katika jimbo la Simanjiro .

Chanzo cha habari hii kinasema baada ya Bw. Christopher Ole Sendeka kufanya Tadhmini na kusikia kwamba repoti zake kuhusu rushwa alizotumia katika mchakato wa kura za maoni kabla na baada ya tarehe hiyo ya kura za maoni timu ya Ole Sendeka imepanga mikakati kadhaa ikiwepo;

1. Kumuendea Mzee Mangula, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kutokana na historia ya Ole Sendeka huko Njombe akiwa Mkuu wa Mkoa huo na pia mahusiano yao ya muda mrefu katika kazi za kiuongozi ndani ya CCM, Mzee Mangula aweze kumtetea katika kuteuliwa na kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa Novemba 2020.

2. Mkakati mwingine uliyoandaliwa na Ole Sendeka na wapambe wake ni kutumia fedha yeyote ili kushawishi watu wenye maamuzi ya chama miongoni mwao akiwemo Mzee Mangula na kazi hii ya kumsaidia Ole Sendeka katika Uteuzi unafanywa pia na Mke wa Mzee Malecela Mama Anna Kilango Malecela na Mzee Malecela mwenyewe ili kumsaidia rafiki yao wa muda mrefu katika harakati za CCM miaka ya hapo nyuma.

3. Ni vema ikumbukwe kwamba familia ya Mzee Malecela imekuwa Karibu na Ole Sendeka kwa muda mrefu kutokana na Ole Sendeka kuwa miongoni mwa vijana ambao walitamani sana kuona Mzee Malecela akishinda kura za uteuzi wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2005 hivyo inasemekana timu ya Ole Sendeka wanajaribu kila mbinu za kumtetea Ole Sendeka katika uteuzi kupitia kila mtu aliyekaribu naye ili makosa yake yote yaliyoandikwa kabla na wakati wa kura za maoni yatupwe mbali na wenye mamlaka ya Uteuzi.

4. Kwa vyanzo Hivi vya uhakika vinakiri pia kwamba tarehe 12/07/2020 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa uliyofanyika jijini Dodoma Mzee Malecela akisukumwa na tamaa za Ole Sendeka za kutaka kushiriki kwenye kura za maoni za CCM za Jimbo la SIMANJIRO walifanya kila juhudi za kumtafuta Mwenyekiti wa CCM wa Taifa, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili amruhusu Ole Sendeka kwenda SIMANJIRO kugombea Ubunge na kuacha nafasi yake ya Ukuu wa Mkoa.

5. Jitihada zote hizi za Ole Sendeka na timu yake ni ili Mzee Mangula na watu wenye ushawishi ndani ya vikao vya maamuzi vya CCM watumie nafasi zao kukataa ripoti za kiusalama na TAKUKURU dhidi ya Bw. Christopher Ole Sendeka zinazoonyesha rafu aliyoitumia kushinda uchaguzi.

6. Pamoja na kwamba Mzee Mangula ni mtu anayeaminika sana na mtu mwadilifu na ni kati ya WAZEE wachache wanaotegemewa kukitetea CCM katika mazingira haya magumu ya baadhi ya watu kuaminisha umma na Wana-CCM kwamba ili kushinda kura za maoni za CCM ni lazima utumie rushwa, tunamuomba ajihadhari na utapeli wa Ole Sendeka na akumbuke kwamba, Ole Sendeka huyu huyu na kundi lake wamekataliwa na watu wa SIMANJIRO Mwaka 2015 kwa kura Nyingi sana kutokana na Ole Sendeka kuchokwa na wananchi na kundi lake kuingia kwenye migogoro mikubwa na wananchi kwa kuuza Ardhi ya Wananchi.

7. Leo kundi la Ole Sendeka wakijaribu kushawishi Viongozi waandamizi wazikatae ripoti za vyombo vya Ulinzi na USALAMA vya maeneo husika, wanataka wazee hawa na Viongozi wa Chama Tawala waamini kwenye nini? Vyombo hivi havina mgombea na vyenyewe vinasimama katikati ili kulinda USALAMA wa nchi yetu na kutetea ukweli siku zote. Tunaomba WAZEE kama kina Mzee Mangula na Mzee Malecela wasiingizwe kwenye uchochoro huu wenye masilahi ya kutetea tamaa za Ole Sendeka na kundi lake ambao wamechokwa sana na watu wa SIMANJIRO ili kukinusuru Chama Cha Mapinduzi Wilayani Simanjiro kwenye uchaguzi huu Mkuu Ujao unaotarajiwa kufanyika Novemba Mwaka Huu.

Mwisho
Wewe nawe ni wale wale. Na wewe umeleta haya kwa nia ya kumsaidia nani?

Kwanza kwa ujumla, hakuna hata mgombea mmoja ndani ya CCM ambaye hajahonga. Walizidiana tu viwango.

Ukisema uondoe wagombea waliohonga kupitia CCM, labda mchakato uanze upya. Na hata mchakato ukianza upya, hakuna kitakchobadilika. Kuhonga ndani ya CCM ni utamaduni wa miaka mingi ambao hauna dalili ya kukoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati vikao vya ngazi za juu ndani ya Ccm vikiendelea na mchakato wa kupitia majina taarifa za ndani zinaeleza kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Bw. Christopher Ole Sendeka ameanza kuhaha kutafuta msaada kwa baadhi ya vigogo ndani ya Ccm ili waweze kumnusuru na panga la kukatwa jina lake baada ya ripoti kutoka vyombo vya usalama TISS na TAKUKURU kuelezea namna alivyotumia rushwa,ukabila na matumizi mabaya ya Madaraka katika kushinda nafasi ya kura za maoni za Ccm katika jimbo la Simanjiro .

Chanzo cha habari hii kinasema baada ya Bw. Christopher Ole Sendeka kufanya Tadhmini na kusikia kwamba repoti zake kuhusu rushwa alizotumia katika mchakato wa kura za maoni kabla na baada ya tarehe hiyo ya kura za maoni timu ya Ole Sendeka imepanga mikakati kadhaa ikiwepo;

1. Kumuendea Mzee Mangula, ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ili kutokana na historia ya Ole Sendeka huko Njombe akiwa Mkuu wa Mkoa huo na pia mahusiano yao ya muda mrefu katika kazi za kiuongozi ndani ya CCM, Mzee Mangula aweze kumtetea katika kuteuliwa na kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa Novemba 2020.

2. Mkakati mwingine uliyoandaliwa na Ole Sendeka na wapambe wake ni kutumia fedha yeyote ili kushawishi watu wenye maamuzi ya chama miongoni mwao akiwemo Mzee Mangula na kazi hii ya kumsaidia Ole Sendeka katika Uteuzi unafanywa pia na Mke wa Mzee Malecela Mama Anna Kilango Malecela na Mzee Malecela mwenyewe ili kumsaidia rafiki yao wa muda mrefu katika harakati za CCM miaka ya hapo nyuma.

3. Ni vema ikumbukwe kwamba familia ya Mzee Malecela imekuwa Karibu na Ole Sendeka kwa muda mrefu kutokana na Ole Sendeka kuwa miongoni mwa vijana ambao walitamani sana kuona Mzee Malecela akishinda kura za uteuzi wa kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2005 hivyo inasemekana timu ya Ole Sendeka wanajaribu kila mbinu za kumtetea Ole Sendeka katika uteuzi kupitia kila mtu aliyekaribu naye ili makosa yake yote yaliyoandikwa kabla na wakati wa kura za maoni yatupwe mbali na wenye mamlaka ya Uteuzi.

4. Kwa vyanzo Hivi vya uhakika vinakiri pia kwamba tarehe 12/07/2020 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa uliyofanyika jijini Dodoma Mzee Malecela akisukumwa na tamaa za Ole Sendeka za kutaka kushiriki kwenye kura za maoni za CCM za Jimbo la SIMANJIRO walifanya kila juhudi za kumtafuta Mwenyekiti wa CCM wa Taifa, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili amruhusu Ole Sendeka kwenda SIMANJIRO kugombea Ubunge na kuacha nafasi yake ya Ukuu wa Mkoa.

5. Jitihada zote hizi za Ole Sendeka na timu yake ni ili Mzee Mangula na watu wenye ushawishi ndani ya vikao vya maamuzi vya CCM watumie nafasi zao kukataa ripoti za kiusalama na TAKUKURU dhidi ya Bw. Christopher Ole Sendeka zinazoonyesha rafu aliyoitumia kushinda uchaguzi.

6. Pamoja na kwamba Mzee Mangula ni mtu anayeaminika sana na mtu mwadilifu na ni kati ya WAZEE wachache wanaotegemewa kukitetea CCM katika mazingira haya magumu ya baadhi ya watu kuaminisha umma na Wana-CCM kwamba ili kushinda kura za maoni za CCM ni lazima utumie rushwa, tunamuomba ajihadhari na utapeli wa Ole Sendeka na akumbuke kwamba, Ole Sendeka huyu huyu na kundi lake wamekataliwa na watu wa SIMANJIRO Mwaka 2015 kwa kura Nyingi sana kutokana na Ole Sendeka kuchokwa na wananchi na kundi lake kuingia kwenye migogoro mikubwa na wananchi kwa kuuza Ardhi ya Wananchi.

7. Leo kundi la Ole Sendeka wakijaribu kushawishi Viongozi waandamizi wazikatae ripoti za vyombo vya Ulinzi na USALAMA vya maeneo husika, wanataka wazee hawa na Viongozi wa Chama Tawala waamini kwenye nini? Vyombo hivi havina mgombea na vyenyewe vinasimama katikati ili kulinda USALAMA wa nchi yetu na kutetea ukweli siku zote. Tunaomba WAZEE kama kina Mzee Mangula na Mzee Malecela wasiingizwe kwenye uchochoro huu wenye masilahi ya kutetea tamaa za Ole Sendeka na kundi lake ambao wamechokwa sana na watu wa SIMANJIRO ili kukinusuru Chama Cha Mapinduzi Wilayani Simanjiro kwenye uchaguzi huu Mkuu Ujao unaotarajiwa kufanyika Novemba Mwaka Huu.

Mwisho
Pole Pole anakwambia "IMEISHA HIYO".
 
Aisee kwa Issue ya Ole Sendeka ukijua ujinga aliofanya katika utawala wake hutokaa umshawishi yyt ampgie kura.

Naongea kama mtu ninayeishi Simanjiro zaidi ya miaka 12.

Sendeka ana Ukabila sana na anatumia uduni na uelewa wa Wamasai kufitini maendeleo ya Simanjiro kwa kuwaaminisha Wamasai kuwa endapo maendeleo yatafika Simanjiro wamasai watapoteza maeneo ya malisho kwa sababu wahamiaji watakuwa wengi Simanjiro na hivyo watapoka maeneo hayo.

Amefanya kufitini viwanda vya nyama na maziwa vya Rotiana, viwanda ambavyo vilikuwa vimeajiri zaidi ya wakazi 2500 wa maeneo mbalimbali ya Simanjiro na Arusha.

Viwanda vilikuwa vikinunua Ng'ombe karibu 1000 kwa mwezi kutoka kwa wafugaji Simanjiro na maeneo jirani.

Katika kipindi chake cha utawala hakutaka kabisa miradi mablimbali ikiwemo ule Maji kwa kuhofia wageni kuwa wengi eneo hilo na kwamba wenyeji wataporwa maeneo.

Alisababisha migogoro mingi ya ardhi hasa maeneo ya Langai, Losinyai na Kitiangare, migogoro inayodumu hadi sasa.

Kauli mbiu yake ilikuwa ni Ng'ombe kwanza, Binadamu baadae....WHAT THE HELL?

Hata lami ya Mirerani hakutaka iwepo kwa sababu kwa madai yake lami inaumiza kwato za ng'ombe wakipita barabarani.

Alikataa Mwekezaji mzalendo Martin asiweke Kituo cha Radio makao makuu ya wilaya Orkesumet na kumwambia akafunge Mitambo na station hiyo ya Radio Terrat, Kwamba Martine anataka kumvuruga Sendeka katika anga la siasa endapo atafunga radio Orkesumet.

Kwa kifupi Sendeka anahitaji Jimbo kwa maslahi ya tumbo lake na si kwa maendeleo ya Simanjiro.

Na wahakikishia Kamati kuu wakimpitisha Sendeka wapinzani wanachukua jimbo hilo saa 2 asbh.

CCM CHAMA CHANGU MSIPOTEZE HILI JIMBO, MZICHANGE KARATA VEMA.
Mkuu naona unashusha data zote, kikao cha kamati ni lini tujue?
 
Back
Top Bottom