PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
Baada ya kusikia upotoshwaji wa makusudi unaofanywa na ndugu zetu wanaoishi ndani na karibu ya maeneo ya Hifadhi zetu kuhimu adhimu kuwa wamasai ni wahifadhi kwa asili na hawafanyi ujangili.
Ilinibidi nijipe Homework kuthibitisha hili, nilichogundua ni uongo mtupu. Tafadhali fuatilia
1. Nimegundua kuwa Wamasai wamebadilika sana na sasa wanaua wanyamapori kama Tembo, far na wanyama wengine
2. Nimegundua kuwa wapo baadhi ya wamasai wanaokula hadi nyama ya nyati, swala na pundamilia.
3. Nimeweka Orodha hapa ya kesi zilizopo mahakamani zinazohusiana na Ujangili. Na katika kesi hizo 85% ya watuhumiwa ni wamasai
4. Katika Orodha ya watuhumiwa wa kuua Faru, mtuhumiwa namba 9 na mtuhumiwa namba 10 katika orodha hiyo ni ndugu wa damu wa mbunge wa simanjiro Christopher Olesendeka.
Swali.
unapokuwa na ndugu zako wanatuhumiwa kwa kukamatwa na nyara za serikali, kuua faru, tembo nakadharika kama walivyofanya ndugu zake sendeka wakati ukijua wewe ni kiongozi na mtumishi wa umma,
Je tukisema ndugu zako hawa wanafanya uharifu huo kwa kufuata maelekezo ama ushawishi wako wakitegemea utawaweke kifua utakataa?
Ilinibidi nijipe Homework kuthibitisha hili, nilichogundua ni uongo mtupu. Tafadhali fuatilia
1. Nimegundua kuwa Wamasai wamebadilika sana na sasa wanaua wanyamapori kama Tembo, far na wanyama wengine
2. Nimegundua kuwa wapo baadhi ya wamasai wanaokula hadi nyama ya nyati, swala na pundamilia.
3. Nimeweka Orodha hapa ya kesi zilizopo mahakamani zinazohusiana na Ujangili. Na katika kesi hizo 85% ya watuhumiwa ni wamasai
4. Katika Orodha ya watuhumiwa wa kuua Faru, mtuhumiwa namba 9 na mtuhumiwa namba 10 katika orodha hiyo ni ndugu wa damu wa mbunge wa simanjiro Christopher Olesendeka.
Swali.
unapokuwa na ndugu zako wanatuhumiwa kwa kukamatwa na nyara za serikali, kuua faru, tembo nakadharika kama walivyofanya ndugu zake sendeka wakati ukijua wewe ni kiongozi na mtumishi wa umma,
Je tukisema ndugu zako hawa wanafanya uharifu huo kwa kufuata maelekezo ama ushawishi wako wakitegemea utawaweke kifua utakataa?