Ole Sendeka usipotoshe watanzania

Ole Sendeka usipotoshe watanzania

Hahahahha...No, No.. don't run away...si umeyataka mwenyewe?? Subiri umeze hivyo hivyo hata kama ni chungu utameza tu!

Kwa hili ntakuandama mpaka uache ushenzi wa kunyanyapaa watu na kudharau mila za watu nyambaff!!!

Hahaha yaani nikukimbie wewe!! tatizo ndugu yangu wewe umekosa ustaarabu kama ulishindwa kunielewa ungeuliza...

Mbona Buchanan aliuliza na nimemjibu vyema maana ya matamshi yangu, au mbona mleta mada alielewa kwa nini niliandika vile?

Isipokuwa wewe ulishindwa kuelewa kwa kuwa post yangu ya mwanzo niliiandika kwa ufupi sana na wala haikuwa na chembe ya kumdhalilisha Sendeka wala kabila zima la Maasai...

Nimeeleza umuhimu wa rika kwa Wamaasai, nimeeleza kwa nini mtu kama Sendeka ana-behave vile ukimuhisanisha na kabila lake...

Yote hayo umeshindwa kuyapitia na ukajibu kwa hoja isipokuwa umeanza kuporomosha matusi kama vile sio Great Thinker...

Je hujui kuwa hoja hujibiwa kwa hoja?
 
Yaani kati ya vitu ninavyopuuzia mtu akifanya ni matusi au kashfa kwa kuwa unachokitukana ni ID tu hii ya watu8, wala huji inatumiwa na kina nani, kwa sababu gani....

The least I can do ni kukupuuzia tu kwa kuwa inaonesha kwako wewe matusi ndio ustaarabu kwako

Olesendeka hana uthubutu wowote! Ni mlafi na mlarushwa! Kelele zote hizo ni mijisifa na tegemeo la kupata any position iwe kwenye chama au serikalini!

Huyu Watu8, anajitapatapa tu kujifanya anajua kumbe she is completely empty...she knew nothing about this guy!!!

Huyu watu8 ni mropokaji kama Sendeka tu!!
 
yaani OLE SENDEKA ANA UTHUBUTU?, UPI SASA?, WA KULILIA KURA YA WAZI?, YA KULILIA SIMPLE MAJORITY WAKATI WA KUPIGA KURA?, KWENYE KICHWA CHA SENDEKA HAKUNA KITU, KUMEJAA MAZIWA MGANDO.

Hilo la kichwani kwake kujaa maziwa mgando silifahamu...

Tabia ya mtu unaweza kuitambua kwa namna tu anavyowakilisha mambo anayoyajua iwe ni kwa kuandika au kunena...
 
Yaani kati ya vitu ninavyopuuzia mtu akifanya ni matusi au kashfa kwa kuwa unachokitukana ni ID tu hii ya watu8, wala huji inatumiwa na kina nani, kwa sababu gani....

The least I can do ni kukupuuzia tu kwa kuwa inaonesha kwako wewe matusi ndio ustaarabu kwako

Go away from me...mwanzo tu ndio uliharibu kuniita "kidudu mtu"...ulitegemea nini???

Matusi yangu unayaona, yako huoni? Unajitapa great thinker mstaarabu na kunitaka nickutukane wakati mwenyewe unaporomosha matusi!

Hoja yako niliielewa vizuri sana; ulikua na lengo la kudhalilisha mila za watu, lakini wadau wengi walikushtukia, sasa unatapatapa...ooh sipendi mtu kutukana huku ww mwenyewe unatukana...pathetic...to hell with you!!! Lv me alone..
 
Hahahah!!

Haya Bi Kiroboto nimekuacha...

Go away from me...mwanzo tu ndio uliharibu kuniita "kidudu mtu"...ulitegemea nini???

Matusi yangu unayaona, yako huoni? Unajitapa great thinker mstaarabu na kunitaka nickutukane wakati mwenyewe unaporomosha matusi!

Hoja yako niliielewa vizuri sana; ulikua na lengo la kudhalilisha mila za watu, lakini wadau wengi walikushtukia, sasa unatapatapa...ooh sipendi mtu kutukana huku ww mwenyewe unatukana...pathetic...to hell with you!!! Lv me alone..
 
daddy sio mila ndo zimemuathiri bali ni upungufu wa chembechembe hai mpya ndo zimepungua ndo mana anakuwa vile
si uzee sasa unakuja lazima chembechembe zipungue kidogo kidogo

Tatizo yule mzee kaathirika sana na mila za Kimaasai...
 
ndomana umesema kuwa ingawa tunatumia USERNAME haziwezi kutubadilisha tabia na uhalisia wetu
hasa hata wa viongozi pia

Hilo la kichwani kwake kujaa maziwa mgando silifahamu...

Tabia ya mtu unaweza kuitambua kwa namna tu anavyowakilisha mambo anayoyajua iwe ni kwa kuandika au kunena...
 
daddy huyo Null usibishane naye nadhani ana matatizo cha kufanya mrepoti kwa wakuu kule juu

Hahaha yaani nikukimbie wewe!! tatizo ndugu yangu wewe umekosa ustaarabu kama ulishindwa kunielewa ungeuliza...

Mbona Buchanan aliuliza na nimemjibu vyema maana ya matamshi yangu, au mbona mleta mada alielewa kwa nini niliandika vile?

Isipokuwa wewe ulishindwa kuelewa kwa kuwa post yangu ya mwanzo niliiandika kwa ufupi sana na wala haikuwa na chembe ya kumdhalilisha Sendeka wala kabila zima la Maasai...

Nimeeleza umuhimu wa rika kwa Wamaasai, nimeeleza kwa nini mtu kama Sendeka ana-behave vile ukimuhisanisha na kabila lake...

Yote hayo umeshindwa kuyapitia na ukajibu kwa hoja isipokuwa umeanza kuporomosha matusi kama vile sio Great Thinker...

Je hujui kuwa hoja hujibiwa kwa hoja?
 
daddy huyo Null usibishane naye nadhani ana matatizo cha kufanya mrepoti kwa wakuu kule juu

Hahahaha...eti Daddy..pwaaah hahaha!

Usimwagize Watu8 aniripoti, ripoti ww.. Utadhan JF ya babaako?? Do it now!
 
nadhani ukisoma vizuri hii signature ya daddy utaelewa vizuri nilichokitext mwanzo

"Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"

Hahahaha...eti Daddy..pwaaah hahaha!

Usimwagize Watu8 aniripoti, ripoti ww.. Utadhan JF ya babaako?? Do it now!
 
hv hakuna mtu ana namba za simu za SENDEKA anipe ili nimuulize kwa nini anakulaga loshoroo na maziwa yaliyochacha wkt anajua kuwa cku hyo anachangia hoja bungen?
 
Ole sendeka ujue Nyerere sio mungu wa kuamua mambo ya wa tanzania wataka hutaki serikali 3 haziepukiki hata ukitoa machozi mamuzi ya wa tz yataheshimiwa tu
 
Kwenye ushabiki mi simo. Ktk watu mashujaa wa roho mbaya ndani ya tz ole sendeka nampa namba 1. Yuko tayari kulia machozi ili kuchakachua maoni ya watz. Mngemjua jimboni kwake msingejaribu kumtaja kwenye jf. Niliwakuta wafanyakazi wake wamekuja kuchota maji Naberera kuna bomba liko kushoto mwa barabara inayopanda kijiji cha ogutu, wafanyakazi hao wako na matrecta wamekwama shauri ya mvua siku mbili bila ya chakula, wala hakuna dalili ya tajiri sendeka kuwatumia walau loshoro!!!!. Kibaya zaidi tukafanikiwa km kilometa 2 au 3 tukamwona wanakula nyama (dume) na malaigwanani wenzake. Je nani awasaidie wale wafanyakazi wake wa ng'ombe???
. Hili nimeliona live. Je huyu atakuwa na huruma na watz hususani kuhusu KATIBA!!!!!. Kwa uwezo wa mungu pepo huyu mchafu atashindwa na katiba itapita na SERIKALI TATU JUU. (TANGANYIKA KWANZA kina sendeka baadae.
 
Kwenye ushabiki mi simo. Ktk watu mashujaa wa roho mbaya ndani ya tz ole sendeka nampa namba 1. Yuko tayari kulia machozi ili kuchakachua maoni ya watz. Mngemjua jimboni kwake msingejaribu kumtaja kwenye jf. Niliwakuta wafanyakazi wake wamekuja kuchota maji Naberera kuna bomba liko kushoto mwa barabara inayopanda kijiji cha ogutu, wafanyakazi hao wako na matrecta wamekwama shauri ya mvua siku mbili bila ya chakula, wala hakuna dalili ya tajiri sendeka kuwatumia walau loshoro!!!!. Kibaya zaidi tukafanikiwa km kilometa 2 au 3 tukamwona wanakula nyama (dume) na malaigwanani wenzake. Je nani awasaidie wale wafanyakazi wake wa ng'ombe???
. Hili nimeliona live. Je huyu atakuwa na huruma na watz hususani kuhusu KATIBA!!!!!. Kwa uwezo wa mungu pepo huyu mchafu atashindwa na katiba itapita na SERIKALI TATU JUU. (TANGANYIKA KWANZA kina sendeka baadae.
Urrasa acha kejeli.wewe pale kiboroleni umemsaidia nani?hoja ya serekali 3 ni nzuri lakini sababu zako ni za mzaha.Kikubwa Tanganyika inayochangia asilimia 98 ktk muungano ipate haki yake. Sio lazima marais wawe watatu.inawezekana rais mmoja magavana 2
 
Natafuta hapa nchi inayoitwa Zanzibar SIIPATI......

Africa kuna nchi mbili tu zinazoanza na herufi ''Z'' nazo ni Zambia na Zimbabwe.

Nyerere aliwapatia sana Wazanzibari, aliwaachia raisi na vyeo akawanyang'anya mamlaka ya nchi.

Kwa mantic hiyo ndio maana wazanzibar wameweka katiba yao msipo muelewa warioba mtakuja muelewa ama iwe mvua au jua patachimbika
 
Kwa mantic hiyo ndio maana wazanzibar wameweka katiba yao msipo muelewa warioba mtakuja muelewa ama iwe mvua au jua patachimbika

Kaka kama ni kudai nchi muidai sasa ila nina wasiwasi na viongozi wa SMZ wengi wanataka mfumo wa sasa uendelee sijui kwa kulazimishwa ama vinginevyo
 
Bwana Ole sendeka, naomba nikukumbushe haya:

1. Nyerere sio msahafu and he will never be!!!. All men are fallible, no man is infallible. Nyerere also falls within this famous philosophical statement

2. Usipotoshe, Umesema kuwa Warioba akitaka shirikisho, lazima kuwepo Tanganyika na Zanzibar ambazo, umesema Zanzibar haipo. ZANZIBAR ipo, ina katiba yake, na kila kitu cha sovereign state, bado utekelezaji, hivyo usipotoshe.

3. Tatizo unajifanya kuwa authority, while in these political issues no one is an authority, we need consensus.
ninacho shukuru Mungu historia huwa haifutiki wala kupotea. na nzuri zaidi hata yeye Mwl. Nyerere alinena yakua sio maneno yake bali ndivyo historia ilivyo kwa wale watakao leta mzaa kwenye suala la muungano dhambi hiyo itawatafuna tu hata iweje.
 
Back
Top Bottom