Naona kazi ya U-komando huiwezi unaanza kubatiza watu majina hata huwafahamu. Pole sana utapata pressure ya bure hapa.
hahahahahaah kaka is a kind JOKES au ume-mind?sorry sana basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kazi ya U-komando huiwezi unaanza kubatiza watu majina hata huwafahamu. Pole sana utapata pressure ya bure hapa.
Asha na MWK: shukrani sana, kwa utaratibu huu ukombozi tutaupata sooner than later.
Ila tu naomba ile report kama mnayo muiweke hapa hata kabla wao hawajaitoa, yaani hapo tutakuwa tumemkoma nyani sana.
Mwafrika wa KIKE,and others
Naona humu ndani watu tayaari mnamajibu yenu,kama huna dhamira mbaya why uhisi kuna usanii utafanyika?why mtu atoe vitisho? Rais amechaguliwa na watanzania including nyie wote,si vizuri kumtisha,pia si vizuri kuwa na majibu kabla,its healthy to live postively kuliko kuwaza -ve always.
Mwisho kwa niaba ya chama cha mapinduzi na serekali na serekali yake tumewaahidi watanzania report mtaipata tumesha sema ktk vyombo vya habari kua mtapata report as per your expectation.
Kidumu chama cha mapinduzi
Mkuu
Nafikiri ikiweza kuwekwa hapa litakuwa fundisho kwa wale wanaotumia hela kibao kuunda tume na mwisho ripoti zikaozea kwenye droo zao.
Naomba niseme yafuatayo kuhusu hiyo ripoti inayosubiriwa:
- Jitayarisheni kisaikolojia kuwa dissapointed nayo. Remember that we are not waiting for a report of an independent investigation into loss of public monies at the BoT. Ni kazi inayofanywa kwa niaba ya CAG. Yatafunuliwa tu yale ambayo CAG atataka yafunuliwe. Msisahau watu wote kwenye nafasi kama ya CAG ni wana CCM (overtly or covertly)
- Hakuna mtu hapa JF mwenye hiyo ripoti hadi sasa. Angekuweko, basi ni lazima angeshaitoa. Angeacha kwa kisa gani? The very nature of JF would require a full publication of the report at the first opportunity.
- Nilivyosoma kwenye magazeti ni kwamba ripoti itahusu fedha zilizopotea kwenye akaunti ya malipo ya madeni. Serikali ya CCM haiwezi ikataka kuweko ripoti ya kubainisha ukweli wote kuhusu wizi wa fedha za uma hapo BoT. That would be suicidal.