Ole wako!! Ukiwa muislam kwenye nchi hizi usithubutu kuhama dini, adhabu ni kifo

Ebu tuwekee mfano mmoja wapo wa mtu aliye katwa kichwa kwa sababu ya kubadili dini nchini Saudia arabia.
sheria ipo wazi ukibadili dini unauliwa

Hivyo, waarabu wakitaka kubadili dini wanaondoka Saudi Arabia kwenda nchi zinazoheshimu uhuru wa kiimani, nchi za ulaya utawakuta waarabu waliobadili dini.



 
Huyu jamaa mnavyobishana naye ndio mnampa hamasa ya kuleta nyuzi za kipumbavu kila siku.


Cha kufanya nenda kwenye avatar hapo bonyeza Kisha weka ignore


KIla akiweka post hutoona, watu wasiporeply thread zake ataacha mwenyewe kupost post.
 

Attachments

  • Screenshot_20240326-174649.png
    72.9 KB · Views: 2
Nimedanganya ??
Umedanganya pakubwa sana.
Hao kadhwi wanaendeshwa na sheria za uislam hutumia reference ya sheria za Qur'an.
Qur'an inasema surah ya pili ayah ya 256 2:256 Baqrah.
Hakuna kulazimishana katika kuikubali dini.
Embu isome hapo chini.
Kwa mantiki hiyo hakuna hiyo sheria ya kumuua anayeritadi.
Hayo mataifa ulotaja mengi yana wakristu wa hizo jamii hususan Qatar,UAE na Malaysia.
Pia hata kama ingekua kweli,uislam unakushughulisha na nini broo!?
KWANI NI LAZIMA UUFUATILIE??
KUNA DINI CHAFU ZA KUJADILI KAMA HINDUISM inayomnyanyapaa mwanamke na kumchukulia dhaifu ama chombo cha starehe na inayopiga marufuku na kuua watu wanaokula ng'ombe.
Hawa kwani hawakufai wewe kuwajadili??
Unakera sana bro.
Hata kama una uhuru wa kuongea ila usichupe mipaka.
 
Hii ndo point sasa ya kumwambia mleta mada aje na vifungu vya Sheria pamoja na mifano sio kuleta matusi na kusema mchochezi,
Huyu jamaa ni mdini na mchochezi.
Fuatilia nyuzi zake nyingi ni kuongelea uislam.
Halafu moderators wanakaa tuu pasi na kufanya kitu,nahisi mods nao watakua wana shida akilini mwao ama katika ufahamu wao.
Embu fuatilia nyuzi zake uone.
Yani anashughulishwa na uislam kuliko hata waislam wenyewe.
 
Tatizo sio Quran, Tatizo ni jinsi inavyotafsiriwa na hizo nchi sio sawa, wao wametafsiri vibya kuhalalisha hayo mauaji,

Wao tafsiri zao ni tofauti na Tanzania, hapa kwetu ole wako umguse anaehama dini,
 
Tatizo sio Quran, Tatizo ni jinsi inavyotafsiriwa na hizo nchi sio sawa, wao wametafsiri vibya kuhalalisha hayo mauaji,

Wao tafsiri zao ni tofauti na Tanzania tunakoweza kuvumiliana hata mtu akibadili dini.
Lete kesi hata moja ya mtu kuchinjwa Qatar ama Saudi arabia ama Malaysia.
 
Lete kesi hata moja ya mtu akihukumiwa kifo kwa kuritadi.
Ili kuwe na kesi inabidi kuwe na watu wanaobadili dini hadharani,

Na ukibadili dini hadharani hutaweza hata kuiabudu maana kesho yake panga linakuhusu. Nani atathubutu !!

Kwa akili ya kawaida inabidi uhame nchi ili uweze kuitumikia dini au ufanye kwa siri sana wasijue,

inabidi utumie akili kufanya haya maamuzi sio kukurupuka.

Sheria zipo wazi ukibadili dini Panga lipo, watu wanapokea mshahara kila mwezi kusubiri kuuhumu watu hawa
 
Ukristo sawa sawa kabisa na ujinga ...ila atleast wana penda amani .....uislam ni dini nzuri ila maandiko ya amani na fujo kwa pamoja ....
 
Itabidi tu niku ignore itakua salama kwangu
 
Hii ndo point sasa ya kumwambia mleta mada aje na vifungu vya Sheria pamoja na mifano sio kuleta matusi na kusema mchochezi,
Kitendo cha kuanzisha mada bila kuambatanisha hivyo vigezo tiyari ni uchochezi , na pia huyo jamaa anajulikana humu kwa kuanzisha mada za uchochezi wa kidini hivyo rekod yake inamhukumu.
 
Kuna moja hapa naifatilia amepost watu kadhaa walioacha ukristo na kujiunga na uislam. Hili si ni Jambo jema kwa waislam?
 
Ndio hili hata Mufti Shekhe Mkuu wa Tanzania alikua analiongelea moja ya kosa ni hilo la kulitadi na ikibainika Adhabu ni kifo tu
 
Itabidi tu niku ignore itakua salama kwangu
Hawa ni waarabu waliokimbia nchi zao kwenda kubadili dini nchi zenye uhuru, hawakubadili dini zao uarabuni kwasababu wangeuwawa



Watu wanaotekeleza hii hukumu wanaitwa executioners, wanalipwa mishahara kila mwezi, Ole wake ataekuja kutangaza hadharani kabadili dini !!

 
sheria ipo wazi ukibadili dini unauliwa

Hivyo, waarabu wakitaka kubadili dini wanaondoka Saudi Arabia kwenda nchi zinazoheshimu uhuru wa kiimani, nchi za ulaya utawakuta waarabu waliobadili dini.

View attachment 2945266

View attachment 2945254
Ww si umesema kuwa Saudia imeaajili mtu wa kukata shingo wale wanao badili dini ?
Sasa kama hao wanao badili dini wanaondoka Saudia Arabia huyo aliye ajiliwa anafanya kazi gani?
 
Ww si umesema kuwa Saudia imeaajili mtu wa kukata shingo wale wanao badili dini ?
Sasa kama hao wanao badili dini wanaondoka Saudia Arabia huyo aliye ajiliwa anafanya kazi gani?
Kazi yake ni kuwatia hofu wenye mawazo ya kubadili dini wasije kuthubutu kufanya hivyo.

Ni sawa na kumteka mtu unamwekea mlinzi mwenye bunduki, hio bunduki inaweza isitumike ila ina kazi ya kumtia hofu mfungwa
 
An
Ebu tuwekee vifungu vya sheria za nchi hizo vinavyo sema hivyo.
Hata kama ni Kweli ww inakuhusu nn kwann unawashwa washwa na uislam kila siku?
Kwa nn usiwe unaanzaisha nyuzi za kujadili mapungufu yaliyo jaa kwenye dini yenu?
Nahsi hata ww mkuu upo huru kuyatoa hayo mapumgifu ya dini zngine watu wakatoa ya moyon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…