Hizo nchi zenye uhuru kwann ukiukashifu ushoga unafungwa jela?Kazi yake ni kuwatia hofu wenye mawazo ya kubadili dini wasije kuthubutu kufanya hivyo.
Ni sawa na kumteka mtu unamwekea mlinzi mwenye bunduki, hio bunduki inaweza isitumike ila ina kazi ya kumtia hofu mfungwa
nimekasirika sana uzi kama huu nilitegemea umtag mgalatia Maghayo unaanza kufeli.Unahangaika na uislamu 🤣🤣🤣🤣
Mkuu mm huo muda sina, kwa sababu dini isiyo kuwa yangu hainihusu bali ina wahusu wenye nayo na ndo wenye uwezo wa kuongelea mapungufu yake kwa sababu ndo wanao ijua.An
Nahsi hata ww mkuu upo huru kuyatoa hayo mapumgifu ya dini zngine watu wakatoa ya moyon.
Hahahanimekasirika sana uzi kama huu nilitegemea umtag mgalatia Maghayo unaanza kufeli.
Watu wengi tunafatilia utani wenu😂
Mimi sifuti kitu, hata wakinifungia,Mbona hii comment umeifuta sikujua ni muoga hivyo na baadae bila aibu unaenda kufuturu eti ulikua umefungaView attachment 2945311
Huyu mtu wa kuachana nae , na hizi ni nasaha Kwa sisi vijana wa Kiislamu ukiona mtu yeyeye ana malengo ya kukashifu dini na mlengo wake haupo kwenye majadiliano balinkwa msukumo wa chuki kebehi ,dhihaka nk achana nae hapunguzi kitu ,ukijibu kwa mwenendo wake hakutakuwa na mwisho mwema.Aliekulawiti japo ana jina la kiislam lakini ni yeye tu ameamua kukufanyia hicho kitendo cha kikatili si kama ni mafundisho ya uislam la hasha!! So punguza chuki dhidi ya uislam mkuu,, dili na huyo jamaa aliyekugonga kijambio chako,, kuanzisha nyuzi nyingi humu kila uchwao kuuponda uislam na waislam sio solution, we dili na jamaa
Endelea kutukana usichoke ndo uislamu unavyofundishaMimi sifuti kitu, hata wakinifungia,
nenda kawaulize mods
Umeiona na ya pili
Kasema ukweli! Uo ndo ukweli! Povu la nini?Tatizo lako nini mkuu? wewe sio muislamu kwahiyo hiyo kitu haikuhusu wewe, sasa kwanini unateseka?
Safi sana hao, wanaifata amri ya Biblia.MUHIMU: Kama kuna nchi katika hii orodha haiui wanaobadili dini naombeni tuelimishane nifanye marekebisho
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
- Afghanistan
- Saudi Arabia
- Brunei / Darussalam
- Iran
- Malaysia
- Maldives
- Mauritania
- Qatar
- United Arab Emirates
- Yemen.
Kwa sheria hizi inakuwa ngumu kubadili dini maana ukibadili dini hadharani hutaweza hata kuitumikia, Hivyo mbinu rahisi huwa ni kuhama nchi au kuabudu kwa siri, Mfano ukienda nchi kama za Ulaya utawakuta waarabu wakristo waliouhama uislam
View attachment 2945282
Ni ajira rasmi na kuna watu maalum wanalipwa na serikali kutoa hukumu kwa wanaobadili dini
View attachment 2945284
naona waze wa makobazi walivyo charuka
🤣🤣🤣🤣nimekasirika sana uzi kama huu nilitegemea umtag mgalatia Maghayo unaanza kufeli.
Watu wengi tunafatilia utani wenu😂
Kama hapunguzi wala kuongeza mbona umeachia futari kuja kumjibu kaka???Hivi ww jamaa hunaga kazi nyingine zaidi ya kushinda humu una piga poroja dhidi ya Uislam ambao huwezi kuufanya wala kuupunguzia chochote?
Ukiona dini inataka sana msihame kuna shida….MUHIMU: Kama kuna nchi katika hii orodha haiui wanaobadili dini naombeni tuelimishane nifanye marekebisho
Kosa la kuhama dini katika nchi hizi linaitwa APOSTASY, Hukumu ni KIFO
Wanaobadili dini wengi wao huchukua maamuzi hayo pindi wakiwa watu wazima wenye utimamu baada ya kuzichambua dini zingine, dini zao za mwanzoni huziona walichaguliwa na wazazi / walezi wao wakiwa hawajitambui.
Ila sio kila sehem uhuru huu upo, katika nchi hizi ukiwa muislam ni kosa kubadili dini, ukijaribu UTAUWAWA !!
- Afghanistan
- Saudi Arabia
- Brunei / Darussalam
- Iran
- Malaysia
- Maldives
- Mauritania
- Qatar
- United Arab Emirates
- Yemen.
Kwa sheria hizi inakuwa ngumu kubadili dini maana ukibadili dini hadharani hutaweza hata kuitumikia, Hivyo mbinu rahisi huwa ni kuhama nchi au kuabudu kwa siri, Mfano ukienda nchi kama za Ulaya utawakuta waarabu wakristo waliouhama uislam
View attachment 2945282
Ni ajira rasmi na kuna watu maalum wanalipwa na serikali kutoa hukumu kwa wanaobadili dini
View attachment 2945284
huyu jamaa ni nani mbona anatrendi hivo