Ole wao wale wanaotumia nafasi zao za umma na Serikali kuiba, kuhujumu uchumi na kupokea rushwa, maana salama yao ni kudra za Mwenyezi Mungu

Ole wao wale wanaotumia nafasi zao za umma na Serikali kuiba, kuhujumu uchumi na kupokea rushwa, maana salama yao ni kudra za Mwenyezi Mungu

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
"Ole Wao Wale Wanaotumia Nafasi Zao Za Umma Na Serikali Kuiba , Kuhujumu Uchumi Na Kupokea Rushwa ' Maana Salama Yao Ni kudra Za Mwenyezi Mungu , Labda Nisiwajue "

Hayo yalikuwa ni maneno ya mwamba Edward Moringe Sokoine.

Na mimi haya ndio maneno yangu ya mwisho hapa JamiiForums maana leo ndio mwisho wakuniona hapa jukwaani.

"Nasema Ole Ole Ole Wao Wale Wanaotumia Nafasi Zao Za Umma Na Serikali Kuiba, Kuhujumu Uchumi Na Kupokea Rushwa ' Maana Salama Yao Ni kudra Za Mwenyezi Mungu"

Screenshot_20210413_104132.jpg
 
Jiwe aliyekuwa akiiba kila siku. Anamtuma Bashite akamchotee maburu ngutu store habari yake kwishnei
 
Back
Top Bottom