Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Mkata mikia mashuhuri[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2172549View attachment 2172550View attachment 2172551
Heeee nicheke saiv au baadae[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkata mikia mashuhuri[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2172549View attachment 2172550View attachment 2172551
Hahahaha ana vits mbovu bwana Bashiru ally kakurwaMmoja yuko shule anajiandaa kwenda malawi na mwingine namwonaga maenea ya ubungo msewe na vits yake mbovu mbovu kila siku kutuazima wire wa kubustia betri
Nchi hii ukiwa chama kile unaweza kuwa na mkia mfupi, lakini kamba ndefu.Sijakuelewa vizuri mtoa mada, unamaanisha kwamba Membe na Kinana wana mikia kama ya mifupi kama ya mbuzi?
Huyu jamaa asipochukuliwa hatua nitashangaa.
Mdomo mpana umemponza.
Usitukane mamba ingali bado hujavuka mto.
Toka lini mamluki akawa mpiganaji wa jeshi la taifa husika kwa utaifa wakati kakodishwa? Uteuzi wake ndo hizo zilikuwa tactical blunder za aMagufuli kwa roho mbaya zake. Sasa wenye chama chao unaona wanakirudisha kwenye mstari. Tegemea kilio kwa wabunge wengi wa Magufuli kwa vimemo vya kupita bila kupingwa.Alikuwa katibu mkuu wa chama gani??
Swali langu umelielewa??Toka lini mamluki akawa mpiganaji wa jeshi la taifa husika kwa utaifa wakati kakodishwa? Uteuzi wake ndo hizo zilikuwa tactical blunder za aMagufuli kwa roho mbaya zake. Sasa wenye chama chao unaona wanakirudisha kwenye mstari. Tegemea kilio kwa wabunge wengi wa Magufuli kwa vimemo vya kupita bila kupingwa.
Yan tofauti na Magufutu, sasa hivi you get killed softlyNiwakumbushe wale wote waliohusika kukata mkia wa Bernad Membe na Abdalahmani Kinana.Inaoneka mikia imeshaanaza kuota upya.Itakumbukwa kwamba Ndugu Membe aliwahi kukili kuwa AMEKATWA MKIA
Sasa wajiandae wao.labda zamu yao itakuwa kukatwa vichwa kabisa.Ila Mungu atwaepusha visasi.
"BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.Yeremia 17:5"