Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Ole wenu mnaopanga kuvuruga Msiba wa Rais Benjamin W. Mkapa, Kesho Kichapo hadi mtachakaa

Wewe nguruwe wa Lumumba si umeuona mziki wa leo? View attachment 1518514
Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo


Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?
IMG-20200727-WA0001.jpg
 
Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo


Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?View attachment 1518871
Kama unafikiria utajua kuwa :-
Kura zinapigwa nchi nzima siyo na wapokeaji pekee,, lakini kushangaa uwingi wa watu walioenda uwanjani yakupasa ukumbuke kuwa mkwara wa polisi umesaidia sana.(na huu mkwara umesaidia pia usalam) kwa kupunguza tena kwa kiasi kikubwa idadi ya wapokeaji.
Kama unafikiria utajua lakini ukiacha kufikiria ni vice versa.
 
Leo tunapata somo kubwa ya tulichochuma kwenye kubomoa Umoja wa Kitaifa
Ukitazama Mwamko wa wananchi kwenye Huu msiba unagundua kuuwa tumegawanya Taifa
Wananchi wanaona kama hauwahusu
Tunaomba RAIS ajifunze kwenye hili ; tunajua atashinda Lakini ajirekebishe
Nani kakwambia magufuli anashinda mwaka huu???

Liwake jua inyeshe mvua Tundu Lissu anaenda kumgaragaza vibaya magufuli hapo October mwaka huu. Watu wengi hawataamini ila huu ndo ukweli
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Inasikitisha sana
 
Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo


Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?View attachment 1518871
Mnavyowaita Chadema nyumbu unafikiri wanafurahia? Jina hilo la maudhi nimewalalamiakia mods nao wameuchuna hivyo na sisi kuwaita CCM nguruwe ni sawa tu.
 
Tukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.

Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.

Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.

Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
Acha ushamba jombaa, mambo gani ya kutishana
 
Tukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.

Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.

Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.

Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote

itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
aa
pum....vu
 
Mikwala ya kunguru wewe mbuzi
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi


Jikaze [emoji4][emoji4]

Imeandikwa:

“ mwambieni Mungu matendo yako yatisha kama nini “

[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Inauma sana najua ulitamani iwe hivyo lakini kwa sasa dar es salaam RC aliyepo uelewa wake ni mkubwa sana zaidi ya yule bashite,Amani ilidumishwa kwa 100% na polisi walikuwepo kuisimamia,hakuna hata mmoja aliye vunjika kidole seuze miguu.....lakini pia wao walikuwa wanampokea mpendwa wao aliye nusurika kifo(mwenyezi mungu endekea kumlinda) na nyie mlikuwa mnaomboleza mpendwa wenu aliyekatishwa uai wake na izraeli(mwenyezi mungu mpokee katika ufalme wako)
 
Lissu ameingia Tz,Mkapa ni R.i.p,Bashite hana cheo cha ukuu wa mkoa,Membe karudisha kadi ya CCM na kujiunga na Upinzani ! hapa ni moto chini
Kwa hatua waliyofikia watanzania hamuwezi fanya lolote. Mlifanya makosa sana kumpiga risasi mkifikiri mmemmaliza. Haya ndo matokeo ya kutumia nguvu badala ya akili.

Pambaneni na Lissu mliyemjenga wenyewe. Na si utani huyu mtu anapendwa kweli
 
We mbona umeshindwa kumchakaza mke wako....?
 
Tukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.

Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.

Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.

Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
Marehemu aliitaga huu upumbav
 
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa

Sipendi upuuzi mimi
Wewe si mwalimu wa shule ya msingi wewe?
 
Back
Top Bottom