digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyoWewe nguruwe wa Lumumba si umeuona mziki wa leo? View attachment 1518514
Kama unafikiria utajua kuwa :-Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo
Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?View attachment 1518871
Nani kakwambia magufuli anashinda mwaka huu???Leo tunapata somo kubwa ya tulichochuma kwenye kubomoa Umoja wa Kitaifa
Ukitazama Mwamko wa wananchi kwenye Huu msiba unagundua kuuwa tumegawanya Taifa
Wananchi wanaona kama hauwahusu
Tunaomba RAIS ajifunze kwenye hili ; tunajua atashinda Lakini ajirekebishe
Inasikitisha sanaNatamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Huyo amesokota msuba kwenye magazeti.Inasikitisha sana
Mnavyowaita Chadema nyumbu unafikiri wanafurahia? Jina hilo la maudhi nimewalalamiakia mods nao wameuchuna hivyo na sisi kuwaita CCM nguruwe ni sawa tu.Mkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo
Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?View attachment 1518871
Acha ushamba jombaa, mambo gani ya kutishanaTukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.
Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.
Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.
Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
pum....vuTukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.
Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.
Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.
Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote
itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
aa
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Kwa hatua waliyofikia watanzania hamuwezi fanya lolote. Mlifanya makosa sana kumpiga risasi mkifikiri mmemmaliza. Haya ndo matokeo ya kutumia nguvu badala ya akili.
Pambaneni na Lissu mliyemjenga wenyewe. Na si utani huyu mtu anapendwa kweli
Marehemu aliitaga huu upumbavTukiwa katika Majonzi kuna watu wanataka kuvuruga msiba kwa lengo la Kutafuta umaarufu wa Kiasiasa msibani si mahali pake naomba Wakuu wa Vituo vya Staki Shari, Buguruni na Tazara msimamie hili hatuko tayari kuona mambo ya Kihuni yakijitokeza katika Taifa letu lenye tunu ya amani.
Kwa Vijana mliohamasishwa napenda kuwakumbusha wenzenu watakua kwenye V8 zao nyinyi mtakua mnachezea kipigo cha mbwa koko.
Fikiria wazazi wako Fikiria Familia yako kwa Kufanya mambo yasiyo na tija kwako na kwa familia yako kwa kujipatia majeraha kadha wa Kadha kwa kutotii sauti halali ya Mamlaka.
Vijana tuungane pamoja vitendo vya kihuni na Vurugu Tanzania si mahali pake. Nabariki njia yeyote itakayotumika kuwadhibiti wahuni wataojaribu kuharibu utulivu tulionao.
Wewe si mwalimu wa shule ya msingi wewe?Natamani kubadili kituo cha kazi ili kuja kuwapa funzo hao wahuni wa CHADEMA, eti karibu nyumbani lissu,huu ni upuuzi,vunja miguu wahuni wote pamoja na mhuni wao mkubwa
Sipendi upuuzi mimi
Unataka wakombe kenya?Chadema kwa kuomba huruma kwa watanzania hawajambo
Unasemaje lakini mataga leo sijui mmechanganyikiwa hujaona nyomi sioMkuu nakuheshimu sana sijawahi kukukisea heshima,mbona wewe hivyo
Turudi kwenye topic
Mbona naona waliojitokeza hata elfu moja hawafiki mkuu,hao ndo watamweka mwamba lissu madarakani?View attachment 1518871