Ole wenu Simba, asema ole wenu. Kama mmemteka huyu mchezaji tutalaumiana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nasema hivi, haya maneno kuwa mmemteka Larry Bwalya kama ni kweli ntawafanyia jambo baya sana Simba. Baya sana. Kweli nawaambia ntawafanyia jambo ambalo babu yangu aliwafanyia waliomuibia ng'ombe wake mwwka 1984..

Muombee ziwe tetesi tu hivyo hivyo.tutaonana wabaya. Nyie si mna wachezaji wazuri?kwa nini muhangaike na wachezaji tunaopoint sisi? Huo ushenzi sisi hatutaki. Na safari hii tutafikishana mbali wallah nawaambia.

Mmeshatuumiza kwa yule dogo mwendawazimu BM. Mmetuumiza sana.Siyo kidogo hatutaki tena uhuni.

GSM tumwangalie sana Senzo. Mimi simwamini anaweza akawa ametumwa.

H#$&@$-$+@&#$_+@*;"!_$(_'!$)_+";":$+___!'_+$&#)$'!":#-#($_;#($-$@:+);:🀬🀬🀬🀬🀬😑😑😑😑😑😀😀😠😠😠😠😠😠😠😑😑😑😑😠😠😠😑😑🀬🀬🀬🀬😑😑😠😠😠😬😬😬😬😑😑😑😠😠😑😑🀬🀬
 
aliyetekwa sio Walter Bwalya ni Larry Bwalya na saa 11 leo atatangazwa rasmi

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
 
Natabiri hizi timu hazitaishia kwenye utani wa jadi Bali baadaye itakuwa ni uadui mkubwa sana, mpaka kufikia hatua mbaya sana , kama kuna mwenye namna ajaribu kurudisha mambo sawa.
Hawa wahindi ndo wanaharibu soka.
 
Mkongomani Chriss Mugalu na Mzambia Larry Bwalya tayari wametua
 
Nyinyi ndio makuwadi wetu, hela huna halafu unataka mademu wazuri. Mishahara mpaka mpitishe bakuli, mchezaji gani wa kimataifa atakaa hapo?
 

Tafuta vidonge vya presha kabisa mkuu
 
Oi chizi maarifa where are you my G! ..hahahaha Senzo ni double agent huyo. Mtapata tabu sana huu mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…