Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nasema hivi, haya maneno kuwa mmemteka Larry Bwalya kama ni kweli ntawafanyia jambo baya sana Simba. Baya sana. Kweli nawaambia ntawafanyia jambo ambalo babu yangu aliwafanyia waliomuibia ng'ombe wake mwwka 1984..
Muombee ziwe tetesi tu hivyo hivyo.tutaonana wabaya. Nyie si mna wachezaji wazuri?kwa nini muhangaike na wachezaji tunaopoint sisi? Huo ushenzi sisi hatutaki. Na safari hii tutafikishana mbali wallah nawaambia.
Mmeshatuumiza kwa yule dogo mwendawazimu BM. Mmetuumiza sana.Siyo kidogo hatutaki tena uhuni.
GSM tumwangalie sana Senzo. Mimi simwamini anaweza akawa ametumwa.
H#$&@$-$+@&#$_+@*;"!_$(_'!$)_+";":$+___!'_+$&#)$'!":#-#($_;#($-$@:+);:π€¬π€¬π€¬π€¬π€¬π‘π‘π‘π‘π‘π€π€π π π π π π π π‘π‘π‘π‘π π π π‘π‘π€¬π€¬π€¬π€¬π‘π‘π π π π¬π¬π¬π¬π‘π‘π‘π π π‘π‘π€¬π€¬
Muombee ziwe tetesi tu hivyo hivyo.tutaonana wabaya. Nyie si mna wachezaji wazuri?kwa nini muhangaike na wachezaji tunaopoint sisi? Huo ushenzi sisi hatutaki. Na safari hii tutafikishana mbali wallah nawaambia.
Mmeshatuumiza kwa yule dogo mwendawazimu BM. Mmetuumiza sana.Siyo kidogo hatutaki tena uhuni.
GSM tumwangalie sana Senzo. Mimi simwamini anaweza akawa ametumwa.
H#$&@$-$+@&#$_+@*;"!_$(_'!$)_+";":$+___!'_+$&#)$'!":#-#($_;#($-$@:+);:π€¬π€¬π€¬π€¬π€¬π‘π‘π‘π‘π‘π€π€π π π π π π π π‘π‘π‘π‘π π π π‘π‘π€¬π€¬π€¬π€¬π‘π‘π π π π¬π¬π¬π¬π‘π‘π‘π π π‘π‘π€¬π€¬