Na JK akifanikiwa kuingia madarakani kwa kuiba kura hawa wazee wajiandae kwa visasi.
Manake moja kati ya sifa za uyu Mkuu ni kulimbikiza visasi kama vipolo
Nimekugongea Mkurugenzi..Asante Mkuu! Hebu basi gonga hapo 'senks' ili mtaji wangu wa senks uongezeke! Pia nawe Expedito na Abdulhalim! :whoo: