informer 06
Member
- May 11, 2024
- 66
- 49
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), amesema kuwa kwa sasa mashirika mengi yanayotetea haki za binadamu yanapitia changamoto ya ukosefu wa rasilimali fedha jambo ambalo linaweza kuongeza vikwazo kwao kwenye jitihada za utetezi.
"π¬πΊπππππππΊ ππΎπππ ππΊ πππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππΊππΎππππΊ ππΊπππΏπΊπππΊ ππΊππ ππΊ πππΎππΎππ ππ πππΊπ π ππΊππππΊ ππΊ πΌππΊπππΊππππ ππΊ πππππππΏπ ππΊ ππΊπππ πππΊπ π πΏπΎπ½ππΊ πππΊ πππΊππ πππππ»ππΊ".
Ameyasema hayo June 10, 2024 wakati akiweka wazi kamati maluum iliyoanzishwa kwa lengo la kuhamasisha upatikanaji wa rasilimali za ndani ili kuimarisha utetezi na ulinzi wa haki za binadamu hapa nchini.
Ambapo Olengurumwa amesema "πͺππΊ ππΊππΊ ππΊππππ»πΊππ πΊπππ ππππΊ π«π’ ππΊ ππππhππ π ππΊ πππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππΊππΊ ππΌππππ ππππΊππΎππΎππΎπΊ ππΏπΊπ½πππ π ππππππΊ πππΎ ππΊ ππΎππΎππ ππ ππππ»πΊππ ππππΊππΎππΎππΎπΊ ππΊππ πππππππ πΎπΊ πΊπππ ππππΊ
Kamati hiyo ambayo inaundwa na wakurugenzi 26 wa taasisi zinazotetea haki za binadamu imeelezwa kuwa itatekeleza majukumu mbalimbali ya kufanikisha upatikanaji wa rasilimali kutoka kwa wadau hususani makampuni na wafanyabiashara.
"πͺπΊππΊππ ππππ πππΊπππππππΊ ππΊ ππππππππ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π,πΊππ»πΊππ ππππΊ ππΊ ππππππ π πΊππΎ πππΊππππΊ ππ ππππππΊππΊ ππΊ ππΊπΏπΊπππΊπ»ππΊπππΊ ππππΊππΊππΊπππππΊ ππΊ ππππΊππΊ πΎπ πππ ππΊπππΊ π»πππΊ ππΊ πππππππππ ππΊππππΊ πππΏπΊπππππππΊ πππΊππππΊππΊππ ππΊ ππΊπππ πππΊπ π ππππΊππΊππππΊππ½ππΊ ππΊππΎππΎππ." amesema Olengurumwa
Aidha ameeleza msukumo wa kuja na Kamati hiyo "π¬πππΊ ππΊ ππΊππππππ ππΊ ππππππ ππΊ πππΊππ½πΊπ ππΎππ (π³π§π±π£π’) πΊππ»πΊπ πππΊ ππΊππΊπΌππΊππΊ ππΊππ½π ππΊ π₯π’π’ ππΌππππ ππ ππππΊπππππππΊ ππΊππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππΌππππ π³πΊπππΊπππΊ ππΊππΊππππΊ ππΊ πππΎππ ππΊ πππΏπΎπ½ππΊ ππ
π πππΏπΊπππΊ ππΊππ πππΊ ππΏπΊππππ ππΊππ½π πππππππ
π ππΊ πππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ"
Amesema nchini bado hakuna utaratibu ambao umekuwa ukitoa fursa ya moja kwa moja kwa wafanyabiashara na makampuni mbalimbali kushiriki kutoa rasilimali ambazo zinalenga kutumika kwenye jitihada za utetezi wa haki za binadamu katika nyanja mbalimbali.
Amedai kuwa uchambuzi wao unaonesha kuwa jambo hilo limekuwa likishindwa kufanyika kutokana uππππΎπΏπ ππΊ miongozo elekezi, πππΎπ πΎππΊ katika masuala ya haki za binadamu kwa wadau.
Amesema kuwa rasilimali za ndani ni muhimu kuzingatiwa kutokana na alichodai kwamba ufadhili wa kimataifa kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukijielekeza kwenye maeneo ya kivita na kibiashara
"π¬ππΎπ πΎππΎπ ππΊ ππΏπΊπ½πππ π ππΊ ππππΊππΊππΏπΊ πππΊπππΎπππΊ ππππΊ ππΊπ»πΊπ½ππ πππ ππΊππππΊ ππππΊπππ»πΎπ πΎ πππΊ ππΊπΏπΊπ½πππ π ππ»πΊπ πππ»πΊπ π ππΊ ππππΊπ½π ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππππππΊ ππΌππ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π"amesema Olengurumwa
Amedai kuwa πππΏππΊπππΊ ππΊπ π ππππ πΎππΎπ π πΊ ππΊππ ππΊ π»πππ½πΊππ π πππ ππΊππΊππππ ππΊππ½π ππππππΊ πΏπΎπ½ππΊ πππΎπππΎ ππππ ππΊ ππ»πΎπ πΎππ ππππππΊ πππΊ ππΊπΏπ½ππππ ππΊ πππΎ πΊππ»πΊπ ππΊππΎππππΊ ππΎππΎππΎπ πΎππ½πΊππ ππππππΊπ½πΊ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π ππΊπππππΏπΊπππππΊ
πͺπΊππΊππ ππππ imetajwa kuwa kati ya majukumu itakayokuwa nayo ni kuππΊππ½ππΊ ππππΊπππ»π ππΌππΊππΊππ ππΊ ππππΊππΊ πΏπΎπ½ππΊ ππππ kwa kutoa elimu kwa walengwa, kupitia mikutano na semina pamoja na kubuni mbinu mbalimbali kulingana na miongozo zitakazowaleta wadau karibu kufanikisha suala hilo.
Kufuatia mkakati huo jumuiya za sekta binafsi nchini zimeombwa kuitikia wito kwa kuunga mkono mkakati huo ambao wameumetaja kuwa utaenda kuongeza uwajibikaji kwenye jukumu la utetezi, mfano utetezi wa haki za watoto, makundi ya watu wenye ulemavu, Wanawake, mazingira...
"π¬πΊπππππππΊ ππΎπππ ππΊ πππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππΊππΎππππΊ ππΊπππΏπΊπππΊ ππΊππ ππΊ πππΎππΎππ ππ πππΊπ π ππΊππππΊ ππΊ πΌππΊπππΊππππ ππΊ πππππππΏπ ππΊ ππΊπππ πππΊπ π πΏπΎπ½ππΊ πππΊ πππΊππ πππππ»ππΊ".
Ambapo Olengurumwa amesema "πͺππΊ ππΊππΊ ππΊππππ»πΊππ πΊπππ ππππΊ π«π’ ππΊ ππππhππ π ππΊ πππΎππΎππ ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππΊππΊ ππΌππππ ππππΊππΎππΎππΎπΊ ππΏπΊπ½πππ π ππππππΊ πππΎ ππΊ ππΎππΎππ ππ ππππ»πΊππ ππππΊππΎππΎππΎπΊ ππΊππ πππππππ πΎπΊ πΊπππ ππππΊ
Kamati hiyo ambayo inaundwa na wakurugenzi 26 wa taasisi zinazotetea haki za binadamu imeelezwa kuwa itatekeleza majukumu mbalimbali ya kufanikisha upatikanaji wa rasilimali kutoka kwa wadau hususani makampuni na wafanyabiashara.
"πͺπΊππΊππ ππππ πππΊπππππππΊ ππΊ ππππππππ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π,πΊππ»πΊππ ππππΊ ππΊ ππππππ π πΊππΎ πππΊππππΊ ππ ππππππΊππΊ ππΊ ππΊπΏπΊπππΊπ»ππΊπππΊ ππππΊππΊππΊπππππΊ ππΊ ππππΊππΊ πΎπ πππ ππΊπππΊ π»πππΊ ππΊ πππππππππ ππΊππππΊ πππΏπΊπππππππΊ πππΊππππΊππΊππ ππΊ ππΊπππ πππΊπ π ππππΊππΊππππΊππ½ππΊ ππΊππΎππΎππ." amesema Olengurumwa
Amesema nchini bado hakuna utaratibu ambao umekuwa ukitoa fursa ya moja kwa moja kwa wafanyabiashara na makampuni mbalimbali kushiriki kutoa rasilimali ambazo zinalenga kutumika kwenye jitihada za utetezi wa haki za binadamu katika nyanja mbalimbali.
Amedai kuwa uchambuzi wao unaonesha kuwa jambo hilo limekuwa likishindwa kufanyika kutokana uππππΎπΏπ ππΊ miongozo elekezi, πππΎπ πΎππΊ katika masuala ya haki za binadamu kwa wadau.
Amesema kuwa rasilimali za ndani ni muhimu kuzingatiwa kutokana na alichodai kwamba ufadhili wa kimataifa kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukijielekeza kwenye maeneo ya kivita na kibiashara
"π¬ππΎπ πΎππΎπ ππΊ ππΏπΊπ½πππ π ππΊ ππππΊππΊππΏπΊ πππΊπππΎπππΊ ππππΊ ππΊπ»πΊπ½ππ πππ ππΊππππΊ ππππΊπππ»πΎπ πΎ πππΊ ππΊπΏπΊπ½πππ π ππ»πΊπ πππ»πΊπ π ππΊ ππππΊπ½π ππΊ ππΊππ ππΊ π»πππΊπ½πΊππ ππππππΊ ππΌππ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π"amesema Olengurumwa
Amedai kuwa πππΏππΊπππΊ ππΊπ π ππππ πΎππΎπ π πΊ ππΊππ ππΊ π»πππ½πΊππ π πππ ππΊππΊππππ ππΊππ½π ππππππΊ πΏπΎπ½ππΊ πππΎπππΎ ππππ ππΊ ππ»πΎπ πΎππ ππππππΊ πππΊ ππΊπΏπ½ππππ ππΊ πππΎ πΊππ»πΊπ ππΊππΎππππΊ ππΎππΎππΎπ πΎππ½πΊππ ππππππΊπ½πΊ ππ»πΊπ πππ»πΊπ π ππΊπππππΏπΊπππππΊ
πͺπΊππΊππ ππππ imetajwa kuwa kati ya majukumu itakayokuwa nayo ni kuππΊππ½ππΊ ππππΊπππ»π ππΌππΊππΊππ ππΊ ππππΊππΊ πΏπΎπ½ππΊ ππππ kwa kutoa elimu kwa walengwa, kupitia mikutano na semina pamoja na kubuni mbinu mbalimbali kulingana na miongozo zitakazowaleta wadau karibu kufanikisha suala hilo.