Olengurumwa: Asilimia 90 ya shughuli za utetezi wa haki za binadamu hapa nchini zinategemea ufadhili

Olengurumwa: Asilimia 90 ya shughuli za utetezi wa haki za binadamu hapa nchini zinategemea ufadhili

informer 06

Member
Joined
May 11, 2024
Posts
66
Reaction score
49
Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), amesema kuwa kwa sasa mashirika mengi yanayotetea haki za binadamu yanapitia changamoto ya ukosefu wa rasilimali fedha jambo ambalo linaweza kuongeza vikwazo kwao kwenye jitihada za utetezi.

"π–¬π–Ίπ—Œπ—π—‚π—‹π—‚π—„π–Ί 𝗆𝖾𝗇𝗀𝗂 𝗒𝖺 π—Žπ—π–Ύπ—π–Ύπ—“π—‚ 𝗐𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–Ίπ–½π–Ίπ—†π—Ž π—’π–Ίπ—†π–Ύπ—„π—Žπ—π–Ί 𝗒𝖺𝗄𝗂𝖿𝖺𝗇𝗒𝖺 𝗄𝖺𝗓𝗂 𝗒𝖺 π—Žπ—π–Ύπ—π–Ύπ—“π—‚ 𝗂𝗅𝗂𝗁𝖺𝗅𝗂 𝗒𝖺𝗄𝗂𝗐𝖺 𝗇𝖺 π–Όπ—π–Ίπ—‡π—€π–Ίπ—†π—ˆπ—π—ˆ 𝗇𝖺 π—Žπ—‰π—Žπ—‡π—€π—Žπ–Ώπ—Ž 𝗐𝖺 π—‹π–Ίπ—Œπ—‚π—…π—‚π—†π–Ίπ—…π—‚ 𝖿𝖾𝖽𝗁𝖺 𝗄𝗐𝖺 π—„π—‚π–Ίπ—Œπ—‚ π—„π—‚π—„π—Žπ–»π—π–Ί".

IMG_3653.jpeg
Ameyasema hayo June 10, 2024 wakati akiweka wazi kamati maluum iliyoanzishwa kwa lengo la kuhamasisha upatikanaji wa rasilimali za ndani ili kuimarisha utetezi na ulinzi wa haki za binadamu hapa nchini.

Ambapo Olengurumwa amesema "π–ͺ𝗐𝖺 π—Œπ–Ίπ—Œπ–Ί 𝗍𝖺𝗄𝗋𝗂𝖻𝖺𝗇𝗂 π–Ίπ—Œπ—‚π—…π—‚π—†π—‚π–Ί 𝟫𝟒 𝗒𝖺 π—Œπ—π—Žπ—€hπ—Žπ—…π—‚ 𝗓𝖺 π—Žπ—π–Ύπ—π–Ύπ—“π—‚ 𝗐𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–Ίπ–½π–Ίπ—†π—Ž 𝗁𝖺𝗉𝖺 𝗇𝖼𝗁𝗂𝗇𝗂 𝗓𝗂𝗇𝖺𝗍𝖾𝗀𝖾𝗆𝖾𝖺 π—Žπ–Ώπ–Ίπ–½π—π—‚π—…π—‚ π—„π—Žπ—π—ˆπ—„π–Ί 𝗇𝗃𝖾 𝗇𝖺 π—Œπ–Ύπ—π–Ύπ—†π—Ž π—‚π—…π—‚π—’π—ˆπ–»π–Ίπ—„π—‚ 𝗓𝗂𝗇𝖺𝗍𝖾𝗀𝖾𝗆𝖾𝖺 π—π–Ίπ—π—Ž π—„π—Žπ—ƒπ—‚π—π—ˆπ—…π–Ύπ–Ί π–Ίπ—Œπ—‚π—…π—‚π—†π—‚π–Ί

Kamati hiyo ambayo inaundwa na wakurugenzi 26 wa taasisi zinazotetea haki za binadamu imeelezwa kuwa itatekeleza majukumu mbalimbali ya kufanikisha upatikanaji wa rasilimali kutoka kwa wadau hususani makampuni na wafanyabiashara.

"π–ͺ𝖺𝗆𝖺𝗍𝗂 π—π—‚π—’π—ˆ π—‚π—π–Ίπ—ˆπ—‡π—€π—ˆπ—“π—π–Ί 𝗇𝖺 π—†π—‚π—ˆπ—‡π—€π—ˆπ—“π—ˆ 𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂,π–Ίπ—†π–»π–Ίπ—’π—ˆ π—†π—ˆπ—ƒπ–Ί 𝗒𝖺 π—ƒπ—Žπ—„π—Žπ—†π—Ž 𝗅𝖺𝗄𝖾 π—‚π—π–Ίπ—„π—Žπ—π–Ί 𝗇𝗂 π—„π—Žπ—„π—Žπ—π–Ίπ—‡π–Ί 𝗇𝖺 π—π–Ίπ–Ώπ–Ίπ—‡π—’π–Ίπ–»π—‚π–Ίπ—Œπ—π–Ί π—„π—Žπ—π–Ίπ—π–Ίπ—†π–Ίπ—Œπ—‚π—Œπ—π–Ί 𝗇𝖺 π—„π—Žπ—π–Ίπ—‰π–Ί π–Ύπ—…π—‚π—†π—Ž 𝗇𝖺𝗆𝗇𝖺 π–»π—ˆπ—‹π–Ί 𝗒𝖺 π—„π—Žπ—Œπ—π—‚π—‹π—‚π—„π—‚ 𝗄𝖺𝗍𝗂𝗄𝖺 π—„π—Žπ–Ώπ–Ίπ—‡π—‚π—„π—‚π—Œπ—π–Ί π—Žπ—‰π–Ίπ—π—‚π—„π–Ίπ—‡π–Ίπ—ƒπ—‚ 𝗐𝖺 π—‹π–Ίπ—Œπ—‚π—…π—‚π—†π–Ίπ—…π—‚ π—“π—‚π—π–Ίπ—„π–Ίπ—“π—ˆπ—Œπ–Ίπ—‚π–½π—‚π–Ί 𝗐𝖺𝗍𝖾𝗍𝖾𝗓𝗂." amesema Olengurumwa
IMG_3654.jpeg
Aidha ameeleza msukumo wa kuja na Kamati hiyo "π–¬π—ˆπ—ƒπ–Ί 𝗒𝖺 π—†π–Ίπ—ƒπ—Žπ—„π—Žπ—†π—Ž 𝗒𝖺 π—†π—Œπ—‚π—‡π—€π—‚ 𝗒𝖺 π—†π—π–Ίπ—‡π–½π–Ίπ—ˆ π—π–Ύπ—π—Ž (𝖳𝖧𝖱𝖣𝖒) π–Ίπ—†π–»π–Ίπ—ˆ π—Žπ—‡π–Ί 𝗐𝖺𝗇𝖺𝖼𝗁𝖺𝗆𝖺 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂 𝗒𝖺 πŸ₯𝟒𝟒 𝗇𝖼𝗁𝗂𝗇𝗂 𝗇𝗂 π—„π—Žπ—π–Ίπ—„π—‚π—„π—‚π—Œπ—π–Ί 𝗐𝖺𝗍𝖾𝗍𝖾𝗓𝗂 𝗐𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–Ίπ–½π–Ίπ—†π—Ž 𝗇𝖼𝗁𝗂𝗇𝗂 𝖳𝖺𝗇𝗓𝖺𝗇𝗂𝖺 π—π–Ίπ—‡π–Ίπ—„π—Žπ—π–Ί 𝗇𝖺 π—Žπ—π–Ύπ—“π—ˆ 𝗐𝖺 𝗄𝗂𝖿𝖾𝖽𝗁𝖺 𝗂𝗅𝗂 π—„π—Žπ–Ώπ–Ίπ—‡π—’π–Ί 𝗄𝖺𝗓𝗂 𝗄𝗐𝖺 π—Žπ–Ώπ–Ίπ—‡π—‚π—Œπ—‚ 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂 π—Œπ—π—Žπ—€π—π—Žπ—…π—‚ 𝗓𝖺 π—Žπ—π–Ύπ—π–Ύπ—“π—‚ 𝗐𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–Ίπ–½π–Ίπ—†π—Ž"

Amesema nchini bado hakuna utaratibu ambao umekuwa ukitoa fursa ya moja kwa moja kwa wafanyabiashara na makampuni mbalimbali kushiriki kutoa rasilimali ambazo zinalenga kutumika kwenye jitihada za utetezi wa haki za binadamu katika nyanja mbalimbali.

Amedai kuwa uchambuzi wao unaonesha kuwa jambo hilo limekuwa likishindwa kufanyika kutokana uπ—„π—ˆπ—Œπ–Ύπ–Ώπ—Ž 𝗐𝖺 miongozo elekezi, π—Žπ—π–Ύπ—…π–Ύπ—π–Ί katika masuala ya haki za binadamu kwa wadau.

Amesema kuwa rasilimali za ndani ni muhimu kuzingatiwa kutokana na alichodai kwamba ufadhili wa kimataifa kwa siku za hivi karibuni umekuwa ukijielekeza kwenye maeneo ya kivita na kibiashara

"π–¬π—π–Ύπ—…π–Ύπ—„π–Ύπ—ˆ 𝗐𝖺 π—Žπ–Ώπ–Ίπ–½π—π—‚π—…π—‚ 𝗐𝖺 𝗄𝗂𝗆𝖺𝗍𝖺𝗂𝖿𝖺 π—Žπ—‡π–Ίπ—ˆπ—‡π–Ύπ—Œπ—π–Ί π—„π—Žπ—‡π–Ί π—†π–Ίπ–»π–Ίπ–½π—‚π—…π—‚π—„π—ˆ 𝗄𝖺𝗍𝗂𝗄𝖺 π—π—‚π—‰π–Ίπ—Žπ—†π–»π–Ύπ—…π–Ύ 𝗏𝗒𝖺 𝗐𝖺𝖿𝖺𝖽𝗁𝗂𝗅𝗂 𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂 𝗇𝖺 𝗆𝗂𝗋𝖺𝖽𝗂 𝗒𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–Ίπ–½π–Ίπ—†π—Ž π—„π—Žπ—π—ˆπ—„π–Ί 𝖭𝖼𝗁𝗂 𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂"amesema Olengurumwa

Amedai kuwa π—„π—Žπ–Ώπ—Žπ–Ίπ—π—‚π–Ί 𝗁𝖺𝗅𝗂 π—π—‚π—’π—ˆ π–Ύπ—‡π–Ύπ—ˆ 𝗅𝖺 𝗁𝖺𝗄𝗂 𝗓𝖺 π–»π—‚π—‡π–½π–Ίπ—†π—Ž π—…π—‚π—‰π—ˆ 𝗁𝖺𝗍𝖺𝗋𝗂𝗇𝗂 𝗓𝖺𝗂𝖽𝗂 π—„π—Žπ—„π—ˆπ—Œπ–Ί 𝖿𝖾𝖽𝗁𝖺 𝗄𝗐𝖾𝗇𝗒𝖾 π—Œπ—‚π—„π—Ž 𝗓𝖺 𝗆𝖻𝖾𝗅𝖾𝗇𝗂 π—„π—Žπ—π—ˆπ—„π–Ί 𝗄𝗐𝖺 𝗐𝖺𝖿𝖽𝗁𝗂𝗋𝗂 𝗐𝖺 𝗇𝗃𝖾 π–Ίπ—†π–»π–Ίπ—ˆ π—π–Ίπ—†π–Ύπ—„π—Žπ—π–Ί π—π–Ύπ—€π–Ύπ—†π–Ύπ—ˆ π–Ύπ—‡π–½π–Ίπ—‰π—ˆ 𝗃𝗂𝗍𝗂𝗁𝖺𝖽𝖺 𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂𝗆𝖻𝖺𝗅𝗂 π—π–Ίπ—“π—‚π—π—ˆπ–Ώπ–Ίπ—‡π—’π—‚π—„π–Ί

π–ͺ𝖺𝗆𝖺𝗍𝗂 π—π—‚π—’π—ˆ imetajwa kuwa kati ya majukumu itakayokuwa nayo ni kuπ—Œπ–Ίπ—‚π–½π—‚π–Ί π—„π—Žπ—‹π–Ίπ—π—‚π–»π—Ž π—†π–Όπ—π–Ίπ—„π–Ίπ—π—ˆ 𝗐𝖺 π—„π—Žπ—‰π–Ίπ—π–Ί 𝖿𝖾𝖽𝗁𝖺 π—π—‚π—“π—ˆ kwa kutoa elimu kwa walengwa, kupitia mikutano na semina pamoja na kubuni mbinu mbalimbali kulingana na miongozo zitakazowaleta wadau karibu kufanikisha suala hilo.

IMG_3655.jpeg
Kufuatia mkakati huo jumuiya za sekta binafsi nchini zimeombwa kuitikia wito kwa kuunga mkono mkakati huo ambao wameumetaja kuwa utaenda kuongeza uwajibikaji kwenye jukumu la utetezi, mfano utetezi wa haki za watoto, makundi ya watu wenye ulemavu, Wanawake, mazingira...
 
Back
Top Bottom